Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Nimiona tangazo tajwa ktk The Guardian..
Nahitaji kujiridhisha kuhusu hiyo shule na kozi(kwa maana ya uwepo wa walimu,uzito wake katia soko la ajira na kutambulika kwake hapa nchini)
kama kuna Aluni wowote wa hii kozi... nitashukuru mchango wenu wa mawazomtakao nipa...!!
nawasilisha!!
Nahitaji kujiridhisha kuhusu hiyo shule na kozi(kwa maana ya uwepo wa walimu,uzito wake katia soko la ajira na kutambulika kwake hapa nchini)
kama kuna Aluni wowote wa hii kozi... nitashukuru mchango wenu wa mawazomtakao nipa...!!
nawasilisha!!