Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 10,185
- 7,377
Yaani Uislam bwana, ni shida tupu tu.Asee yaan nimepita kote huko kasoro kondoa sipajui ni full mapaka
Yaani Uislam bwana, ni shida tupu tu.Asee yaan nimepita kote huko kasoro kondoa sipajui ni full mapaka
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mji wowote hapa Tanzania wenye waislam wengi lazima utakuta paka wa hajabu na tena hawaogopi watu. Utashangaa unaenda kuoga anakufuata bafuni na anakaa juu ya paa ama ukuta akikuchungulia. Utashangaa asubuhi unakwenda kazini watu wanakushangaa mtaani, yaani kama wanaitana jamani yule jamaa ndiyo huyu. Utaona wanakushanga tu huku wakitabasamu. Mimi Zanzibar, Pemba, Tanga, Dar, Bagamoyo, Kondoa, Kigoma na Tabora.....sitaki kabisa kuisikia hii mikoa mpaka wabadilike.
Naanza kwa kuwasalimu No reforms ! (mjibu kwa makelele no elections)
Wakuu nimekuwa na hii observation mjini Dar na zanzibar kwa ujumla kumekuwa na paka wengi hususani hawa wakuzurura (wa mtaani) kuwaona wamekatwa mikia ,mwanzo niijisemea ni mambo ya watu wakatili kwa wanyama ,badae nikaona mbona nawaona wengi ,nikaamua nikusanye data nadhani ndani ya week sinza tu niliwaona paka 8 kwenye maeneo tofauti (yaweza kuwa pungufu kidogo huwenda kuna niliojirudia) ,nikaenda mechi ile ya simba zanzibar huko ni wengi katika 10 basi wawili hawana mkia umekatwa na zote wanakata nusu.
wakuu nauhakika huu ni ushirikina maana tungesema wanakatana lakini hapana paka huumizana uso tu kwa kuparuana tu. wajuzi mtupe mwanga Rakims Mshana Jr
Mji wowote hapa Tanzania wenye waislam wengi lazima utakuta paka wa hajabu na tena hawaogopi watu. Utashangaa unaenda kuoga anakufuata bafuni na anakaa juu ya paa ama ukuta akikuchungulia. Utashangaa asubuhi unakwenda kazini watu wanakushangaa mtaani, yaani kama wanaitana jamani yule jamaa ndiyo huyu. Utaona wanakushanga tu huku wakitabasamu. Mimi Zanzibar, Pemba, Tanga, Dar, Bagamoyo, Kondoa, Kigoma na Tabora.....sitaki kabisa kuisikia hii mikoa mpaka wabadilike.