Angarau umenifanya niulize baada ya kupigwa butwaa kidogo, nisaidie tafadhali, kuna vidfeo inaonyesha mh. Masha anawashukuru wananchi kwa kumgagua kwa kura zake 28,..... Ambazo ameshindwa na mgombea wa chadema 38,.... Je inakuwaje hapo, maana kwa mujibu wa gazeti la mwananchi ni kuwa mgombea wa chadema alishinda, na vurugu zilifanyika ili matakeo yatangazwe, ikawaje baadae, nimepagawa,
nafikiri kuna haja ya kufanya kama kenya walivyofanya kama amani ya busara haipo basi ya ncha ya upanga...
Kwanini hivyo, kwani Tanzania bila ccm haiwezekani?[/B]