Hahahahhaaha, pole sana Shuniehao ndio wanaume Da Sophy pole sana ukiona hivyo kuna mwenzio kaseviwa wife, mm yashanikuta hayo mwanaume kalewa amelala simu inaita kuangalia sweet heart anapiga.
Madam acha Utani please! umeseviwa jina gani vile?Hii ni zaidi ya uchochezi. Nimewaza nikaona kumbe bora ukabaki na mwanaume kama hawara tu maana ukifunga ndoa anakufanyia yaleyale ya kwenye ndoa ya kuzarauliana. Hivi kweli unawezaje kusevu namba ya mke wako kwenye simu yako kwa jina la Dulla Mbabe? Yeye akikusevu kama Faru John utajisikiaje?
Nimecheka sanaaaaaaaHii ni zaidi ya uchochezi. Nimewaza nikaona kumbe bora ukabaki na mwanaume kama hawara tu maana ukifunga ndoa anakufanyia yaleyale ya kwenye ndoa ya kuzarauliana. Hivi kweli unawezaje kusevu namba ya mke wako kwenye simu yako kwa jina la Dulla Mbabe? Yeye akikusevu kama Faru John utajisikiaje?
nimeshapoa chakii tumeambiwa tuishi nao kwa akiliHahahahhaaha, pole sana Shunie
Labda Bujibuji ndo mnyonge. Mi sijawahi kuwa mnyonge hata siku moja na ananijua vizuri
ndo maana amekuita dula mbabe...Labda Bujibuji ndo mnyonge. Mi sijawahi kuwa mnyonge hata siku moja na ananijua vizuri
Tunasubiria mrejeshoLakini atanyooka tu, ananijua vizuri. Hii nimeweka hapa na nyie mjifunze lakini nitaimaliza mwenyewe.
Mkuu hapo kwenye bold, hauna tabia za ubabe_ubabe kweli..!?Hii ni zaidi ya uchochezi. Nimewaza nikaona kumbe bora ukabaki na mwanaume kama hawara tu maana ukifunga ndoa anakufanyia yaleyale ya kwenye ndoa ya kuzarauliana. Hivi kweli unawezaje kusevu namba ya mke wako kwenye simu yako kwa jina la Dulla Mbabe? Yeye akikusevu kama Faru John utajisikiaje?
hahhahahhahaha am sorry i had to loughhhhh harddd.. kweli si tabia nzuri kudharauliana.Hii ni zaidi ya uchochezi. Nimewaza nikaona kumbe bora ukabaki na mwanaume kama hawara tu maana ukifunga ndoa anakufanyia yaleyale ya kwenye ndoa ya kuzarauliana. Hivi kweli unawezaje kusevu namba ya mke wako kwenye simu yako kwa jina la Dulla Mbabe? Yeye akikusevu kama Faru John utajisikiaje?
Akinisave faru john ntafurahi najua anakubaru ligi langu maana sifa za faru john siyo za kitoto.Hii ni zaidi ya uchochezi. Nimewaza nikaona kumbe bora ukabaki na mwanaume kama hawara tu maana ukifunga ndoa anakufanyia yaleyale ya kwenye ndoa ya kuzarauliana. Hivi kweli unawezaje kusevu namba ya mke wako kwenye simu yako kwa jina la Dulla Mbabe? Yeye akikusevu kama Faru John utajisikiaje?
ha hahahahahhaahhaaaaaaaaaaaaaaa jamani si kiu cha kucheka laikini siwezi kuacha kucheka ,, wanaume mnatabia mbayaKwa hiyo Dulla mbabe yule bondia???? Ina maana hilo jina linasadifu tabia ya huyo bondia....??![]()




......32yrs bado una "Dem" you cant be serious!Umri wangu miaka 32 nimewahi kuona katika simu ya Demu wangu kanisevu "BABUJII" nilichoka mwenyewe...!!![]()