Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,812
- Thread starter
-
- #101
Mbona kuna mashoga wanamuhasi Mungu wengine wanamwita ni mwanamke na bado wanatoboa tena wanapesa mbayaHivi kwanini watu mnadhani Mungu ni kama mtu wa kumchezeachezea kama peremende?
Mungu hanaga utani na mwanadamu, ana upendo usio na kikomo na at the same time ghadabu kali mno Kwa wanaomuasi kwa makusudi .
Yaani utumie uchawi then umrudie Mungu unaongea kwa urahisi hivyo?
Chagua upande, ukitaka kumtumikia Mungu Mtakatifu mtumikie , ukitaka uchawi nenda.
Kwanza ni nani kakuambia Mungu ameumba note za pesa? Mungu kaumba dhahabu na minerals zingine za thamani, so hizi pesa Kuna mmiliki wake(mungu wa pesa) anaitwa mammon.
Nilikuwa najua una contentAmeandikiwa kifo chake afe kwa njia hiyo. Bado wewe ipo siku utakufa na Mungu amesha kuandikia kifo chako kitatokeaje ikifika siku ya kufa kwako ndipo utakapo juwa kuwa kuna Mungu ambae aliye umba kifo na Uhai subiri iifike siku yako ya kufa utaona hayo niliyo kwambia.
Bado hujakomaaa akili ndio maaanaHizi mada hazifai kusomwa
Hivi Mimi na wewe nani hajakomaa kiakiliBado hujakomaaa akili ndio maaana
Wewe mana unaongea kama mtotoHivi Mimi na wewe nani hajakomaa kiakili
Nani kakwambia kila Mtu anataka kuwa Tajiri?Hivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.
Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?
Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?
Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?
Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?
Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?
Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?
Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu
Jifunze kuishi kwa technique.
Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
Masikini
Andiko machachari hivi bila rejea (reference) linakosa mashikoHivi Mungu mwenye huruma, mpole mkaribu mwenye kusamehe.
Ndio huyu huyu anaewapa watu maradhi makubwa ya kutisha na ulemavu wa kudumu binadamu wake?
Amekuwa katiri kiasi kwamba haoni shida watu kufa kwa njaaa maradhi na mateso makubwa hapa duniani?
Mungu huyu huyu ndio husababisha ajali kubwa kuuwa watu na kuwaacha wakiteseka?
Mungu huyu huyu ndio anawapa pesa mashoga washirikina na wachawi alafu wachamungu wanaishi kama paka?
Mungu huyu huyu ndio hutoa umasikini wa kudumu kwa watu?
Mungu aliefanya yote hayo ndio anakupenda na wewe?
Wengine hawapendi?
Uchawi upo utumie vizuri baadae rudi kwa Mungu
Jifunze kuishi kwa technique.
Kosoeni masikini wanaomtegemea Mungu kuwa matajiri wakati wapo masikini wa kudumu wenye kudumu na ibada ila wanaishi mpaka aibu.
Watu wema mbona hawaishi mileleUpate maradhi Kwa dhambi zako umsingizue Mungu ,we vipi,mshahara wa dhambi ni mauti.
Kwahyo mungu alimuumba binadamu kwa lengo la kuja kumjaribu ?Ndio Mungu ameumba maradhi kifo uzima uhai yoooote hayo ni Mtihani wakujaribiwa imani zetu je tutakufuru atuingize katika moto wa jahanamu au tutasubiri ili atulipe pep. Shetani hawezi kukudhuru mpaka apewe izini ya Mungu kukudhuru.
Ameandikiwa kifo chake afe kwa njia hiyo. Bado wewe ipo siku utakufa na Mungu amesha kuandikia kifo chako kitatokeaje ikifika siku ya kufa kwako ndipo utakapo juwa kuwa kuna Mungu ambae aliye umba kifo na Uhai subiri iifike siku yako ya kufa utaona hayo niliyo kwambia.
Siku zote kabla hujapata shida huwezi kulitja jina la Adonai. Hivyo binadamu ni wasahaulifu sana kny mambo kama haya .
Kwahy mungu kashanipangia kuhusu kifo changu na kilakitu kunihusu mimi,Ameandikiwa kifo chake afe kwa njia hiyo. Bado wewe ipo siku utakufa na Mungu amesha kuandikia kifo chako kitatokeaje ikifika siku ya kufa kwako ndipo utakapo juwa kuwa kuna Mungu ambae aliye umba kifo na Uhai subiri iifike siku yako ya kufa utaona hayo niliyo kwambia.
Hizi mada hazifai kusomwa
Naunga mkono hojaHapa ndipo unapozidi kijichanganya ukihisi upo sawia.
Unasema Mungu amekuleta duniani na kukupa mtihani then unasema Mungu ndio hupanga kifo chako (Maana yake kwamba anajua A - Z ya maisha yako)
Inamaana hata mchawi, jambazi, anajua kwamba watakuja kua hivyo kabla hata hajafanya maamuzi ya kuwaumba na watakufa kwa namna flani ambayo itawapelekea kwenda motoni.
Yani ni kama saivi wewe upewe option ya kuzaa mtoto kisha upewe ufahamu wa kupanga au kutambua fika huyu atakuja kuwa jambazi, mwizi, mchungaji, malaya, shoga, tajiri je utachagua yupi kati yao??
Fact broWewe unaelitaja hilo jina haupatagi shida?
Sio kama tunapingana na imani ya uwepo wa Mungu ila ni katika kitafuta FACTS.
Uoga wa kutafuta facts ndio unafanya Africa tunazidi kuonekana mbumbumbu na kubakia masikini wakubwa duniani tukiogopa kukufuru na kitafuta ukweli juu ya hizi imani.