24 Agosti 2020
Katika mahojiano maalum Mwanzuoni wa masuala ya binadamu, mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha UDSM mwalimu Dr. Azavery Lwaitama amesema anaufuatilia michakato uchaguzi wa Oktoba 2020 kwa ukaribu
Tukio la uchaguzi wa 2020 ni kuthibitisha wananchi ndiyo watawala halisi wa nchi hii Tanzania na siyo Bunge, wala taasisi ya uRais, udiwani. Hilo ni muhimu waTanzania wapiga kura kutambua ni watu-huru na wasisahau kuwa tukio la Oktoba watambue wasiuze uhuru wao kwa wagombea wanaopenda kutawala badala ya kuongoza.
Hivyo wapiga kura wawe makini kuchagua wagombea ambayo hawatajitwalia madaraka ya kuwaswaga wananchi kwa kigezo cha kuchaguliwa kwa kura.
Tukio la kupiga kura kisigeuzwe kuwa ni maridhiano ya kuuza uhuru na utu wao ili watawaliwe kwa miaka mitano bila uhuru au sauti ya kuwakosoa au kushirikishwa ktk maamuzi na wanasiasa watakaokuwa wameingia madarakani ktk serikali, bungeni au ktk mabaraza ya madiwani.
Tofauti za Mvuto wa wagombea katika uchaguzi wa Oktoba 2020 kutafuta wadhamini, hivyo wapiga kura Watanzania wanahisia gani kwa wagombea wanaotafuta udhamini na wale wa kimya kimya waliopitishwa na vyama wanavyovipenda na kuviamini vyama vyao.
Chama cha ANC cha Afrika ya Kusini kilipigwa marufuku na makaburu kwa muda mrefu lakini ANC walikuja kuibuka washindi huku Mandela mbali ya kuweko nje ya siasa kwa miaka 27 alichaguliwa kuwa Rais na pia ANC chama kilichopigwa marufuku ya siasa kilipata wabunge wengi. Uchaguzi huo wa kihistoria wa mwaka 1994 baada ya ubaguzi kuondolewa ulihusisha vyama 19 vya siasa nchi Afrika ya Kusini ANC, PAC, NP na :
Historia katika Sayansi ya Siasa ( Political Science) inaonesha vyama vinavyofungiwa kufanya siasa vina uwezekano wa kuibuka washindi kushika dola kupitia uchaguzi huru na wa haki.
Chama kilichopo madarakani kina fursa kutumia walichofanya kwa wananchi kushinda uchaguzi.
Lakini katika siasa chochote kinaweza kutokea bila kujali chama kilikuwa madarakani au katika katazo la kufanya siasa kushinda.
Ngazi ya ki-urais katika kuwania nafasi ya urais hata wakijitokeza watu 100 historia huonesha ni watu wawili tu ndiyo watakuwa wanachuana vikali.
Na mpaka sasa inaonesha uchaguzi wa mwaka huu utakuwa ngumu na matokeo ya kustaajabisha sana anamalizi mwanazuoni huyu mahiri aliye mtu-huru katika uchambuzi wake wa eneo lake la taalumu ya uchambuzi wa tabia za binadamu na leo ameangazia eneo la siasa na chaguzi.
SOURCE: MwanaHalisi TV
Katika mahojiano maalum Mwanzuoni wa masuala ya binadamu, mhadhiri mstaafu wa Chuo Kikuu cha UDSM mwalimu Dr. Azavery Lwaitama amesema anaufuatilia michakato uchaguzi wa Oktoba 2020 kwa ukaribu
Tukio la uchaguzi wa 2020 ni kuthibitisha wananchi ndiyo watawala halisi wa nchi hii Tanzania na siyo Bunge, wala taasisi ya uRais, udiwani. Hilo ni muhimu waTanzania wapiga kura kutambua ni watu-huru na wasisahau kuwa tukio la Oktoba watambue wasiuze uhuru wao kwa wagombea wanaopenda kutawala badala ya kuongoza.
Hivyo wapiga kura wawe makini kuchagua wagombea ambayo hawatajitwalia madaraka ya kuwaswaga wananchi kwa kigezo cha kuchaguliwa kwa kura.
Tukio la kupiga kura kisigeuzwe kuwa ni maridhiano ya kuuza uhuru na utu wao ili watawaliwe kwa miaka mitano bila uhuru au sauti ya kuwakosoa au kushirikishwa ktk maamuzi na wanasiasa watakaokuwa wameingia madarakani ktk serikali, bungeni au ktk mabaraza ya madiwani.
Tofauti za Mvuto wa wagombea katika uchaguzi wa Oktoba 2020 kutafuta wadhamini, hivyo wapiga kura Watanzania wanahisia gani kwa wagombea wanaotafuta udhamini na wale wa kimya kimya waliopitishwa na vyama wanavyovipenda na kuviamini vyama vyao.
Chama cha ANC cha Afrika ya Kusini kilipigwa marufuku na makaburu kwa muda mrefu lakini ANC walikuja kuibuka washindi huku Mandela mbali ya kuweko nje ya siasa kwa miaka 27 alichaguliwa kuwa Rais na pia ANC chama kilichopigwa marufuku ya siasa kilipata wabunge wengi. Uchaguzi huo wa kihistoria wa mwaka 1994 baada ya ubaguzi kuondolewa ulihusisha vyama 19 vya siasa nchi Afrika ya Kusini ANC, PAC, NP na :
19 political parties: African National Congress (ANC), National Party (NP), Inkatha Freedom Party (IFP), Pan Africanist Congress of Azania (PAC), Freedom Front (FF), Democratic Party (DP), African Christian Democratic Party (ACDP), Africa Muslim Party (AMP), African Moderates Congress (AMC), Dikwankwetla Party of South Africa (DPSA), Federal Party (FP), Minority Front (MF), Sport Organisation for Collective Contributions and Equal Rights (SOCCER), African Democratic Movement (ADM), Women’s Right Peace Party (WRPP), Ximoko Progressive Party (XPP), Keep It Straight & Simple Party (KISS), Worker’s List Party (WLP), and Luso-South Africa Party (LUSO). The South African general elections: 1994 | South African History Online
Historia katika Sayansi ya Siasa ( Political Science) inaonesha vyama vinavyofungiwa kufanya siasa vina uwezekano wa kuibuka washindi kushika dola kupitia uchaguzi huru na wa haki.
Chama kilichopo madarakani kina fursa kutumia walichofanya kwa wananchi kushinda uchaguzi.
Lakini katika siasa chochote kinaweza kutokea bila kujali chama kilikuwa madarakani au katika katazo la kufanya siasa kushinda.
Ngazi ya ki-urais katika kuwania nafasi ya urais hata wakijitokeza watu 100 historia huonesha ni watu wawili tu ndiyo watakuwa wanachuana vikali.
Na mpaka sasa inaonesha uchaguzi wa mwaka huu utakuwa ngumu na matokeo ya kustaajabisha sana anamalizi mwanazuoni huyu mahiri aliye mtu-huru katika uchambuzi wake wa eneo lake la taalumu ya uchambuzi wa tabia za binadamu na leo ameangazia eneo la siasa na chaguzi.
SOURCE: MwanaHalisi TV