kudadadadeki.........wamekata umeme.
sasa nasikiliza redio kupitia simu.
kupata habari ni haki yangu ya msingi.
mapambano yanaendelea.
hapana,kupata habari si haki yako ya kimsingi tena ndio maana wamechukua umeme,,,,,,ila wao wanapenda kutuhadaa kwa kusema kuwa KUPIGA KURA NDIO HAKI YAKO YA KIMSING