Steven Robert Masatu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2009
- 2,458
- 1,821
Hahahhahahahahhaha hii sasa kali kama ni kweli
mkuu nakukumbusha, Unywe kiasi wasje wakakukaba kwenye kona...maanake haya mafisiem yana hasira sanaIkiwa ni kweli mkuu weekend ya leo itakuwa bien sana, nitaanza na KONYAGI
kuna wajanja walikwenda kwa Magufuli kumshawishi awape pesa za kununulia goli la mkono ili wawanunue madiwani wa Chadema na kuchakachua matokeo lakini Magufuli kawashitukia kutokana na kujua kuwa Hiyo pesa inaenda kupigwa na haitafanya kazi, sasa wameamua kuikomoa ccm ili Magufuli awaone walikuwa na haki.Acha Waisome namba, ee!!!!!...ccm mbele kwa mbele
hahaha... Huu wimbo mtam sana...unakata kote kote
CCM wapuuzi sana...kwa hiyo wanamkomoa magufuri?..K
kuna wajanja walikwenda kwa Magufuli kumshawishi awape pesa za kununulia goli la mkono ili wawanunue madiwani wa Chadema na kuchakachua matokeo lakini Magufuli kawashitukia kutokana na kujua kuwa Hiyo pesa inaenda kupigwa na haitafanya kazi, sasa wameamua kuikomoa ccm ili Magufuli awaone walikuwa na haki.
samahani mkuu naomba tufafanulie vizuri,walitoka nje kabla au baada ya uchaguzi,kinachonishangaza ni hii 0,ina maana hata ccm walipigia ukawa?Baada ya mvutano mkali unaoendelea wabunge wa CCM wa ilala wametoka nje kususia uchaguzi.
Matokeo ya Umeya Ilala,
1. Charless Kuyeko (UKAWA) kura 31,
2. Heri Kessy (CCM) kura 0.
Chanzo ITV
Labda ndio mabadiliko waliyokuwa wanasema ccm, wakati wanaiga wakaamua ku copy kila kitu hata kutoka nje. Subiri utaona hata Dodoma watatoka sana.Hili la kususia vikao CCM leo imekua ni zamu yao ukiwauliza watakuambia ni sehemu ya demokrasia ila UKAWA wakisusia wataambiwa ni utoto.