Makonda amekuwa akijisifu ya kwamba yu msafi wakati Makonda huyo kipindi akiwa Waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi MUCCOBS aliweza kutumia nafasi hiyo kutafuna pesa za wanafunzi.
Kwa mujibu wa Katiba ya chuo yeye ndiye anaidhinisha pesa kutoka hivyo kupitia nafasi hiyo aliweza kutumia pesa zetu vibaya na upelekea Waziri wake wa fedha aliyekuwa anagombea nafasi ya urais kushindwa kutokana na kashfa hiyo ya pesa.
Na makonda mwaka 2009 katika maadhimisho ya kifo cha Nyerere alipewa pesa ya maandalizi lakin kutokana na tamaa zake alikwenda kwa Ndesamburo nako alichota pesa hiyo ikapelekea kuvuliwa ujumbe wa UVCCM mkoa wa kilimanjaro.
Na alitumiwa na CHADEMA kuimaliza CCM chuoni, hilo ni fisadi dogo linalo chipukia kwa mgongo wa kutumia usafi kama anavyojinasibu.
Hta sishituki najua Umetumwa na wauza ungaMakonda amekuwa akijisifu ya kwamba yu msafi wakati Makonda huyo kipindi akiwa Waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi MUCCOBS aliweza kutumia nafasi hiyo kutafuna pesa za wanafunzi.
Kwa mujibu wa Katiba ya chuo yeye ndiye anaidhinisha pesa kutoka hivyo kupitia nafasi hiyo aliweza kutumia pesa zetu vibaya na upelekea Waziri wake wa fedha aliyekuwa anagombea nafasi ya urais kushindwa kutokana na kashfa hiyo ya pesa.
Na makonda mwaka 2009 katika maadhimisho ya kifo cha Nyerere alipewa pesa ya maandalizi lakin kutokana na tamaa zake alikwenda kwa Ndesamburo nako alichota pesa hiyo ikapelekea kuvuliwa ujumbe wa UVCCM mkoa wa kilimanjaro.
Na alitumiwa na CHADEMA kuimaliza CCM chuoni, hilo ni fisadi dogo linalo chipukia kwa mgongo wa kutumia usafi kama anavyojinasibu.
Nina wasiwasi na jinsia yakoMakonda hachafuliki, the man is so smart mkuu
Hivi Masogange wakati Makonda anavyowaongeleaga watu kila siku na kuwatukana hii quote inageukaga great mind discuss people?
mkuu kwani huwajui bavicha mpaka leo?,
yaani ukiwakera wanakimbili jf kukuchafua,wataomba CV,watakuanzishia kila aina ya threads,hao ndo bavicha,maadui wao bahati nzuri kila wanavyowasema humu ndo wanazidi kuwini,
wafuatao ni maadui wakubwa wa bavicha,
nape.
Mwigulu
umi mwalimu,
riz
makonda,
mshama,
membe
bibi kiroboto
zito
kigwa
etc
Unatafutwa were hebu jitokeze bwanaI wonder!
Eti hapa unamaanisha nini mkuu?!maanake hizi lugha zilizopanda ndege wengine hatuzijuithey always male a mistake once,