Speaker
JF-Expert Member
- Aug 12, 2010
- 6,324
- 2,238
Okey,kama ushauri umekuwa ukitolewa na viongozi wengi wa chadema wapo humu
basi ni either wana dharau ushauri unaotolewa humu wakidhani wana jua sana kuliko
wanao wapa ushauri,....au wanaweka ushauri huo kama akiba ili wautumie baadae.
Lakini sababu ya mwisho ni dhaifu sana,maana kama ni akiba walisha jifunza toka chaguzi ndogo kibao
zilizo pita na uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Itoshe tu kusema "hawataki ushauri",...ingawa haitoshi kusema "tumechoka kushauri"....
Nakumbuka nilisema chadema hawatashinda Igunga,..watu kama The invincible walinambia naota
Nikamwambia
Sababu za mimi kutoa utabiri wangu mdogo ilikua ni kwasababu uwanja walio kuwa wanaenda kucheza ndo
ule ule ambao wamekua wakidai kuonewa siku zote na hawajawahi kutaka uwanja ubadirishwe.
Viongozi wa chadema wako humu,wapo walio niponda kwenye thread ile,....lakini hawa kuchukua hata tone
la ushauri na leo hii hakuna hata mmoja anae onekana mtandaoni (labda wanafuta machozi bado).
Lakini pamoja na kwamba chadema ni chama "kisicho taka ushauri",kitaendelea kuwa chama
kinacho lalamika kila siku,....sitashangaa kisipo chukua dola mwaka 2015 na viti vyake vya ubunge kushuka.
basi ni either wana dharau ushauri unaotolewa humu wakidhani wana jua sana kuliko
wanao wapa ushauri,....au wanaweka ushauri huo kama akiba ili wautumie baadae.
Lakini sababu ya mwisho ni dhaifu sana,maana kama ni akiba walisha jifunza toka chaguzi ndogo kibao
zilizo pita na uchaguzi mkuu wa mwaka jana.
Itoshe tu kusema "hawataki ushauri",...ingawa haitoshi kusema "tumechoka kushauri"....
Nakumbuka nilisema chadema hawatashinda Igunga,..watu kama The invincible walinambia naota
Speaker
Comments zako ni interesting. Namkumbuka Maggid Mjengwa. Naye alitabiri kuwa Chadema ingeibuka ya tatu kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka jana based on historical evidence...za nguvu ya kafu na ushindi wao wa huko nyuma. You know what happened.
Utabiri wako, kama wa Maggid, unaacha some important variables in the model.
Nikamwambia
Okey,...
siidharau chadema,na sijawahi ila nachosema ni facts kabisa,...
kwamba wanaenda Igunga sio kwa ajili ya kushinda,ila kwa ajili ya
kukijienga chama maana ni opportunity imepatikana na lazima waitumie
(that is good kwa chama chochote cha siasa,nashangaa kwanini NCCR na wengine hawajatangaza
nia ya kusimamisha wagombea so far,...)
Ila ninacho tofautina na maono ya wengi hapa,ni kama naonekana nawavuta shati wasiende
na nguvu na imani ya kushinda,ila ni vyema kuwa realistic "hata kama siasa ni lazima useme nitashinda tu"
Hakuna jinsi chadema itashinda Igunga,ila wana nafasi nzuri sana kujijenga sasa Tabora nzima na 2015
wakisimamisha watu wasio kua mamluki watashinda majimbo mengi sana
Sababu za mimi kutoa utabiri wangu mdogo ilikua ni kwasababu uwanja walio kuwa wanaenda kucheza ndo
ule ule ambao wamekua wakidai kuonewa siku zote na hawajawahi kutaka uwanja ubadirishwe.
Viongozi wa chadema wako humu,wapo walio niponda kwenye thread ile,....lakini hawa kuchukua hata tone
la ushauri na leo hii hakuna hata mmoja anae onekana mtandaoni (labda wanafuta machozi bado).
Lakini pamoja na kwamba chadema ni chama "kisicho taka ushauri",kitaendelea kuwa chama
kinacho lalamika kila siku,....sitashangaa kisipo chukua dola mwaka 2015 na viti vyake vya ubunge kushuka.