ukishinda sherekea kwa amani siyo kuanza vurugu kwawale uliowashinda polisi wakigeuka mtapata tabu badala ya raha, au ndo ulimbukkeni wa madaraka ? nawashauri walioshinda wawe watulivu waende bungeni kwa kutetea wananchi na hoja za msingi siyo kuropoka tu igeni nyendo za Dr.Slaa anayetoa mambo kwa evidence! he is good !