mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
Nimepita maeneo ya Makao mapya mjini hapa Arusha, nimejionea barabara za ndani ya mji zinazojengwa kwa kiwango cha lami na wakandarasi wa kichina.
Lami inayowekwa haina kina hata 3cm wakishaweka moram na kokoto wanaweka lami nyembamba sana baada ya hapo barabara inafungwa kwa karibu siku 3 kabla ya kuanza kutumika.
Swali: Barabara hizi zitadumu kwa muda gani kabla ya kuanza repea ya kujaza viraka?
Je, huu sio uchakachuaji wa kodi zetu? Je, hiki ndicho kiwango stahiki?
Lami inayowekwa haina kina hata 3cm wakishaweka moram na kokoto wanaweka lami nyembamba sana baada ya hapo barabara inafungwa kwa karibu siku 3 kabla ya kuanza kutumika.
Swali: Barabara hizi zitadumu kwa muda gani kabla ya kuanza repea ya kujaza viraka?
Je, huu sio uchakachuaji wa kodi zetu? Je, hiki ndicho kiwango stahiki?