UCHAGUZI KIDATO CHA TANO

Koryo2

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
2,056
2,515
Naomba sana kuelemishwa juu ya uchaguzi wa Vijana wetu kuingia kidato cha tano. Mimi kijana wangu alipata daraja la kwanza ya pointi 9. Hii ina maana alipata A7, B1 na C1 lakini cha kushangaza amechaguliwa kozi ya Clinical Officer - Kilosa. Nilitegemea achaguliwe kidato cha tano - Shule Maalum. Swali la kuuliza Je huyu kijana ndiyo alichagua hiyo kozi au Serikali ndiyo imemchagulia?. Mimi sioni kama kuna haki hapa. Basi ngoja nimpeleke Feza Boys hata kwa gharama yeyote.
 
Naomba sana kuelemishwa juu ya uchaguzi wa Vijana wetu kuingia kidato cha tano. Mimi kijana wangu alipata daraja la kwanza ya pointi 9. Hii ina maana alipata A7, B1 na C1 lakini cha kushangaza amechaguliwa kozi ya Clinical Officer - Kilosa. Nilitegemea achaguliwe kidato cha tano - Shule Maalum. Swali la kuuliza Je huyu kijana ndiyo alichagua hiyo kozi au Serikali ndiyo imemchagulia?. Mimi sioni kama kuna haki hapa. Basi ngoja nimpeleke Feza Boys hata kwa gharama yeyote.
Zingatia haya.

Tamisemi walitoa muda na fursa ya wanafunzi kufanya marekenisho ya machaguo kwenye mfumo wao.

Form 5 nikupoteza muda kwa watoto.
Chuo ndiokila kitu maana anasomea kazi, wakati f5 anasomea hewa maana hajui uelekeo.

Ushauri.
Chuo ni bora kuliko f5
 
Naomba sana kuelemishwa juu ya uchaguzi wa Vijana wetu kuingia kidato cha tano. Mimi kijana wangu alipata daraja la kwanza ya pointi 9. Hii ina maana alipata A7, B1 na C1 lakini cha kushangaza amechaguliwa kozi ya Clinical Officer - Kilosa. Nilitegemea achaguliwe kidato cha tano - Shule Maalum. Swali la kuuliza Je huyu kijana ndiyo alichagua hiyo kozi au Serikali ndiyo imemchagulia?. Mimi sioni kama kuna haki hapa. Basi ngoja nimpeleke Feza Boys hata kwa gharama yeyote.
Yamenikuta hayo hayo kwa mwanangu,hakupata 1 lkn alipata maksi za kumpeleka 5 lkn katupwa chuo
 
Naomba sana kuelemishwa juu ya uchaguzi wa Vijana wetu kuingia kidato cha tano. Mimi kijana wangu alipata daraja la kwanza ya pointi 9. Hii ina maana alipata A7, B1 na C1 lakini cha kushangaza amechaguliwa kozi ya Clinical Officer - Kilosa. Nilitegemea achaguliwe kidato cha tano - Shule Maalum. Swali la kuuliza Je huyu kijana ndiyo alichagua hiyo kozi au Serikali ndiyo imemchagulia?. Mimi sioni kama kuna haki hapa. Basi ngoja nimpeleke Feza Boys hata kwa gharama yeyote.

Kama mwanao alikusimulia juu ya matokeo yake, muulize tena akueleze vizuri. Hakuna anayepata A saba halafu akawa na division 1 ya point 9! ...Labda alisoma nchi nyingine, sio Tanzania ya Mwalimu Nyerere.
 
Naomba sana kuelemishwa juu ya uchaguzi wa Vijana wetu kuingia kidato cha tano. Mimi kijana wangu alipata daraja la kwanza ya pointi 9. Hii ina maana alipata A7, B1 na C1 lakini cha kushangaza amechaguliwa kozi ya Clinical Officer - Kilosa. Nilitegemea achaguliwe kidato cha tano - Shule Maalum. Swali la kuuliza Je huyu kijana ndiyo alichagua hiyo kozi au Serikali ndiyo imemchagulia?. Mimi sioni kama kuna haki hapa. Basi ngoja nimpeleke Feza Boys hata kwa gharama yeyote.
Leta masomo hayo aliyopata A na pia hayo mengine aliyopata B na C halafu na Combination aliyoichagua ili tutoe maoni yetu vizuri.
 
Huwezi linganisha form five na Clinical Officer ya form four. Kwani akimaliza form six na akaenda Clinical Officer ipi ni bora. Afadhali amalize form six ndipo aende clinical officer. Ukitaka kutazama uchaguzi wa form five fungua website ya necta halafu ufuate maelekezo.
 
Huwezi linganisha form five na Clinical Officer ya form four. Kwani akimaliza form six na akaenda Clinical Officer ipi ni bora. Afadhali amalize form six ndipo aende clinical officer. Ukitaka kutazama uchaguzi wa form five fungua website ya necta halafu ufuate maelekezo.

Anayekwenda shule miaka hii anapaswa kwanza ajiulize kwa nini anataka kusoma hicho anachotaka kusoma. Kama sababu yake ya kuchagua kusoma anachotaka kusoma ni kupata kazi nzuri ya kuajiriwa akishahitimu, huyo yuko more likely kukwama mbele ya safari, regardless ya uamuzi wake wa ama kwenda chuo baada ya form 4 au kwenda high school kwanza. Wale wa mindset ya kusoma ili baadaye apate kazi nzuri ya kuajiriwa (both waliokwenda chuo baada ya form 4 na waliokwenda high school kwanza kabla ya chuo) tunao wengi mitaani na wote ni jobless. Kwa ujumla, hakuna unafuu wowote! Tanzania ya leo sio ile ya Mwalimu Nyerere na Mzee Mwinyi, ambayo Idara Kuu ya Utumishi yake ilikuwa inalazimika kufanya ration ya wahitimu wapya kwa waajiri mbambali, kwa sababu demand ilikuwa kubwa kuliko supply ya wahitimu.

Kama unakwenda shule ili upate maarifa ya kujiajiri, nadhani route yoyote itakufaa, ingawa route ya chuo baada ya form 4 ina uwezo wa kukuweka kwenye focus yako mapema na kukuwezesha kuanza kuyaweka maarifa unayopata kwenye practice mapema zaidi.
 
Naomba sana kuelemishwa juu ya uchaguzi wa Vijana wetu kuingia kidato cha tano. Mimi kijana wangu alipata daraja la kwanza ya pointi 9. Hii ina maana alipata A7, B1 na C1 lakini cha kushangaza amechaguliwa kozi ya Clinical Officer - Kilosa. Nilitegemea achaguliwe kidato cha tano - Shule Maalum. Swali la kuuliza Je huyu kijana ndiyo alichagua hiyo kozi au Serikali ndiyo imemchagulia?. Mimi sioni kama kuna haki hapa. Basi ngoja nimpeleke Feza Boys hata kwa gharama yeyote.
Wewe umemuuliza? Kasemaje? Alichagua yeye Chuo kama chaguo la kwanza ama?
 
Huwezi linganisha form five na Clinical Officer ya form four. Kwani akimaliza form six na akaenda Clinical Officer ipi ni bora. Afadhali amalize form six ndipo aende clinical officer. Ukitaka kutazama uchaguzi wa form five fungua website ya necta halafu ufuate maelekezo.
Kwani mshahara wanatofautiana? Mwenye Diploma na kamaliza Form four Vs Mwenye Diploma na kamalixa Form six.

Mshahara ni mmoja tu wa Diploma.
 
Back
Top Bottom