Uchambuzi na maoni yangu juu ya kilichosababisha ajali ya Ethiopia Airline, si lazima kuwa na black box kuujua ukweli mchungu huu

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Ukianza kufanya uchunguz kwa umakini utaona hii ajali inafanana na ile ya Indonesia, na model ya ndege ni ile ile , hivyo tatizo lipo kwenye ndege hizi Boeing 737
Moja ya mataizo makubwa kwa Boeing 737 max ni angle of attack stability na hii ilisababishwa na maamuzi ya kufunga engine kubwa kidogo zaidi ya 737-800. Kwa ajiri ya fuel efficiency na hapo ndipo balaa lilipoanzia, walilazimika kufanya modifications kwa kusogeza hizo engine mbele kidogo na hivyo kuathiri center of gravitation ability, na ndipo walipo amua kufunga mfumo unao itwa, maneuvering characteristics augmentation systems (MCAS) with anti stall system software ambayo inaweza ku command ndege kwenda chini au juu ikiwa sensors zake zitasoma kuna tatizo bila pilot kuwa na habari, mbaya zaidi pilots cannot override it easier

hivyo basi hawana budi kurekebisha
Boeing 737 max ina matatizo matatu wanaitaji warekebishe.
1.Angle attack ambao inasumbuliwa baada ya kuweka engine kubwa kuliko ndege yenyewe.
2.Geographical monitoring sensors(GMS)Hizi ndo walizokosea kabisa kwani inamfanya rubani kushindwa kuzihimili thats why ndege zote aina hizi zinapopita altitude over 0.32 huwa zinatetema au hata mashine kuripuka moto warekebishe
3.force of gravity negativiation sensor(FGNS)Hizi ni sensor flani zilipo ndani ya ndege aina zote zinazo ruka angani,ndege kabla haijapaa angani lazima iwe na mwendo wa 500km per 4 minute na wakati huo inabidi isome Negative and speed is controlled sasa hawa wa boing 737 max unakuta ndege tayari iko angani then inasoma information is down the of speed kitu kinachosababisha rubani kupunguza mwendo apate line rate ya air plane hapo ndo utata huanzia ndege kupanda na kushuka then lazima ianguke.
Nina imani kampuni na shirika la hizi ndege wanajua na wanafuatilia soon watarekebisha

Kwa kifupi naona kama vile hawa Boeing wajanja wajanja sana wanaweza kujifanya kuwa labda ajali haijasababishwa na wao kumbe ni namna mbaya ambayo wametengeneza ndege zao, ili kulinda ama kukwepa kulipa fidia na kulinda image ya kampuni yao,

Hii inatufundisha nini kama sisi Watanzania na Nchi nyingine ambazo ni maskini achilia mbali hao wanaojiweza,
Ni vema sana kununua matoleo ya ndege muundo ambao watu wameshautumia kwa kipindi cha miaka kadhaa ili kuona kwanza linauimara au mapungufu yapi, Sitoi lawama yeyote kwa Ethiopia kununua ndege hizo, bali natoa pole kwakuwa hawakujua suala kama litatokea hivi,

Haya ni maoni yangu ambayo ndo asilimia kubwa kisababishi cha ajali,

Habari hizi za uchunguzi mara nyingi usubiriwa kupatikana kwenye Black box ambayo niliwai kuifafanua hapa chini

Tujifunze ya ndege: Hiki ndicho Kisanduku cheusi cha mawasiliano kila ndege ipatapo hitilafu au kuanguka huwa kinakitafuta - JamiiForums


Britanicca

cc barafu Mbase1970 The Monk Cajojo Khan
 
Tanzania yangu mbona tumejaliwa hivi kuwa na wataalaam almost kwenye kila eneo,maoni ya mtoa mada hii inaonyesha kabisa anajua nini anakisema but why utaalam kama huu tunashindwa kuutumia yaani tunaweza tengeneza ndege zetu hapa nchini!!,wataalam wanaotafiti why ajali hii imetokea hawajatoa hata clue whats happened ,but mtanzania mwenzetu ameshakuja na majibu tayari,aliyetuloga ni nani?
 
Laki
Ukianza kufanya uchunguz kwa umakini utaona hii ajali inafanana na ile ya Indonesia, na model ya ndege ni ile ile , hivyo tatizo lipo kwenye ndege hizi Boeing 737
Moja ya mataizo makubwa kwa Boeing 737 max ni angle of attack stability na hii ilisababishwa na maamuzi ya kufunga engine kubwa kidogo zaidi ya 737-800. Kwa ajiri ya fuel efficiency na hapo ndipo balaa lilipoanzia, walilazimika kufanya modifications kwa kusogeza hizo engine mbele kidogo na hivyo kuathiri center of gravitation ability, na ndipo walipo amua kufunga mfumo unao itwa, maneuvering characteristics augmentation systems (MCAS) with anti stall system software ambayo inaweza ku command ndege kwenda chini au juu ikiwa sensors zake zitasoma kuna tatizo bila pilot kuwa na habari, mbaya zaidi pilots cannot override it easier

hivyo basi hawana budi kurekebisha
Boeing 737 max ina matatizo matatu wanaitaji warekebishe.
1.Angle attack ambao inasumbuliwa baada ya kuweka engine kubwa kuliko ndege yenyewe.
2.Geographical monitoring sensors(GMS)Hizi ndo walizokosea kabisa kwani inamfanya rubani kushindwa kuzihimili thats why ndege zote aina hizi zinapopita altitude over 0.32 huwa zinatetema au hata mashine kuripuka moto warekebishe
3.force of gravity negativiation sensor(FGNS)Hizi ni sensor flani zilipo ndani ya ndege aina zote zinazo ruka angani,ndege kabla haijapaa angani lazima iwe na mwendo wa 500km per 4 minute na wakati huo inabidi isome Negative and speed is controlled sasa hawa wa boing 737 max unakuta ndege tayari iko angani then inasoma information is down the of speed kitu kinachosababisha rubani kupunguza mwendo apate line rate ya air plane hapo ndo utata huanzia ndege kupanda na kushuka then lazima ianguke.
Nina imani kampuni na shirika la hizi ndege wanajua na wanafuatilia soon watarekebisha

Kwa kifupi naona kama vile hawa Boeing wajanja wajanja sana wanaweza kujifanya kuwa labda ajali haijasababishwa na wao kumbe ni namna mbaya ambayo wametengeneza ndege zao, ili kulinda ama kukwepa kulipa fidia na kulinda image ya kampuni yao,

Hii inatufundisha nini kama sisi Watanzania na Nchi nyingine ambazo ni maskini achilia mbali hao wanaojiweza,
Ni vema sana kununua matoleo ya ndege muundo ambao watu wameshautumia kwa kipindi cha miaka kadhaa ili kuona kwanza linauimara au mapungufu yapi, Sitoi lawama yeyote kwa Ethiopia kununua ndege hizo, bali natoa pole kwakuwa hawakujua suala kama litatokea hivi,

Haya ni maoni yangu ambayo ndo asilimia kubwa kisababishi cha ajali,


Britanicca
Lakini mbona uchunguzi wa Awali unaonyesha wakati ndege inataka kupaa mkia ulijipiga chini ukakatika
 
Tanzania yangu mbona tumejaliwa hivi kuwa na wataalaam almost kwenye kila eneo,maoni ya mtoa mada hii inaonyesha kabisa anajua nini anakisema but why utaalam kama huu tunashindwa kuutumia yaani tunaweza tengeneza ndege zetu hapa nchini!!,wataalam wanaotafiti why ajali hii imetokea hawajatoa hata clue whats happened ,but mtanzania mwenzetu ameshakuja na majibu tayari,aliyetuloga ni nani?
mkuu hatujalogwa kabisa ila ni uamuzi tu mkuu
 
Dah! Wabongo kwa utaalam wa vitu tusivyovijua tumeshindikana. :D:D:D Eti haya ni maoni yako!

Na mimi nitachukua kadi ya Lumumba maana frustration za pale zinawehusha kwa kiwango cha mtu kuwa aircraft engineer hata kama hapo awali hukuwa unajua plug ya pikipiki ya miguu mitatu inakalia wapi
 
ndiyo yaweza kuwa sababu lakin huo haukuwa uchunguzi wa mwisho maana hapa kuna mambo mengi yanajichanganya, ila ukweli utajulikana leo nadhani maana black box wanayo tiyari, cc barafu
pilot aliinyanyua kwa nguvu nyuma ikagonga chini bawa za nyuma zikadondoka ikapoteza control ikaanza kutoa moshi,bawa za nyuma ndizo zinazosaidia kupunguiza mwendo na kukata kona.
 
Britanicca bwana, yaani kila kitu anajua, lakini ukiangalia idadi ya abiria achilia mizigo upo uwezekano ndege ilikuwa eme overload, hivyo rubani alivyo inyanyua ikamshinda.
Mkuu ni kujisomea na kujipatia material kwa sana , ila unalosema kweli watu wengi wanasema kila kitu najua hapana, si kwamba najua angalau nakuwa na knowlegde ya juu juu, na ndo mwanzo wa kupewa Jina BRITANNICA niliposoma shule zote wakibishana hata hatujawa na simu za google wananisubiri mi mzee wa ma encyclopedia , na nasoma sana magazines mengi, scientific america, National Geographic mi ni member kila mwaka napata toleo jipya la sayansi
 
pilot aliinyanyua kwa nguvu nyuma ikagonga chini bawa za nyuma zikadondoka ikapoteza control ikaanza kutoa moshi,bawa za nyuma ndizo zinazosaidia kupunguiza mwendo na kukata kona.
center of gravity and angle of attack nayo yaweza kuwa sababu ya kuparaza, lakin ukinisoma vema hayo yote nimeeleza
 
Dah! Wabongo kwa utaalam wa vitu tusivyovijua tumeshindikana. :D:D:D Eti haya ni maoni yako!

Na mimi nitachukua kadi ya Lumumba maana frustration za pale zinawehusha kwa kiwango cha mtu kuwa aircraft engineer hata kama hapo awali hukuwa unajua plug ya pikipiki ya miguu mitatu inakalia
:D:D:D:D:D ndio hivyo ndg, tuna wabongo waliosomea mambo hayo. Tusujidharau kbs
 
Back
Top Bottom