The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 11,084
- 14,564
Naanza kwa kuwasalimu No reforms ! (mjibu kwa makelele no elections)
Wakuu nimekuwa na hii observation mjini Dar na zanzibar kwa ujumla kumekuwa na paka wengi hususani hawa wakuzurura (wa mtaani) kuwaona wamekatwa mikia ,mwanzo niijisemea ni mambo ya watu wakatili kwa wanyama ,badae nikaona mbona nawaona wengi ,nikaamua nikusanye data nadhani ndani ya week sinza tu niliwaona paka 8 kwenye maeneo tofauti (yaweza kuwa pungufu kidogo huwenda kuna niliojirudia) ,nikaenda mechi ile ya simba zanzibar huko ni wengi katika 10 basi wawili hawana mkia umekatwa na zote wanakata nusu.
wakuu nauhakika huu ni ushirikina maana tungesema wanakatana lakini hapana paka huumizana uso tu kwa kuparuana tu. wajuzi mtupe mwanga Rakims Mshana Jr
Wakuu nimekuwa na hii observation mjini Dar na zanzibar kwa ujumla kumekuwa na paka wengi hususani hawa wakuzurura (wa mtaani) kuwaona wamekatwa mikia ,mwanzo niijisemea ni mambo ya watu wakatili kwa wanyama ,badae nikaona mbona nawaona wengi ,nikaamua nikusanye data nadhani ndani ya week sinza tu niliwaona paka 8 kwenye maeneo tofauti (yaweza kuwa pungufu kidogo huwenda kuna niliojirudia) ,nikaenda mechi ile ya simba zanzibar huko ni wengi katika 10 basi wawili hawana mkia umekatwa na zote wanakata nusu.
wakuu nauhakika huu ni ushirikina maana tungesema wanakatana lakini hapana paka huumizana uso tu kwa kuparuana tu. wajuzi mtupe mwanga Rakims Mshana Jr