Uchawi Upo

Uchawi Upo

Tape measure

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2015
Posts
1,988
Reaction score
3,688
Kwanza niseme mimi nina uelewa mpana wa elimu dunia kuanzia theology, metaphysics na pia nmezunguka sehemu tofauti kwenye bara la ulaya na nchi za Asia hasa China.

Wazungu nao wanatamaduni zao ambazo zina husisha imani kuna wengine wanaamini katika tarehe na siku fulani katika wiki katika kufanya miadi pia wazungu wengine wanaamini katika masaa na vito vya thamani.

Ukikuta mzungu kavaa cheni au pete ya silver au rangi fulani haimanishi kuwa ameshindwa kununua madini ya Tanzanite, Dhahabu nk. Ni kuwa anaamini nyota yake inaendana na rangi ya madini husika fuatilia wahindi utagundua hii tamadani wanaishi nayo.

Kuna dada amekuwa akinifuatilia mara nyingi nimemuota ndotoni ananiambia maneno fulani na kweli nikikutana nae siku inayofuata kwenye real world ananiambia kama nilivoota ndotoni. Kwenye maono nilimuota ananifanyia uchawi ikiwemo kuninuia na kuchoma ubani.

Nmejizuia asijue kama nimemgundua sababu huyu dada pia ni jirani yangu tulikozaliwa vijjini huku mkoani tumekutana kiutafutaji.
Bahati mbaya mimi napenda bia na yeye ana grocery karibu na home nikiwa arosto naenda kwake nakunywa kwa cashi na mkopo ila nikirudi home ni balaa lazima nigombane na wife.

Nikinywa sehemu nyingine sijawahi kugombana na mke kwa miaka kadha kuna vitu vidogo vidogo vyenye madhara makubwa, kuna siku nakunywa gafla akanipa zawadi ya pipi nikataka kuila roho ikaniambia unakulaje pipi na pombe nikasema niweke mfukoni nitampa mtoto nyumbani kufika njiani najisachi nikaikuta pipi mfukoni nikakasirika sana na kuitupa.

kesho nikakitana nae akaniuliza ile pipi ya jana ulipeleka wapi nikamjibu nilikula akasema Mmmh uwongo hukuila nikamwambia kwa nini unasema sikuila akaniambia kweli umekula akatabasamu, hapo network ikakaa mtengano nikajiuliza nini kilikuwa kwa ile pipi! Kwa nini njiani niliitupa kwa hasira!

Nikapotezea kwa minajili ya kumchimba zaidi kumbe naharibu yeye anaendelea kukoka uchawi wake anashangaa kuniona sibadiliki akaanza kuomb 500 ukifika anaomba 500 anunue biskut nikawa namkazia simpi siku nikamwambia chukua 5000 ukatoe apo 500 akagoma nataka 500 tu basi utanipa ata kesho.

Siku nikanywa pombe kufika home sense zikaniambia usicheze na umeme kwanza block number na usikanyage tena maeneo hayo. Siku nimelala naona picha yake inanifuata na silaha nikashtuka kucheki muda ni saa saba usiku.

Nilichokifanya nikatafuta ubani nikafanya kama nyuzi za mtaalamu Rakim zinavyosema, siku 2 yule demu akafunga ofisi amekimbilia uko visitant sasa anafanya biashara ya samaki.

Message to take home: Men don't take any women's friendship for granted play smart and have wider boundaries with street women. Never entertain poor women in your friendship circle!

Never give your hard-earned coin to a woman just because she has berg you, she may play witchcraft with it and you will suffer.

Never ignore your sense organs and be rude to nature so that it will offer you soft consequences.

The world promotes equality but nature influences equity, never leave room for equality in your subconscious mind.

Lastly, gender which cannot be distinguished by clothing is home to demons, and if you are not strong enough you will suffer even in your grave.

Western education fools our minds and sometimes make men make fewer manhood decisions.

Now the global seen more humanness in women's intentionally if you also see the same you are finished.

I prefer to convey the simple tragedy in a complex tone to reduce unnecessary noises which can cause environmental pollution.
 
Nmewahi kushuhudia maajabu mengi kwa kuyatafuta haikuwa bahati mbaya nimeshuhudia mtu anazikwa hai na kufufuliwa, nimeona zindiko la wizi na kukwepa polisi porini, mwizi humuui bila kujua dawa yake, back in 2005 kulitokea scandal kubwa ya series za uchawi acha kabisa .
Fisi na chatu ni wanyama watu wanaishi nao geto, usishangae hujui Sayansi ya wachawi ni mbingu na ardhi!!!wanakijiji tukafanya fujo mpaka kanisa likafa na mchungaji akasimamiwa na polisi akahama kijiji....

Dunia ina vitu vya ajabu na kuna vitu hutakaa uvijue mpaka mwisho wako hapa duniani, Dunia ina wenyewe haina mwenyewe. Stori za kuishi baharini, kukutana na viumbe vya ajabu huwezi kuamini mpaka uwe mtu wa ajabu.

Miaka 350 ijayo watakaokuwepo watakuwa wanaona sisi watu wa miaka ya 1900-2100 tulikuwa ni kizazi dhaifu na cha hovyo, huwezi kuanini ata raisi Nyerere, Bush, Biden, Vldmir watakuwa hawapewi heshima ya baba wa taifa itakuwa tu kama mtu wa kale kule Olduvaii George, sio stori ya kusisimua kupata coverage kivile, ni kama tu wakina kinjikitile Ngwale, au Mansa Kanka Musa wa Mali .

Kutakuwa na vitu vingi vya maana vya kupewa kipau mbele kama taifa na sio maraisi wa miaka 300 nyuma sio habari
 
Nimeishia kwenye neno samaki, huko kwingine ngoma draw!
 
Simulizi yako imekuwa kama riwaya inayomtaka kila msomaji ajijazie nyama mwenyewe bila ya kuwa na jibu la pamoja!

sasa lengo la kukuchawia lilikuwa ni nini?

Kukuomba omba sarafu kulikuwa kunaashiria nini?

Kukimbia kwenda alikokwenda ni kwa sababu ya nini

Maswali ni mengi sana yanayotaka majibu katika simulizi hii.
 
Uchawi upo ,nliamini yaliponikuta ,

Ku..make aisee niliteswa mwaka na nusu na mshua pia wakampa kibano ...tulikuwa tunashinda hospitali kila muda ,mie tumbo yy mguu kutoa usaha ...

Nimetumia karibia millioni 450 kwetu sote wawili kwa matibabu ...Kuna mwamba humu jf alinipeleka sehemu , nlichanganyishiwa miti bwana nlitapika Pete 3 na madini yanakaa meusi 36 ,kudadeki mshua mguuni alitoka mfupa wa samaki amabae hajakatika Yaani bro mkubwa alikuwepo alibaki kushtuka nlizirai kuamka siku ya tatu .

Nlipouliza vp nani katufanyia vile , alieka maji kwa beseni ikawa Kama tv vile nkawaona wanga wale wote ku**Nina zao .

Na ni watu wa familia ye2.

Muda Si mrefu nishakata kauli kuu ,kisasi kikuu nmekipanga ,Si kuwa naamini uchawi maisha yangu ,Ila lazima nilipize ,an eye for an eye
 
Uchawi upo ,nliamini yaliponikuta ,
Ku..make aisee niliteswa mwaka na nusu na mshua pia wakampa kibano ...tulikuwa tunashinda hospitali kila muda ,mie tumbo yy mguu kutoa usaha ...
Nimetumia karibia millioni 450 kwetu sote wawili kwa matibabu ...Kuna mwamba humu jf alinipeleka sehemu , nlichanganyishiwa miti bwana nlitapika Pete 3 na madini yanakaa meusi 36 ,kudadeki mshua mguuni alitoka mfupa wa samaki amabae hajakatika Yaani bro mkubwa alikuwepo alibaki kushtuka nlizirai kuamka siku ya tatu .
Nlipouliza vp nani katufanyia vile , alieka maji kwa beseni ikawa Kama tv vile nkawaona wanga wale wote ku**Nina zao .
Na ni watu wa familia ye2.
Muda Si mrefu nishakata kauli kuu ,kisasi kikuu nmekipanga ,Si kuwa naamini uchawi maisha yangu ,Ila lazima nilipize ,an eye for an eye

Duuh lkn uyo
Mganga wako akienda mtu mwingine hufanikiwi
 
kisa changu kinaendana na chako..mm nilikutana na mdada kwny grocery fulan nikaambiwa mganga...hyo siku aliniita akaniambia vitu vingi sn khs mm...lkn alikuwa hajui kuwa nishamjua km yy ni mganga...yn alinitajia vutu vya kweli kabisa....alivomalza nikamtongoza tukaaihidiana tukanyanduane badae usiku....kipind iko nlikuwa nna km mwez hv umebak ili niingie kwenye ndoa...siku hyo nlilewa sana nikazima nikaja kupelekwa home na marafk kwhyo ahadi yetu ya mnyanduano ikaishia hapo...alinipigia kesho yake nikawa namkwepa kwssbu nlikuwa siko vzr financially muda huo...nikawa nimepanga nitfte ela nimnyandue....badae nakuja kuambiwa kuwa yule mganga ni HIV postive na uwa akilew anakuja na madonge bar...Aise nilishukuru sana mungu
 
Kwanza niseme mimi nina uelewa mpana wa elimu dunia kuanzia theology, metaphysics na pia nmezunguka sehemu tofauti kwenye bara la ulaya na nchi za Asia hasa China.

Wazungu nao wanatamaduni zao ambazo zina husisha imani kuna wengine wanaamini katika tarehe na siku fulani katika wiki katika kufanya miadi pia wazungu wengine wanaamini katika masaa na vito vya thamani.

Ukikuta mzungu kavaa cheni au pete ya silver au rangi fulani haimanishi kuwa ameshindwa kununua madini ya Tanzanite, Dhahabu nk. Ni kuwa anaamini nyota yake inaendana na rangi ya madini husika fuatilia wahindi utagundua hii tamadani wanaishi nayo.

Kuna dada amekuwa akinifuatilia mara nyingi nimemuota ndotoni ananiambia maneno fulani na kweli nikikutana nae siku inayofuata kwenye real world ananiambia kama nilivoota ndotoni. Kwenye maono nilimuota ananifanyia uchawi ikiwemo kuninuia na kuchoma ubani.

Nmejizuia asijue kama nimemgundua sababu huyu dada pia ni jirani yangu tulikozaliwa vijjini huku mkoani tumekutana kiutafutaji.
Bahati mbaya mimi napenda bia na yeye ana grocery karibu na home nikiwa arosto naenda kwake nakunywa kwa cashi na mkopo ila nikirudi home ni balaa lazima nigombane na wife.

Nikinywa sehemu nyingine sijawahi kugombana na mke kwa miaka kadha kuna vitu vidogo vidogo vyenye madhara makubwa, kuna siku nakunywa gafla akanipa zawadi ya pipi nikataka kuila roho ikaniambia unakulaje pipi na pombe nikasema niweke mfukoni nitampa mtoto nyumbani kufika njiani najisachi nikaikuta pipi mfukoni nikakasirika sana na kuitupa.

kesho nikakitana nae akaniuliza ile pipi ya jana ulipeleka wapi nikamjibu nilikula akasema Mmmh uwongo hukuila nikamwambia kwa nini unasema sikuila akaniambia kweli umekula akatabasamu, hapo network ikakaa mtengano nikajiuliza nini kilikuwa kwa ile pipi! Kwa nini njiani niliitupa kwa hasira!

Nikapotezea kwa minajili ya kumchimba zaidi kumbe naharibu yeye anaendelea kukoka uchawi wake anashangaa kuniona sibadiliki akaanza kuomb 500 ukifika anaomba 500 anunue biskut nikawa namkazia simpi siku nikamwambia chukua 5000 ukatoe apo 500 akagoma nataka 500 tu basi utanipa ata kesho.

Siku nikanywa pombe kufika home sense zikaniambia usicheze na umeme kwanza block number na usikanyage tena maeneo hayo. Siku nimelala naona picha yake inanifuata na silaha nikashtuka kucheki muda ni saa saba usiku.

Nilichokifanya nikatafuta ubani nikafanya kama nyuzi za mtaalamu Rakim zinavyosema, siku 2 yule demu akafunga ofisi amekimbilia uko visitant sasa anafanya biashara ya samaki.

Message to take home: Men don't take any women's friendship for granted play smart and have wider boundaries with street women. Never entertain poor women in your friendship circle!

Never give your hard-earned coin to a woman just because she has berg you, she may play witchcraft with it and you will suffer.

Never ignore your sense organs and be rude to nature so that it will offer you soft consequences.

The world promotes equality but nature influences equity, never leave room for equality in your subconscious mind.

Lastly, gender which cannot be distinguished by clothing is home to demons, and if you are not strong enough you will suffer even in your grave.

Western education fools our minds and sometimes make men make fewer manhood decisions.

Now the global seen more humanness in women's intentionally if you also see the same you are finished.

I prefer to convey the simple tragedy in a complex tone to reduce unnecessary noises which can cause environmental pollution.
Huonizi upo wapi
 
Huo uchawi uko wapi? Naomba uniroge kama uchawi unao.

Mawazo ya kipumbavu tu uchawi haupo.
 
kisa changu kinaendana na chako..mm nilikutana na mdada kwny grocery fulan nikaambiwa mganga...hyo siku aliniita akaniambia vitu vingi sn khs mm...lkn alikuwa hajui kuwa nishamjua km yy ni mganga...yn alinitajia vutu vya kweli kabisa....alivomalza nikamtongoza tukaaihidiana tukanyanduane badae usiku....kipind iko nlikuwa nna km mwez hv umebak ili niingie kwenye ndoa...siku hyo nlilewa sana nikazima nikaja kupelekwa home na marafk kwhyo ahadi yetu ya mnyanduano ikaishia hapo...alinipigia kesho yake nikawa namkwepa kwssbu nlikuwa siko vzr financially muda huo...nikawa nimepanga nitfte ela nimnyandue....badae nakuja kuambiwa kuwa yule mganga ni HIV postive na uwa akilew anakuja na madonge bar...Aise nilishukuru sana mungu
Wadau wanasaidia sana ungekula n wapi huko
 
Back
Top Bottom