kijana ambaye kwa jina anaitwa mwaisiga thobiasi na abubakiri bashi wamechafua hali ya uchaguzi udom.vijana hawa wakiwa wananadi sera katika chuo cha elimu na chuo cha sayansi ya jamii wamezomewa huku wakiambiwa hutupigi kura uchaguzi sio huru.mwasiga ambaye alikua ananadi sera katika eneo la block q alizomewa na waalimu watarajiwa akiambiwa mtoa matamko ya kijinga huyu kijana ni yule aliyetoa tamko la kulani wabunge wa chadema akidai kuwa msemaji wa serekali kumbe sio msemaji wa serekali .pia bashi anatuhumiwa kutumwa na mmoja wa mafisadi nawasilisha kwa wana udom