Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
- Thread starter
- #21
Yaani mkuu,utafanikiwa sana kwasababu hutaogopa chochote wala yeyote,isipokuwa Mungu,watu utawaheshimu na siyo kuwaogopa,ktk maamuzi hutatetereka,utafanya tu kwa kujiamini bila kuogopa yeyote ili mradi upo ktk Haki na usawa na busara ikitumika.Kuhusu mbinu Sali sana,Sana maandiko matakatifu,izoeze akili yako kufikiri positive juu ya mambo mbalimbali.Sasa unatumia Mbinu gani? Mana Mimi naamini uchawi upo Sasa Nataka niitoe iyo mind set, hafu nione matokeo yake.