Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Yah umeahirishwa na hii ni kutokana na wagombea wawili wamelalamika kwenye kamati kwamba mwenzao anapiga kampen za kuwapakazia.. kwa taarifa za wana JF ni kwamba mgombea Odong ambaye ni mganda ndiye anyrlalamikiwa na wenzake Mlowe na Juma..Nasikia Uchaguzi wa DARUSO uliokuwa ufanyike leo umeahirishwa, naskia ni sababu za kisiasa, naomba mwenye datails azimwage hapa JF tumkome nyuni kweupeeeeeeeeeee
mlioko hapo UDSM ongeeni kwa uwazi, nani antuhumiwa kufadhiliwa na chama gani?
Unafikiri ni chama gani chenye tabia ya kufadhili chaguzi, na kununua kura!? Hili si swali ndani ya TZ!! Muulize Mh. Juma Ngasongwa atakufahamisha.
hawa ndio mafisadi tunaowandaa kuiongoza tz ya kesho.
hivi hii tz yetu itapona kweli??