DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Ajabu na kweli CCM wamepata kura 0 uchaguzi wa Meya na Naibu Meya Ilala.Hii ni aibu kwa chama kikongwe kukimbia uchaguzi na kupata sifuri.
Baada ya mvutano mkali unaoendelea wabunge wa CCM wa ilala wametoka nje kususia uchaguzi.
Matokeo ya Umeya Ilala,
1. Charless Kuyeko (UKAWA) kura 31,
2. Heri Kessy (CCM) kura 0.
Chanzo ITV