nimegundua kumbe kingereza kigumu.......ndio maana matatizo ya nchi hii hayawezi kutatuliwa ndani ya "siku tisa jamani."......nyerere alikaa miaka 23, hayajaisha, mwinyi na mkapa miaka 10 10 nayo hayajaisha......na mimi pia nitamaliza miaka 10 hayataisha.....and zis iz tu handred sauzand 300,000.
Hakuna cha kushangaa, hata kama ilitokea siku ya kwanza miaka 6 iliyopita alipoingia ikulu kwa mara ya kwanza.
Suala la Msingi huyu Kikwete ni Kilaza, yeye anafanyiwa kila kitu, yeye huenda kama boya tu hajui nini kinafuata, ndio maana sio ajabu akakusomea hotuba leo akaanza na kusema:-
Leo tarehe 12 mwezi wa 3 mwaka huu wa 2010, mimi...........
(as long as imeandikwa, na kwa kuwa yeye hajapitia, utamsikia anaisoma tu, hata macho yake hayashituki)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.