Kahama_Tanzania
Member
- May 11, 2019
- 72
- 13
Kwani Lissu wa kaskazini? Mbowe kakubali? Au unataka mwenzio aambiwe "nitakushughulikia"
Una ushahidi wowote hata wa kuunga kwa udongo ?Chadema wote wanataka Membe, wewe ni nyumbu wa wapi unataka Lisu?
Ukabila umekung'oa ubongo !Kwani Lissu wa kaskazini? Mbowe kakubali? Au unataka mwenzio aambiwe "nitakushughulikia"
Wenye jicho la 3 tayari tulishaona kitamboAmeeeeen. Mungu mkubwa sana jamani. Benard Membe sasa rasmi atapeperusha bendera ya CCM. Vyanzo makini vya ndani ya chama cha kijani ni kuwa chaguo lao sasa ni gwiji wa diplomasia barani Afrika.
MEMBEMembe au JPM?
mkuu naona MSUMARI UNAKUINGIA VEMA!Kuna ndoto nyingine mnaziotaga wapi sijui,
Hivi kuna mtu anawaza Membe kupeperusha Bendera ya CCM kwenye uchaguzi wa 2020?
Mkiwa hamna hela ya kufuturu so lazima kufunga
Naamini ndio hivo.Membe au JPM?
yupi huyuhuyu??ccm apeperushe Membe?? we labda utakua umeteleza kuandika...CCM inapeperushwa na DR.JOHN JOSEPH MAGUFULI...huko upinzani sijui nyie msimamisheni hata MAALIM sawa tu
mkuu membe kupitia CCMNaamini ndio hivo.
Membe - Chadema na JPM - CCM.
Mapema asubuhi CCM wanatangaza ushindi 95%.
Lazima nikapige kura
mkuu naona MSUMARI UNAKUINGIA VEMA!
2020 MEMBE for PRESIDENTIAL via CCM
Una maana member ccm kuchukuana na Lissu kumpata mgombea wa upinzani? Hivi kwanini mnajitoa ufahamu ninyi watu mnadhani watanzania wote ni members wa JF FB na social media zenu?Kuna haja ya Watanzania kuanza kuwafuatilia mapema wagombea wa vyama vya siasa wanaotajwa kupeperusha bendera kwenye uchaguzi mkuu , hii ni muhimu sana kwa vile hutoa nafasi ya kuwajua kiundani wagombea wetu wanaotarajiwa kubeba jukumu la kuongoza nchi yetu iliyokumbwa na changamoto ya kidemokrasia , ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na kukongoroka kiuchumi mithili ya ng'ombe mwenye watoto mapacha aliyekosa malisho
Wadadisi wanauangalia uchaguzi wa 2020 kama uchaguzi utakaoacha bumbuwazi kutokana na aina ya wagombea wanatajwa kupeperusha bendera za vyama vyao , Benard Membe ambaye ni mbabe wa diplomasia ya kimataifa anatajwa kupeperusha bendera ya ccm kwa almost 75%, huku wapinzani wakijiapiza kumpa nafasi Tundu Lissu ambaye ni mbabe wa Utawala wa Sheria anayejikita zaidi kuheshimu Katiba ya nchi na uhuru wa kujieleza .
Zipo taarifa pia za jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha Uchaguzi unakuwa huru na haki kuanzia kwenye kampeni hadi ndani ya sanduku la kura , Je kuna wa kumzuia Lissu?
Unadhani kutumia picha ya Membe kama profile yako itashawishi wapiga kura?mkuu membe kupitia CCM
Shida yako umpe wasiwasi tu Mh. Rais JPM, huna kipya.
Hivi membe si kaenda Act au?
Wewe umetumia vidonge ama mihadarati gani mkuu. Mwenyewe kishawaambia kakatwa mkia lakini akili zenu finyu zimeshindwa jata kumuelewa jamani?Kuna haja ya Watanzania kuanza kuwafuatilia mapema wagombea wa vyama vya siasa wanaotajwa kupeperusha bendera kwenye uchaguzi mkuu , hii ni muhimu sana kwa vile hutoa nafasi ya kuwajua kiundani wagombea wetu wanaotarajiwa kubeba jukumu la kuongoza nchi yetu iliyokumbwa na changamoto ya kidemokrasia , ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na kukongoroka kiuchumi mithili ya ng'ombe mwenye watoto mapacha aliyekosa malisho
Wadadisi wanauangalia uchaguzi wa 2020 kama uchaguzi utakaoacha bumbuwazi kutokana na aina ya wagombea wanatajwa kupeperusha bendera za vyama vyao , Benard Membe ambaye ni mbabe wa diplomasia ya kimataifa anatajwa kupeperusha bendera ya ccm kwa almost 75%, huku wapinzani wakijiapiza kumpa nafasi Tundu Lissu ambaye ni mbabe wa Utawala wa Sheria anayejikita zaidi kuheshimu Katiba ya nchi na uhuru wa kujieleza .
Zipo taarifa pia za jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha Uchaguzi unakuwa huru na haki kuanzia kwenye kampeni hadi ndani ya sanduku la kura , Je kuna wa kumzuia Lissu?
Kuna haja ya Watanzania kuanza kuwafuatilia mapema wagombea wa vyama vya siasa wanaotajwa kupeperusha bendera kwenye uchaguzi mkuu , hii ni muhimu sana kwa vile hutoa nafasi ya kuwajua kiundani wagombea wetu wanaotarajiwa kubeba jukumu la kuongoza nchi yetu iliyokumbwa na changamoto ya kidemokrasia , ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu na kukongoroka kiuchumi mithili ya ng'ombe mwenye watoto mapacha aliyekosa malisho
Wadadisi wanauangalia uchaguzi wa 2020 kama uchaguzi utakaoacha bumbuwazi kutokana na aina ya wagombea wanatajwa kupeperusha bendera za vyama vyao , Benard Membe ambaye ni mbabe wa diplomasia ya kimataifa anatajwa kupeperusha bendera ya ccm kwa almost 75%, huku wapinzani wakijiapiza kumpa nafasi Tundu Lissu ambaye ni mbabe wa Utawala wa Sheria anayejikita zaidi kuheshimu Katiba ya nchi na uhuru wa kujieleza .
Zipo taarifa pia za jumuiya ya Kimataifa kuhakikisha Uchaguzi unakuwa huru na haki kuanzia kwenye kampeni hadi ndani ya sanduku la kura , Je kuna wa kumzuia Lissu?
Wewe ni mlevi ambaye bado hujalewa sana lakini akili yako inakutuma uandike maluweluwe baada ya kuota mchana. Hilo lingewezekana kama CCM ingekua chadema maana kule hawana vikao wstu wawili wanaamua lakini chama kikongwe kama ccm hilo ni kujipongeza kwa kuota ndoto ya mchana isiyo na ukweliHujui kitu .
Unajua hata Nape alipoonyeshwa Bastola hakuamini hadi aliposoma kwenye magazeti kesho yake .Wewe umetumia vidonge ama mihadarati gani mkuu. Mwenyewe kishawaambia kakatwa mkia lakini akili zenu finyu zimeshindwa jata kumuelewa jamani?
Jamani MATAGA kabla yenu ccm walikuwepo wanamtandaoHivi umepiga punyeto au umevuta bange.