Uchaguzi wa USA Leo

Uchaguzi wa USA Leo

Teh teh teh ....watanzania nao watume wa kwao
 
Hayawi hayawi sasa yamekuwa.

Leo ndo leo na asiye na mwana aeleke jiwe.

Leo ndo siku pekee ambapo dunia nzima husimama kuzunguka kwenye mhimili wake hadi hapo uchaguzi wa taifa bora kabisa katika historia ya uhai.

Hata wale wanaojifanya kuiponda USA leo wataacha kufanya yao yote na kutega masikio na macho yao kusikilizia na kuona nani atachinjwa na vichinjio vya Wamarekani.

USA ndo dunia na dunia ndo USA. Hilo halina mjadala.

USA baby View attachment 430983 View attachment 430984 View attachment 430985
1478622771039.jpg
 
Watumwe wapi, asiyejua aende akamsimamie anayejua!!
 
Haya...hatimaye wenu mtiifu naye katoka kutekeleza haki yake ya kiraia.

Hata dakika 5 haijachukua


1478622917204.jpg


Halafu ile natoka tu kwenye subdivision nakutana na placards za Trump na Pence

1478622987990.jpg
 
Yaani mpk leo usa mnapiga kura kwenye kituo. Technology yote hii! Ingebidi watu wapige kura majumbani kwao tu. Bado sanaaaaaaaa
 
Yaani mpk leo usa mnapiga kura kwenye kituo. Technology yote hii! Ingebidi watu wapige kura majumbani kwao tu. Bado sanaaaaaaaa

Akina nani au wapi huko wapigapo kura majumbani mwao?
 
karibuni usa baby, mie nipo royal oak, detroit michigan...trump tumekuwa naye usiku wote...usa baby!!..
 
karibuni usa , mie nipo royal oak, detroit michigan...trump tumekuwa naye usiku wote...usa baby!!..
 
Si ndio mnao waogopa wasije wakawavulugia matokeo kwa jinsi mlivyo shallow shallow kwenye hiyo nyanja!

We tulia ushuhudie historia.

Dunia nzima imesimama na masikio yameelekezwa USA.

USA baby.
 
Back
Top Bottom