Tuliachiwa Roho mtakatifu, hii ni baada ya Yesu kwenda mbinguni na si binadamu. Eti!! Mwakilishi.sasa Kama ni mahubiri ya wasabato kwani wapotoshe?! "kanisa katoliki linamtambua papa kwamba ni Mungu"... huyu ni mwakilishi wa Mungu na papa wa kwanza ni Petro Mwenyewe!Je na wakatoliki wakiomba kipindi kuchambua ya wasabato in such a way what could happen?
Mimi ni Mtoto wake, una jingine?Acha ujuaji kwani wewe ni mdogo wake Mwenyezimungu.....
Hapana, Mungu wetu ni yule aliyeumba mbingu na nchi, Ambaye hafanani na chochote, anayetoa Riziki kwa watu(wema kwa waovu), Akaumba na viumbe vyote.Huyo mungu wenu faru john
mkuu ungeondoa ukaangalia tv tumaini,kuwaalika wengine ni kuzidi kusambaza maumivu na chuki tuKwa karibu dakika 10 leo hii nimekuwa nikiangalia mtoa mada start Tv akichambua utawala wa Roma Catholic (upapa na upadri)kwa kupotosha !
1. Je anafanya huu upotoshaji kwa maslahi ya nani?
2. Je start Tv haijui watazamaji wake ni wa madhebu na imani mbalimbali na itakuwa inawagawa?
3. Kanisa na waumini wakiamua kureact si itahatarisha amani ya nchi?
4. Kama ilikuwa lazima mada hiyo kutolea kwa nini wa upande wa pili wasingealikwa just to balance the story and information?
Kipindi bado kinaendelea hata sasa hivi kwa anayetaka kujionea!
Amina huyo ni Yesu Kristo peke yake Hallelujah!Hapana, Mungu wetu ni yule aliyeumba mbingu na nchi, Ambaye hafanani na chochote, anayetoa Riziki kwa watu(wema kwa waovu), Akaumba na viumbe vyote.
Wapi walisema Papa ni Mungu? Msipende kupotosha, kama hujui uliza.sasa Kama ni mahubiri ya wasabato kwani wapotoshe?! "kanisa katoliki linamtambua papa kwamba ni Mungu"... huyu ni mwakilishi wa Mungu na papa wa kwanza ni Petro Mwenyewe!Je na wakatoliki wakiomba kipindi kuchambua ya wasabato in such a way what could happen?
Tuliza ball, Wakatoliki na wakristo wa kweli huwa hatureact kwa kufanyia vurugu wengine na hatuna mafundisho ya kuchukia na kutesa tunaotofautiana imani nao kama hao wengine so hakuna amani itakayopotea hata angetukanwa Yesu. Ikibidi kanisa hutoa maelekezo ya kiungwana tu. Vita vyetu sio vya damu na nyama.Kwa karibu dakika 10 leo hii nimekuwa nikiangalia mtoa mada start Tv akichambua utawala wa Roma Catholic (upapa na upadri)kwa kupotosha !
1. Je anafanya huu upotoshaji kwa maslahi ya nani?
2. Je start Tv haijui watazamaji wake ni wa madhebu na imani mbalimbali na itakuwa inawagawa?
3. Kanisa na waumini wakiamua kureact si itahatarisha amani ya nchi?
4. Kama ilikuwa lazima mada hiyo kutolea kwa nini wa upande wa pili wasingealikwa just to balance the story and information?
Kipindi bado kinaendelea hata sasa hivi kwa anayetaka kujionea!
Sabato masalia. Ndiyo wale waliotaka kwenda USA bila Nauli wala passport au.Amen ubarikiwe sana muda siyo mrefu Ukweli wa upapa utajulikana ulimwenguni mwote.