Uchaguzi:So far so good

TandaleOne

JF-Expert Member
Sep 4, 2010
1,644
709
Tangu mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu uanze miezi kadhaa iliyopita, tumeshuhudia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ikijitahidi kufanya kazi zake kwa kiwango cha kuridhisha, kinyume na ilivyokuwa huko nyuma. Tume hiyo mara hii imejitahidi kufanya kazi zake kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni husika, kiasi cha watu wengi kujiuliza kama kweli hii ndiyo Tume waliyoijua miaka ya nyuma.

Katika chaguzi nyingi ambazo tume hiyo ilizisimamia miaka ya nyuma, wananchi walishuhudia vituko, mizengwe na kasoro nyingi zilizotokana na udhaifu wa tume hiyo ambayo, kwa kiasi kikubwa, ilionekana kuegemea upande mmoja tu wa chama tawala. Kutokana na tume hiyo kuonekana kama imejisalimisha kwa dola na chama tawala kwa kupokea amri na maelekezo kuhusu uendeshaji na utoaji wa maamuzi mbalimbali, wananchi walikosa imani siyo tu na tume hiyo, bali pia na mchakato mzima wa chaguzi hizo.

Tumefuatilia kwa makini tangu matayarisho ya uchaguzi huo mkuu wa mwaka huu yalipoanza hadi hivi sasa na kugundua kuwepo kwa ufanisi mkubwa kwa upande wa tume hiyo katika nyanja kadhaa muhimu. Kwanza, uandikishaji wa wapiga kura ulifanyika kwa uwazi, pasipo ubaguzi na katika mazingira yaliyowezesha zoezi hilo kuweka rekodi ya kuandikisha idadi kubwa zaidi ya wapiga kura kuliko wakati mwingine wowote. Tume ilihakikisha vifaa vinavyohitajika vinapatikana na vituo vya kujiandikisha vinaongezwa na vinapatiwa wafanyakazi wa kutosha.

Pili, tume hiyo ilifanya uteuzi wa wagombea kwa kufuata haki na matakwa ya vyama vilivyo katika kinyan’ganyiro cha kugombea urais, ubunge na udiwani. Na pale ambapo baadhi ya wagombea walioteuliwa na vyama walishindwa kurejesha fomu au kupata wadhamini, tume hiyo haikusita kuwaengua kama taratibu na kanuni zinavyotaka.

Tatu, tume hiyo pia ilizishughulikia kwa haki na umakini mkubwa pingamizi dhidi ya wagombea kwa kuhakikisha kwamba inazitupilia mbali zile zisizokuwa na msingi. Hii ilisaidia kuwarejesha ulingoni wagombea wote waliokuwa wamewekewa pingamizi kwa sababu za kisiasa, fitna au majungu.

Tungependa kuipongeza tume hiyo ya uchaguzi kwa kazi yake nzuri mpaka sasa, kwani kazi iliyo mbele yake ni kubwa mno. Kwa kuvitendea haki vyama vyote pasipo ubaguzi, tume inaweka misingi na mfumo endelevu utakaoendesha shughuli zake na siyo tu kuzifanya chaguzi zote zitakazofanyika kuwa huru na haki, bali pia kuwafanya wagombea wakubali matokeo. Hii inawezekana kwa sababu tume hiyo imeona umuhimu wa kuondokana na utamaduni wa kukipendelea chama tawala na sasa imeacha demokrasia ichukue mkondo wake.

Lakini pamoja na kutoa pongezi hizo, ingefaa tume hiyo ifahamu kwamba mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu bado unaendelea, hivyo isibweteke. Tunaishauri sasa isimame kidete na ihakikishe kwamba wagombea katika ngazi zote wanapewa fursa ya kufanya kampeni pasipo bughudha au vikwazo ilimradi wanafuata sheria na kanuni zilizokubaliwa baina ya vyama vyao na tume yenyewe. Tungependa kuona kwamba vyama au wagombea wanaokiuka sheria, taratibu na kanuni hizo wanachukuliwa hatua bila woga wala upendeleo.

Ni wajibu wa Tume pia kuhakikisha kwamba kampeni hizo zinafikia kilele katika hali ya amani na salama, kwa maana ya wananchi kupiga kura katika mazingira huru. Wagombea na mawakala wao washilikishwe katika zoezi la kuhesabu kura na wapiga kura waachwe washuhudie zoezi hilo huku wakifuata sheria na taratibu zilizowekwa.

Uwepo wa utitiri wa askari wenye silaha katika vituo vya kupigia kura utaleta hofu, na tunalipongeza Jeshi la Polisi nchini kwa kuahidi kwamba kamwe askari wao hawatakaribia vituo hivyo wala kubeba silaha za kivita eneo hilo siku hiyo ya kupiga kura. Sisi tunaiombea Tume kheri na fanaka katika kazi yake hiyo
 
Tangu mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu uanze miezi kadhaa iliyopita, tumeshuhudia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ikijitahidi kufanya kazi zake kwa kiwango cha kuridhisha, kinyume na ilivyokuwa huko nyuma. Tume hiyo mara hii imejitahidi kufanya kazi zake kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni husika, kiasi cha watu wengi kujiuliza kama kweli hii ndiyo Tume waliyoijua miaka ya nyuma.

Katika chaguzi nyingi ambazo tume hiyo ilizisimamia miaka ya nyuma, wananchi walishuhudia vituko, mizengwe na kasoro nyingi zilizotokana na udhaifu wa tume hiyo ambayo, kwa kiasi kikubwa, ilionekana kuegemea upande mmoja tu wa chama tawala. Kutokana na tume hiyo kuonekana kama imejisalimisha kwa dola na chama tawala kwa kupokea amri na maelekezo kuhusu uendeshaji na utoaji wa maamuzi mbalimbali, wananchi walikosa imani siyo tu na tume hiyo, bali pia na mchakato mzima wa chaguzi hizo.

Tumefuatilia kwa makini tangu matayarisho ya uchaguzi huo mkuu wa mwaka huu yalipoanza hadi hivi sasa na kugundua kuwepo kwa ufanisi mkubwa kwa upande wa tume hiyo katika nyanja kadhaa muhimu. Kwanza, uandikishaji wa wapiga kura ulifanyika kwa uwazi, pasipo ubaguzi na katika mazingira yaliyowezesha zoezi hilo kuweka rekodi ya kuandikisha idadi kubwa zaidi ya wapiga kura kuliko wakati mwingine wowote. Tume ilihakikisha vifaa vinavyohitajika vinapatikana na vituo vya kujiandikisha vinaongezwa na vinapatiwa wafanyakazi wa kutosha.

Pili, tume hiyo ilifanya uteuzi wa wagombea kwa kufuata haki na matakwa ya vyama vilivyo katika kinyan’ganyiro cha kugombea urais, ubunge na udiwani. Na pale ambapo baadhi ya wagombea walioteuliwa na vyama walishindwa kurejesha fomu au kupata wadhamini, tume hiyo haikusita kuwaengua kama taratibu na kanuni zinavyotaka.

Tatu, tume hiyo pia ilizishughulikia kwa haki na umakini mkubwa pingamizi dhidi ya wagombea kwa kuhakikisha kwamba inazitupilia mbali zile zisizokuwa na msingi. Hii ilisaidia kuwarejesha ulingoni wagombea wote waliokuwa wamewekewa pingamizi kwa sababu za kisiasa, fitna au majungu.

Tungependa kuipongeza tume hiyo ya uchaguzi kwa kazi yake nzuri mpaka sasa, kwani kazi iliyo mbele yake ni kubwa mno. Kwa kuvitendea haki vyama vyote pasipo ubaguzi, tume inaweka misingi na mfumo endelevu utakaoendesha shughuli zake na siyo tu kuzifanya chaguzi zote zitakazofanyika kuwa huru na haki, bali pia kuwafanya wagombea wakubali matokeo. Hii inawezekana kwa sababu tume hiyo imeona umuhimu wa kuondokana na utamaduni wa kukipendelea chama tawala na sasa imeacha demokrasia ichukue mkondo wake.

Lakini pamoja na kutoa pongezi hizo, ingefaa tume hiyo ifahamu kwamba mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu bado unaendelea, hivyo isibweteke. Tunaishauri sasa isimame kidete na ihakikishe kwamba wagombea katika ngazi zote wanapewa fursa ya kufanya kampeni pasipo bughudha au vikwazo ilimradi wanafuata sheria na kanuni zilizokubaliwa baina ya vyama vyao na tume yenyewe. Tungependa kuona kwamba vyama au wagombea wanaokiuka sheria, taratibu na kanuni hizo wanachukuliwa hatua bila woga wala upendeleo.

Ni wajibu wa Tume pia kuhakikisha kwamba kampeni hizo zinafikia kilele katika hali ya amani na salama, kwa maana ya wananchi kupiga kura katika mazingira huru. Wagombea na mawakala wao washilikishwe katika zoezi la kuhesabu kura na wapiga kura waachwe washuhudie zoezi hilo huku wakifuata sheria na taratibu zilizowekwa.

Uwepo wa utitiri wa askari wenye silaha katika vituo vya kupigia kura utaleta hofu, na tunalipongeza Jeshi la Polisi nchini kwa kuahidi kwamba kamwe askari wao hawatakaribia vituo hivyo wala kubeba silaha za kivita eneo hilo siku hiyo ya kupiga kura. Sisi tunaiombea Tume kheri na fanaka katika kazi yake hiyo

:glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::glasses-nerdy::becky::becky::becky::becky::becky::becky:
:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol:
 
:E"Katika chaguzi nyingi ambazo tume hiyo ilizisimamia miaka ya nyuma, wananchi walishuhudia vituko, mizengwe na kasoro nyingi zilizotokana na udhaifu wa tume hiyo ambayo, kwa kiasi kikubwa, ilionekana kuegemea upande mmoja tu wa chama tawala. Kutokana na tume hiyo kuonekana kama imejisalimisha kwa dola na chama tawala kwa kupokea amri na maelekezo kuhusu uendeshaji na utoaji wa maamuzi mbalimbali, wananchi walikosa imani siyo tu na tume hiyo, bali pia na mchakato mzima wa chaguzi hizo. "

Tume hiyo hiyo inaogopa kuwatuambia wananchi matokeo ya pingamizi za wagombea Ubunge. Inawatumia Barua wahusika kama vile wananchi hatupaswi kujua wamefikiaje uuamuzi wao. Bado tume ni mzingo mzito kwa demokrasia yetu.
 
:E"Katika chaguzi nyingi ambazo tume hiyo ilizisimamia miaka ya nyuma, wananchi walishuhudia vituko, mizengwe na kasoro nyingi zilizotokana na udhaifu wa tume hiyo ambayo, kwa kiasi kikubwa, ilionekana kuegemea upande mmoja tu wa chama tawala. Kutokana na tume hiyo kuonekana kama imejisalimisha kwa dola na chama tawala kwa kupokea amri na maelekezo kuhusu uendeshaji na utoaji wa maamuzi mbalimbali, wananchi walikosa imani siyo tu na tume hiyo, bali pia na mchakato mzima wa chaguzi hizo. "

Tume hiyo hiyo inaogopa kuwatuambia wananchi matokeo ya pingamizi za wagombea Ubunge. Inawatumia Barua wahusika kama vile wananchi hatupaswi kujua wamefikiaje uuamuzi wao. Bado tume ni mzingo mzito kwa demokrasia yetu.

Samahani:Hivi,kuna vyama vya upinzani au vikundi vya kutumia ujinga wa wananchi kupata ruzuku??Help please
 
Samahani:Hivi,kuna vyama vya upinzani au vikundi vya kutumia ujinga wa wananchi kupata ruzuku??Help please

[FONT=Georgia, Times New Roman, Times, serif][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Welcome Note from the Director[/FONT][/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Welcome to the Website of the Institute of Marine Sciences (IMS).[/FONT]


[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]The IMS was established in 1978 with the mandate to conduct research and offer postgraduate and undergraduate training and consultancy services in all aspects of marine sciences. Our vision is to become a centre of excellence in the advancement of knowledge in marine science.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]On this website we provide not only information about the organization and general functioning of the Institute but also about our research programmes, postgraduate training programmes, and milestones. The Institute is the National Oceanographic Data Centre and you will find information on ocean data and information management in Tanzania and links to other databases.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]We hope the information offered here is important to the scientific community, people seeking training in marine science and the general public and open up another channel of interaction with IMS.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Thank you for visiting our website. [/FONT]​
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
director.JPG

Dr. Margareth S. Kyewalyanga[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]DIRECTOR[/FONT]

 
[FONT=Georgia, Times New Roman, Times, serif][FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Welcome Note from the Director[/FONT][/FONT]

[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Welcome to the Website of the Institute of Marine Sciences (IMS).[/FONT]


[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]The IMS was established in 1978 with the mandate to conduct research and offer postgraduate and undergraduate training and consultancy services in all aspects of marine sciences. Our vision is to become a centre of excellence in the advancement of knowledge in marine science.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]On this website we provide not only information about the organization and general functioning of the Institute but also about our research programmes, postgraduate training programmes, and milestones. The Institute is the National Oceanographic Data Centre and you will find information on ocean data and information management in Tanzania and links to other databases.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]We hope the information offered here is important to the scientific community, people seeking training in marine science and the general public and open up another channel of interaction with IMS.[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]Thank you for visiting our website. [/FONT]​
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]
director.JPG

Dr. Margareth S. Kyewalyanga[/FONT]
[FONT=Arial, Helvetica, sans-serif]DIRECTOR[/FONT]



Political crisis in Tanzania??

Something like a political crisis is taking place in Tanzania. But don't hold your breath: it is simply a big circus – played by demagogic politicians, gluttonous businessmen and knuckleheaded journalists who are interested in nothing else but more money, more power, more attention and, do not discount it, more mistresses for themselves.

So, a better way to scan the current political landscape and its undercurrents is to get a grip of who these players are, what their motives could be, and the hypocrisy of the whole ongoing theater.

Members of Parliament: (This is an unprincipled mob. Less than a year ago, they booed Zitto for standing up firmly against alleged government mischief; today they pretend to be champions of the common man. Let us go through key players
1. Samuel Sitta – now, this is the epitome of hypocrisy. How can a man, with straight face, pose as a champion of virtues and ethics while his entire life is defined by unremarkable political achievements and countless allegations of abuse of office at TIC, in Bunge office and everywhere? He has screwed up, and inserted himself as the main news item, in every major issue that has come before the Parliament. However, in this ongoing theatre, you have to give him credit for wrestling the Parliament from CCM's control and for using the Speakership to build his own little empire of patronage and clientelism. At the moment, he is one of, if not THE, most powerful men in Tanzania. He coordinates his political mischief with Mr. Reginald Mengi, a tax-evading divorced showman with taste for younger women, to ensure that those scandalized in the Parliament get similar treatment in the media.
2. Harrison Mwakyembe – a frustrated intellectual turned political mercenary. Among the three "Mwas" giants from Mbeya (Mwakyembe, Mwandosya, and Mwakyusa), he is the least accomplished despite his somewhat decent schooling. Eager to play in Serie A like the other Mwas, he is up for sale, and price could be as low as the Deputy Ministerial portfolio. He surprised many who thought highly of him by presenting his Richmond report to the House without the decorum befitting his personage and reputation and by including references to Kubenea incident that did not have anything to do with a power deal he was asked to investigate. However, he is clever enough to know that Tanzanians have such a short attention span and his 15 minutes will be over soon. One thing is clear: he will go down the way of another sensational Mbeya politician, Njelu Kasaka, who shook the nation in the 1990s and got the audacity to run for President in 1995 while his 15 minutes were up.
3. Aloyce Kimaro – it baffles many that this semi-illiterate thug can even be a Member of Parliament. It speaks volume to the desperation of CCM to do anything, including recruiting thugs and former thieves, to win back opposition seats. The biggest comedy in the country at the moment is that this man is mentioned among principled Members of Parliament who can stand up and speak truth to power, including pointing a finger at Mkapa. Well, just few weeks ago he extorted a tender to guide VIPs to climb Mt. Kilimanjaro during the Sullivan Summit by threatening officials at the Ministry of Foreign Affairs that he will blast them in the Parliament. Pure blackmail.
4. John Malecela – a moral guide to what is going on in the Parliament at the moment. The beauty of watching politicians is when the lie to each other. Malecela hates JK to the bone but you wouldn't know seeing the two of them in public. He still believes that Emmanuel Nchimbi killed his son (through voodoo), and, somehow, that facilitated JK's ascendancy to the Presidency. He is a reasonable man and good father but his vengeful and opportunistic wife is steering him out of reason and hastening his path to senility.
5. Wilbrod Slaa – a former man of God who could not keep his celibacy vow, but thinks we are foolish enough to expect him to keep his word as a politician. This is an overeager and noisy politician who is constantly betrayed by his unchecked libido. His life at the moment is consumed by the struggle to take credit for anything and everything about grand corruption, because at some point in his political life he mentioned the phrase "grand corruption". With all that is going on at the moment, his noise has become background noise.
6. Zitto Kabwe – has matured over the past year, perhaps because he is being reasonable enough to hang around with as many people as possible or because he is being open-minded enough to accept token bribes from the CCM establishment. Certainly has a great future in politics.
7. Rostam Aziz – the prince of high finance is fighting for his political life and credibility as an honest businessman. Knives are thrown from every side and some are drawing blood. Although even his opponents would acknowledge his sharp mind and deep pockets, this time the lions are hungry and the den is shrinking. Mr.. Aziz has dealt with and has compromised almost every conceivable creature who matters in the political scene in the land, including his current nemeses. And that is his edge. He bankrolled Sitta's election to the Assembly and oversaw his triumph as Speaker against the genial old Pius Msekwa but now Sitta has made him enemy number one and he has made Sitta enemy number one. Politics!
8. Anne Kilango Malecela – a noisy heckler who cannot get over the fact she is not the First Lady. A tough and fearless woman whose vengeful inclination is either very suited or totally not suited for her new role as top disciplinarian in the parliament. But we like her.
9. Mizengo Pinda – a gentleman par excellence. It remains to be seen whether one can still be successful as a PM without behaving like Nikita Khrushchev.
10.Stanley Kevela Yono – a small time crook who, despite his years of thievery and wrecking our perfectly-parked cars in Dar city centre, has the audacity to stand up and profess anger against fellow thieves.
11. Raphael Chegeni – "please JK, I don't want much, I just want to be Deputy Minister. You see, I withdrew my private motion on Twin Towers after Chenge had resigned because I saw an opportunity there. I am better than Ngeleja and Masha is overrated"
12.Mark Mwandosya – "I told you, I could have done a better job"
13.Benard Membe – "I am telling you, I will do a better job. Condi Rice is my friend"
14.Edward Lowassa – "Damn, I was doing a better job – when the man was traveling"
15.Jackson Makwetta – "What year is this? Can I still be the PM"
16.Abdallah Kigoda – "Do you have a lighter?"
OTHER PLAYERS IN POLITICS, BUSINESS AND MEDIA
1. Reginald Mengi – feted by Mwinyi, snubbed by Mkapa, he is now preoccupied with blackmailing JK for a chair in his kitchen cabinet. Narcissistic to the core, he plays Kingmaker, taking the responsibility for the misfortunes of the recently fallen politicians and basking in the public undressing of Mkapa, which he is engineering using his media. Mr. Mengi holds court at his house to plot the unfolding of political events like an old Spartan general. Why? To prove masculinity and enhance an appearance that he is bigger, more important and richer than he actually is.


2. Freeman Mbowe – failed in school, failed in business, failed in politics, and all this after being born in the royal family, the House of Mbowe. And he still has the audacity to vie for Presidency. In the current political state of play, he is irrelevant, and, as a HIPC (Heavily Indebted Party Chairman), he is finished as a politician.
3. Saed Kubenea – Stan Katabalo imposter, only without the education, the sophistication, the principles and steely determination for which Katabalo is remembered for. A little Kingmaker in the making, if only he would be aware that he needs to stop being a pawn in the great political game. He gets direct congratulatory calls from Sumaye, Magufuli, Butiku, Warioba and others whenever his paper comes out. He is welcome at Salim A. Salim house. This is such an awesome achievement for a person who is half-schooled and who has never read any major literary work of non-fiction (and who might not get this joke). That our politicians would embrace Kubenea, who still milks the "acid incident", speaks of the level of their desperation to smear each other (in the name of "saving the country").
4. Issa Shivji – he gets a mention for nostalgic and sentimental reasons. In this post-ideology messy situation, the aging ideologue has become irrelevant as an intellectual and pundit except when Absalom Kibanda and Sakina Dattoo want to fill up columns. Prof., the workers of the world have figured out that the Juche Idea is a sham, and they have now resorted to radical evangelicism and Rwakatare's "prosperity gospel" to see the end of the tunnel.
5. Augustine Mrema – the man needs help.
6. Yussuph Makamba – clueless old man who is warming the SG seat for somebody else.
7. Absalom Kibanda – The editor of Tanzania Daima is really an attack pitbull that Freeman Mbowe unleashes once in a while. (Deodatus Balile is a pitbull for Rostam Aziz). The problem with Kibanda is the "Mbeya problem". He hasn't gotten over the fact that Mwandosya lost to JK fairly and squarely in 2005.


8. Tundu Lissu – a thuggish lawyer who is making a lot of noise against multinationals but is currently awash with [consulting] cash from multinationals.

Unaiukumbuka hiii?Who's missing???
 
Tangu mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu uanze miezi kadhaa iliyopita, tumeshuhudia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ikijitahidi kufanya kazi zake kwa kiwango cha kuridhisha, kinyume na ilivyokuwa huko nyuma. Tume hiyo mara hii imejitahidi kufanya kazi zake kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni husika, kiasi cha watu wengi kujiuliza kama kweli hii ndiyo Tume waliyoijua miaka ya nyuma.

Katika chaguzi nyingi ambazo tume hiyo ilizisimamia miaka ya nyuma, wananchi walishuhudia vituko, mizengwe na kasoro nyingi zilizotokana na udhaifu wa tume hiyo ambayo, kwa kiasi kikubwa, ilionekana kuegemea upande mmoja tu wa chama tawala. Kutokana na tume hiyo kuonekana kama imejisalimisha kwa dola na chama tawala kwa kupokea amri na maelekezo kuhusu uendeshaji na utoaji wa maamuzi mbalimbali, wananchi walikosa imani siyo tu na tume hiyo, bali pia na mchakato mzima wa chaguzi hizo.

Tumefuatilia kwa makini tangu matayarisho ya uchaguzi huo mkuu wa mwaka huu yalipoanza hadi hivi sasa na kugundua kuwepo kwa ufanisi mkubwa kwa upande wa tume hiyo katika nyanja kadhaa muhimu. Kwanza, uandikishaji wa wapiga kura ulifanyika kwa uwazi, pasipo ubaguzi na katika mazingira yaliyowezesha zoezi hilo kuweka rekodi ya kuandikisha idadi kubwa zaidi ya wapiga kura kuliko wakati mwingine wowote. Tume ilihakikisha vifaa vinavyohitajika vinapatikana na vituo vya kujiandikisha vinaongezwa na vinapatiwa wafanyakazi wa kutosha.

Pili, tume hiyo ilifanya uteuzi wa wagombea kwa kufuata haki na matakwa ya vyama vilivyo katika kinyan’ganyiro cha kugombea urais, ubunge na udiwani. Na pale ambapo baadhi ya wagombea walioteuliwa na vyama walishindwa kurejesha fomu au kupata wadhamini, tume hiyo haikusita kuwaengua kama taratibu na kanuni zinavyotaka.

Tatu, tume hiyo pia ilizishughulikia kwa haki na umakini mkubwa pingamizi dhidi ya wagombea kwa kuhakikisha kwamba inazitupilia mbali zile zisizokuwa na msingi. Hii ilisaidia kuwarejesha ulingoni wagombea wote waliokuwa wamewekewa pingamizi kwa sababu za kisiasa, fitna au majungu.

Tungependa kuipongeza tume hiyo ya uchaguzi kwa kazi yake nzuri mpaka sasa, kwani kazi iliyo mbele yake ni kubwa mno. Kwa kuvitendea haki vyama vyote pasipo ubaguzi, tume inaweka misingi na mfumo endelevu utakaoendesha shughuli zake na siyo tu kuzifanya chaguzi zote zitakazofanyika kuwa huru na haki, bali pia kuwafanya wagombea wakubali matokeo. Hii inawezekana kwa sababu tume hiyo imeona umuhimu wa kuondokana na utamaduni wa kukipendelea chama tawala na sasa imeacha demokrasia ichukue mkondo wake.

Lakini pamoja na kutoa pongezi hizo, ingefaa tume hiyo ifahamu kwamba mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu bado unaendelea, hivyo isibweteke. Tunaishauri sasa isimame kidete na ihakikishe kwamba wagombea katika ngazi zote wanapewa fursa ya kufanya kampeni pasipo bughudha au vikwazo ilimradi wanafuata sheria na kanuni zilizokubaliwa baina ya vyama vyao na tume yenyewe. Tungependa kuona kwamba vyama au wagombea wanaokiuka sheria, taratibu na kanuni hizo wanachukuliwa hatua bila woga wala upendeleo.

Ni wajibu wa Tume pia kuhakikisha kwamba kampeni hizo zinafikia kilele katika hali ya amani na salama, kwa maana ya wananchi kupiga kura katika mazingira huru. Wagombea na mawakala wao washilikishwe katika zoezi la kuhesabu kura na wapiga kura waachwe washuhudie zoezi hilo huku wakifuata sheria na taratibu zilizowekwa.

Uwepo wa utitiri wa askari wenye silaha katika vituo vya kupigia kura utaleta hofu, na tunalipongeza Jeshi la Polisi nchini kwa kuahidi kwamba kamwe askari wao hawatakaribia vituo hivyo wala kubeba silaha za kivita eneo hilo siku hiyo ya kupiga kura. Sisi tunaiombea Tume kheri na fanaka katika kazi yake hiyo


Asante kwa bandiko zuri Tandale One. Big Up!!!!!!!
 
ha ha ha, wale wabunge waliopita bila kupingwa waliokuwa wanapitishwa na nani? tume ya uchaguzi au ya ushindi wa chama cha majambazi ccm?

Unaikumbuka hii?????:becky: 2008

Political crisis in Tanzania??

Something like a political crisis is taking place in Tanzania. But don't hold your breath: it is simply a big circus – played by demagogic politicians, gluttonous businessmen and knuckleheaded journalists who are interested in nothing else but more money, more power, more attention and, do not discount it, more mistresses for themselves.

So, a better way to scan the current political landscape and its undercurrents is to get a grip of who these players are, what their motives could be, and the hypocrisy of the whole ongoing theater.

Members of Parliament: (This is an unprincipled mob. Less than a year ago, they booed Zitto for standing up firmly against alleged government mischief; today they pretend to be champions of the common man. Let us go through key players
1. Samuel Sitta – now, this is the epitome of hypocrisy. How can a man, with straight face, pose as a champion of virtues and ethics while his entire life is defined by unremarkable political achievements and countless allegations of abuse of office at TIC, in Bunge office and everywhere? He has screwed up, and inserted himself as the main news item, in every major issue that has come before the Parliament. However, in this ongoing theatre, you have to give him credit for wrestling the Parliament from CCM's control and for using the Speakership to build his own little empire of patronage and clientelism. At the moment, he is one of, if not THE, most powerful men in Tanzania. He coordinates his political mischief with Mr. Reginald Mengi, a tax-evading divorced showman with taste for younger women, to ensure that those scandalized in the Parliament get similar treatment in the media.
2. Harrison Mwakyembe – a frustrated intellectual turned political mercenary. Among the three "Mwas" giants from Mbeya (Mwakyembe, Mwandosya, and Mwakyusa), he is the least accomplished despite his somewhat decent schooling. Eager to play in Serie A like the other Mwas, he is up for sale, and price could be as low as the Deputy Ministerial portfolio. He surprised many who thought highly of him by presenting his Richmond report to the House without the decorum befitting his personage and reputation and by including references to Kubenea incident that did not have anything to do with a power deal he was asked to investigate. However, he is clever enough to know that Tanzanians have such a short attention span and his 15 minutes will be over soon. One thing is clear: he will go down the way of another sensational Mbeya politician, Njelu Kasaka, who shook the nation in the 1990s and got the audacity to run for President in 1995 while his 15 minutes were up.
3. Aloyce Kimaro – it baffles many that this semi-illiterate thug can even be a Member of Parliament. It speaks volume to the desperation of CCM to do anything, including recruiting thugs and former thieves, to win back opposition seats. The biggest comedy in the country at the moment is that this man is mentioned among principled Members of Parliament who can stand up and speak truth to power, including pointing a finger at Mkapa. Well, just few weeks ago he extorted a tender to guide VIPs to climb Mt. Kilimanjaro during the Sullivan Summit by threatening officials at the Ministry of Foreign Affairs that he will blast them in the Parliament. Pure blackmail.
4. John Malecela – a moral guide to what is going on in the Parliament at the moment. The beauty of watching politicians is when the lie to each other. Malecela hates JK to the bone but you wouldn't know seeing the two of them in public. He still believes that Emmanuel Nchimbi killed his son (through voodoo), and, somehow, that facilitated JK's ascendancy to the Presidency. He is a reasonable man and good father but his vengeful and opportunistic wife is steering him out of reason and hastening his path to senility.
5. Wilbrod Slaa – a former man of God who could not keep his celibacy vow, but thinks we are foolish enough to expect him to keep his word as a politician. This is an overeager and noisy politician who is constantly betrayed by his unchecked libido. His life at the moment is consumed by the struggle to take credit for anything and everything about grand corruption, because at some point in his political life he mentioned the phrase "grand corruption". With all that is going on at the moment, his noise has become background noise.
6. Zitto Kabwe – has matured over the past year, perhaps because he is being reasonable enough to hang around with as many people as possible or because he is being open-minded enough to accept token bribes from the CCM establishment. Certainly has a great future in politics.
7. Rostam Aziz – the prince of high finance is fighting for his political life and credibility as an honest businessman. Knives are thrown from every side and some are drawing blood. Although even his opponents would acknowledge his sharp mind and deep pockets, this time the lions are hungry and the den is shrinking. Mr.. Aziz has dealt with and has compromised almost every conceivable creature who matters in the political scene in the land, including his current nemeses. And that is his edge. He bankrolled Sitta's election to the Assembly and oversaw his triumph as Speaker against the genial old Pius Msekwa but now Sitta has made him enemy number one and he has made Sitta enemy number one. Politics!
8. Anne Kilango Malecela – a noisy heckler who cannot get over the fact she is not the First Lady. A tough and fearless woman whose vengeful inclination is either very suited or totally not suited for her new role as top disciplinarian in the parliament. But we like her.
9. Mizengo Pinda – a gentleman par excellence. It remains to be seen whether one can still be successful as a PM without behaving like Nikita Khrushchev.
10.Stanley Kevela Yono – a small time crook who, despite his years of thievery and wrecking our perfectly-parked cars in Dar city centre, has the audacity to stand up and profess anger against fellow thieves.
11. Raphael Chegeni – "please JK, I don't want much, I just want to be Deputy Minister. You see, I withdrew my private motion on Twin Towers after Chenge had resigned because I saw an opportunity there. I am better than Ngeleja and Masha is overrated"
12.Mark Mwandosya – "I told you, I could have done a better job"
13.Benard Membe – "I am telling you, I will do a better job. Condi Rice is my friend"
14.Edward Lowassa – "Damn, I was doing a better job – when the man was traveling"
15.Jackson Makwetta – "What year is this? Can I still be the PM"
16.Abdallah Kigoda – "Do you have a lighter?"
OTHER PLAYERS IN POLITICS, BUSINESS AND MEDIA
1. Reginald Mengi – feted by Mwinyi, snubbed by Mkapa, he is now preoccupied with blackmailing JK for a chair in his kitchen cabinet. Narcissistic to the core, he plays Kingmaker, taking the responsibility for the misfortunes of the recently fallen politicians and basking in the public undressing of Mkapa, which he is engineering using his media. Mr. Mengi holds court at his house to plot the unfolding of political events like an old Spartan general. Why? To prove masculinity and enhance an appearance that he is bigger, more important and richer than he actually is.


2. Freeman Mbowe – failed in school, failed in business, failed in politics, and all this after being born in the royal family, the House of Mbowe. And he still has the audacity to vie for Presidency. In the current political state of play, he is irrelevant, and, as a HIPC (Heavily Indebted Party Chairman), he is finished as a politician.
3. Saed Kubenea – Stan Katabalo imposter, only without the education, the sophistication, the principles and steely determination for which Katabalo is remembered for. A little Kingmaker in the making, if only he would be aware that he needs to stop being a pawn in the great political game. He gets direct congratulatory calls from Sumaye, Magufuli, Butiku, Warioba and others whenever his paper comes out. He is welcome at Salim A. Salim house. This is such an awesome achievement for a person who is half-schooled and who has never read any major literary work of non-fiction (and who might not get this joke). That our politicians would embrace Kubenea, who still milks the "acid incident", speaks of the level of their desperation to smear each other (in the name of "saving the country").
4. Issa Shivji – he gets a mention for nostalgic and sentimental reasons. In this post-ideology messy situation, the aging ideologue has become irrelevant as an intellectual and pundit except when Absalom Kibanda and Sakina Dattoo want to fill up columns. Prof., the workers of the world have figured out that the Juche Idea is a sham, and they have now resorted to radical evangelicism and Rwakatare's "prosperity gospel" to see the end of the tunnel.
5. Augustine Mrema – the man needs help.
6. Yussuph Makamba – clueless old man who is warming the SG seat for somebody else.
7. Absalom Kibanda – The editor of Tanzania Daima is really an attack pitbull that Freeman Mbowe unleashes once in a while. (Deodatus Balile is a pitbull for Rostam Aziz). The problem with Kibanda is the "Mbeya problem". He hasn't gotten over the fact that Mwandosya lost to JK fairly and squarely in 2005.


8. Tundu Lissu – a thuggish lawyer who is making a lot of noise against multinationals but is currently awash with [consulting] cash from multinationals.
 
Hii ni habari.Nafurahi imekufikia.

From WikipediaThe German Navy is commanded by the Inspekteur der Marine in the Federal Ministry of Defence in Bonn. The major commands are the Fleet Command at Glücksburg near Flensburg and the Naval Office at Rostock. The Fleet is commanded by the Befehlshaber der Flotte (Commander-in-Chief German Fleet or CINCGERFLEET) and comprises all combat vessels, aircraft, helicopters and other combat forces, while schools, naval bases and test installations are under the purview of the Naval Office. The strength of the Navy is about 17,000 men and women[2].
The navy as a part of the Bundeswehr is responsible for developing and providing the maritime capabilities of the German armed forces. Therefore it is operating a number of development and testing installations as part of an inter-service and international network.
[edit] The Fleet

  • <LI sizcache="0" sizset="6">Fleet Command (Flottenkommando), Glücksburg
    • <LI sizcache="0" sizset="7">1st Flotilla (Einsatzflottille 1), Kiel
      • <LI sizcache="0" sizset="8">HQ 1st Flotilla
        • Centre of Excellence for Operations in Confined and Shallow Waters (COE CSW)
      • 1st Corvette Squadron (1. Korvettengeschwader), Warnemünde
      • 1st Submarine Squadron (1. Unterseebootgeschwader), Eckernförde
      • Submarine Training Centre (Ausbildungszentrum Unterseeboote), Eckernförde
      • 3rd Mine Countermeasures Squadron (3. Minensuchgeschwader), Kiel
      • 7th Fast Patrol Boat Squadron (7. Schnellbootgeschwader), Warnemünde
      • 5th Mine Countermeasures Squadron (5. Minensuchgeschwader), Kiel<LI sizcache="0" sizset="9">Force Protection Group, (Marineschutzkräfte), Eckernförde
        • HQ
        • 3x Force Protection companies (Marinesicherungskompanie)
        • HUMINT platoon (Feldnachrichtenzug)
      • Special Warfare Group, (Spezialisierte Einsatzkräfte Marine), Eckernförde
        • HQ
        • combat diver company (Kampfschwimmerkompanie)
        • mine clearance diver company (mine countermeasures and explosive ordnance disposal; Minentaucherkompanie)
        • Boarding company
        • Training Company (Ausbildungsinspektion)
    • 2nd Flotilla (Einsatzflottille 2), Wilhelmshaven
    • Naval Air Wing 3 (Marinefliegergeschwader 3), Nordholz
    • Naval Air Wing 5 (Marinefliegergeschwader 5), Kiel
    • Naval Medical Institute (Schiffahrtsmedizinisches Institut), Kiel (responsible especially for diving medicine)
[edit] Naval Office

  • <LI sizcache="0" sizset="13">Naval Office (Marineamt), Rostock
    • Department for Development of the Navy, Bremerhaven<LI sizcache="0" sizset="14">Navy Schools (Admiral Naval Training)
      • Naval Academy (Marineschule Mürwik), Flensburg-Mürwik
      • Petty Officer School (Marineunteroffiziersschule), Plön
      • Engineering School (Marinetechnikschule), Parow, near Stralsund
        • Damage Control Training Centre (Ausbildungszentrum für Schiffssicherung), Neustadt in Holstein
      • Naval Operations School (Marineoperationsschule), Bremerhaven
    • Supporting Installations (Admiral Naval Logistics)
      • Naval Base Command (Marinestützpunktkommando) Wilhelmshaven
      • Naval Base Command (Marinestützpunktkommando) Eckernförde
      • Naval Base Command (Marinestützpunktkommando) Kiel
      • Naval Base Command (Marinestützpunktkommando) Warnemünde
      • Naval Service Test Command (Kommando Truppenversuche der Marine), Eckernförde
      • Naval Command & Control Systems Command (Kommando Marineführungssysteme), Wilhelmshaven
[edit] Ranks

, the free encyclopedia
 
Aaaaaaaaaaaaaaarrrrgggggg!!! Mbona sasa topic zilizoko katika thread hii zinajikoroga koroga, hazijatulia. Title inasema "Uchaguzi: So farso good". Halafu mara amada ya chuo cha marine, mara orodha ya wabunge na watu mashuhuri nchini, mara suala la jeshi la maji la Ujerumani!!! What is this?????
 
Aaaaaaaaaaaaaaarrrrgggggg!!! Mbona sasa topic zilizoko katika thread hii zinajikoroga koroga, hazijatulia. Title inasema "Uchaguzi: So farso good". Halafu mara amada ya chuo cha marine, mara orodha ya wabunge na watu mashuhuri nchini, mara suala la jeshi la maji la Ujerumani!!! What is this?????

User Reviews

(Review this title)
7 out of 10 people found the following review useful.
I actually really enjoyed it, 29 May 2007


Author: grandmastersik from Finland

I heard that this film was a stinker so went into it with low hopes.

The cheesy salute and Cena in uniform against the flag for the opening title was so bad that I was ready to believe everything. Then he went and killed a few Arabs, rescuing some Septic soldiers in the process (or was it the other way around? It was a needless introduction anyhow). Cue one semi-sex scene, at the start of which I was thinking, "Can this get any worse?" and then - as if by magic - we were spared the senseless soft porn and the film picked up.

Cena takes a job as a security guard but things don't work out as planned (though they're certainly entertaining), and he and his wife decide to take some time away from it all.

Cute.

Oh, wait, because Cena - just coming back from a tour of duty in Afghanistan, which saw him being dismissed from the Core - has seen too much sand lately (or words to that effect) and they opt for a trip to the mountains instead - a decision which leads to his wife being taken hostage by a group of diamond smugglers with a penchant for killing people at random.

It's all been fun up to this point (if only somebody would have re-edited the title and chopped off the opening scene) and the tongue-in-cheek, over-the-top action suddenly goes into over-drive - much to my complete satisfaction.

Unrealistic? Ludicrous?

Well who wants to see real violence - it's not entertaining, it's sick! And "ludicrous" is the deus ex machina in Twelve Monkeys; nothing nearly as ill-fitting or bad as that can ever occur again - least of all in a film like this.

Give this film a chance and make your own mind up about it - that's the best advice I can offer. Take it all with the extra pinch of salt it was intended to be seen with and you might just even find yourself enjoying it too.

Oh, and in what other films does one hear terrific lines like, "Does everything have to be racial with you?"

In order to know what I mean by that, you'll just have to watch it, but it's something I've expressed in the past to many a lip-kissing sound, so kudos for leaving the great satire in.
Was the above review useful to you?

See more (263 total) »
 
Aaaaaaaaaaaaaaarrrrgggggg!!! Mbona sasa topic zilizoko katika thread hii zinajikoroga koroga, hazijatulia. Title inasema "Uchaguzi: So farso good". Halafu mara amada ya chuo cha marine, mara orodha ya wabunge na watu mashuhuri nchini, mara suala la jeshi la maji la Ujerumani!!! What is this?????


:eek2::eek2::eek2::eek2::eek2:
:lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol::lol:
 
Tangu mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu uanze miezi kadhaa iliyopita, tumeshuhudia Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), ikijitahidi kufanya kazi zake kwa kiwango cha kuridhisha, kinyume na ilivyokuwa huko nyuma. Tume hiyo mara hii imejitahidi kufanya kazi zake kwa mujibu wa sheria, taratibu na kanuni husika, kiasi cha watu wengi kujiuliza kama kweli hii ndiyo Tume waliyoijua miaka ya nyuma.

Katika chaguzi nyingi ambazo tume hiyo ilizisimamia miaka ya nyuma, wananchi walishuhudia vituko, mizengwe na kasoro nyingi zilizotokana na udhaifu wa tume hiyo ambayo, kwa kiasi kikubwa, ilionekana kuegemea upande mmoja tu wa chama tawala. Kutokana na tume hiyo kuonekana kama imejisalimisha kwa dola na chama tawala kwa kupokea amri na maelekezo kuhusu uendeshaji na utoaji wa maamuzi mbalimbali, wananchi walikosa imani siyo tu na tume hiyo, bali pia na mchakato mzima wa chaguzi hizo.

Tumefuatilia kwa makini tangu matayarisho ya uchaguzi huo mkuu wa mwaka huu yalipoanza hadi hivi sasa na kugundua kuwepo kwa ufanisi mkubwa kwa upande wa tume hiyo katika nyanja kadhaa muhimu. Kwanza, uandikishaji wa wapiga kura ulifanyika kwa uwazi, pasipo ubaguzi na katika mazingira yaliyowezesha zoezi hilo kuweka rekodi ya kuandikisha idadi kubwa zaidi ya wapiga kura kuliko wakati mwingine wowote. Tume ilihakikisha vifaa vinavyohitajika vinapatikana na vituo vya kujiandikisha vinaongezwa na vinapatiwa wafanyakazi wa kutosha.

Pili, tume hiyo ilifanya uteuzi wa wagombea kwa kufuata haki na matakwa ya vyama vilivyo katika kinyan'ganyiro cha kugombea urais, ubunge na udiwani. Na pale ambapo baadhi ya wagombea walioteuliwa na vyama walishindwa kurejesha fomu au kupata wadhamini, tume hiyo haikusita kuwaengua kama taratibu na kanuni zinavyotaka.

Tatu, tume hiyo pia ilizishughulikia kwa haki na umakini mkubwa pingamizi dhidi ya wagombea kwa kuhakikisha kwamba inazitupilia mbali zile zisizokuwa na msingi. Hii ilisaidia kuwarejesha ulingoni wagombea wote waliokuwa wamewekewa pingamizi kwa sababu za kisiasa, fitna au majungu.

Tungependa kuipongeza tume hiyo ya uchaguzi kwa kazi yake nzuri mpaka sasa, kwani kazi iliyo mbele yake ni kubwa mno. Kwa kuvitendea haki vyama vyote pasipo ubaguzi, tume inaweka misingi na mfumo endelevu utakaoendesha shughuli zake na siyo tu kuzifanya chaguzi zote zitakazofanyika kuwa huru na haki, bali pia kuwafanya wagombea wakubali matokeo. Hii inawezekana kwa sababu tume hiyo imeona umuhimu wa kuondokana na utamaduni wa kukipendelea chama tawala na sasa imeacha demokrasia ichukue mkondo wake.

Lakini pamoja na kutoa pongezi hizo, ingefaa tume hiyo ifahamu kwamba mchakato wa Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu bado unaendelea, hivyo isibweteke. Tunaishauri sasa isimame kidete na ihakikishe kwamba wagombea katika ngazi zote wanapewa fursa ya kufanya kampeni pasipo bughudha au vikwazo ilimradi wanafuata sheria na kanuni zilizokubaliwa baina ya vyama vyao na tume yenyewe. Tungependa kuona kwamba vyama au wagombea wanaokiuka sheria, taratibu na kanuni hizo wanachukuliwa hatua bila woga wala upendeleo.

Ni wajibu wa Tume pia kuhakikisha kwamba kampeni hizo zinafikia kilele katika hali ya amani na salama, kwa maana ya wananchi kupiga kura katika mazingira huru. Wagombea na mawakala wao washilikishwe katika zoezi la kuhesabu kura na wapiga kura waachwe washuhudie zoezi hilo huku wakifuata sheria na taratibu zilizowekwa.

Uwepo wa utitiri wa askari wenye silaha katika vituo vya kupigia kura utaleta hofu, na tunalipongeza Jeshi la Polisi nchini kwa kuahidi kwamba kamwe askari wao hawatakaribia vituo hivyo wala kubeba silaha za kivita eneo hilo siku hiyo ya kupiga kura. Sisi tunaiombea Tume kheri na fanaka katika kazi yake hiyo

 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom