kijana kutoka nzega abubakari bashe amedondoka kwenye uchaguzi wa serekali ya wanafunzi udom kijana ambaye alipata upinzani mkali kwa mdada ambaye anatoka familia za kawada.vijana wenye hasira walikua wanasema tunampigia dada ambaye hajafanya kampeni kwa vile hana uwezo wa kokodi magari ya kampeni.vijana coed walimuliza maswali akakimbia mwenyewe huku akikimbia sana akisema hawa watoto wa maskini hawana la kupoteze hawana hata pesa laki benki .vijana pia walijitolea kulinda kura za dada ambaye alikua hana mawakala kwa vile hela hela za kuwalipa .baada ya matokeo kuonekana mazuri kwa mtu ambaye hana hata mawakala watu walianza kupiga kelele wakisema zingira ofisi .vijana walilala ofisi za tume wakiogopa kuchakachuliwa na tume .dada hakujua kama atashinda kumbe watu wakichoka kuburuzwa hufanya mambo mazito