miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,975
Anastahili hilo jina Dulla mbabendo maana amekuita dula mbabe...
Anastahili hilo jina Dulla mbabendo maana amekuita dula mbabe...
Nimecheka sana dah JF mtaniua daaaaahhhh ha ha ha haHii ni zaidi ya uchochezi. Nimewaza nikaona kumbe bora ukabaki na mwanaume kama hawara tu maana ukifunga ndoa anakufanyia yaleyale ya kwenye ndoa ya kuzarauliana. Hivi kweli unawezaje kusevu namba ya mke wako kwenye simu yako kwa jina la Dulla Mbabe? Yeye akikusevu kama Faru John utajisikiaje?
It seems wewe ni mgomvi. Jirekebishe.Hii ni zaidi ya uchochezi. Nimewaza nikaona kumbe bora ukabaki na mwanaume kama hawara tu maana ukifunga ndoa anakufanyia yaleyale ya kwenye ndoa ya kuzarauliana. Hivi kweli unawezaje kusevu namba ya mke wako kwenye simu yako kwa jina la Dulla Mbabe? Yeye akikusevu kama Faru John utajisikiaje?
Hapo ujue ushageuzwa mgodi!aseee haya mambo yapo nlipata seviwa TIMBER ROMBO
Basi ndio Maana kakuita mbabeLabda Bujibuji ndo mnyonge. Mi sijawahi kuwa mnyonge hata siku moja na ananijua vizuri