Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,103
- 136,763
What's wrong with expression?
Clearly English is not your strong suit.
What's wrong with expression?
Hoyaa,mnatupa kazi mbili,kusoma na kutafasiri,hebu acheni hiyo lugha tuongee kiswahili.Clearly English is not your strong suit.
Hayawi hayawi sasa yamekuwa.
Leo ndo leo na asiye na mwana aeleke jiwe.
Leo ndo siku pekee ambapo dunia nzima husimama kuzunguka kwenye mhimili wake hadi hapo uchaguzi wa taifa bora kabisa katika historia ya uhai.
Hata wale wanaojifanya kuiponda USA leo wataacha kufanya yao yote na kutega masikio na macho yao kusikilizia na kuona nani atachinjwa na vichinjio vya Wamarekani.
USA ndo dunia na dunia ndo USA. Hilo halina mjadala.
USA baby View attachment 430983 View attachment 430984 View attachment 430985

Cheki backyard ilivo kijani....amigo alikuja kunifanyia mambo juzi.Jirani unaamsha mapepo ya watu yaliyolala![]()

I started learning English for the first time in 2013,[Before that I could not utter more than ten English words]Clearly English is not your strong suit.
Cheki backyard ilivo kijani....amigo alikuja kunifanyia mambo juzi.
Hapa nilipo nachoma nyama tu na Heineken zangu pembeni.
View attachment 431076
USA baby![]()
![]()
![]()
️️
️️up!
Peach state️️
️️up!
Fall haijafika Nje kwako? Mbona huku leaves hadi kwenye kope za macho after two hrs of cleaning
I started learning English for the first time in 2013,[Before that I could not utter more than ten English words]
I have never been in a formal school even for a single day where I could learn English language as a subject.
Besides it all I have been living in a non-English speaking countries[However partially in TZ].....I am trying harder to master the language before I start learning two or three more Inter'nal languages.
So your guess is completely right and I'm proud of the minor mistake that I make regularly cause it shows me where am I supposed to work on.
What's your okay for?Okay Kitty.
What's your okay for?
You're a snake ngabu, you bite any member who acts foolishly in hereNo one has any reason to fear me.
I don't bite.
Huna leaf blower?
Nilijua wewe mtz mwenzangu kumbe ni mu usa?Hayawi hayawi sasa yamekuwa.
Leo ndo leo na asiye na mwana aeleke jiwe.
Leo ndo siku pekee ambapo dunia nzima husimama kuzunguka kwenye mhimili wake hadi hapo uchaguzi wa taifa bora kabisa katika historia ya uhai.
Hata wale wanaojifanya kuiponda USA leo wataacha kufanya yao yote na kutega masikio na macho yao kusikilizia na kuona nani atachinjwa na vichinjio vya Wamarekani.
USA ndo dunia na dunia ndo USA. Hilo halina mjadala.
USA baby View attachment 430983 View attachment 430984 View attachment 430985