Wala sina hadufu mbaya hata yeye hana sema kuna kitu alikuwa sikumbuki ni nn ila kilinikera huwa unajisikiaje mtu anapokula mayai ya kumchemsha mfano
Kwangu mayai ya kuchemsha akila mwenzangu nayaona yana harufu mbaya sana sometimes najihis kutapika kabisa ila nikila mm aah naona kawaida tu 😀