Ubuyu kwa ambao hawajaolewa tu

Ubuyu kwa ambao hawajaolewa tu

Basi nimeghairi[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Basi sasa njoo ghetto sio gym,nakuhakikishia utarudi kila siku na tena utakua unakuja kunifulia na kupiga deki na kunipikia kwa madiko diko nitakayokupa we vipi?
Dah!kweli hakuna mteremko.
Ukitaka mwenye pesa upate adhabu kama hizo ili angalau uopoe tena hapo unaweza beba majanga ukajuta.
Acha nipambane na masikini wenzangu tunaofanana hali kama hiyo bahati itajitokeza poa ila sio ndo nifunge safari eti naenda kwaajili nipate mwenye kipato hell no.
We Fetty,usiwe mshamba bhana,njoo ghetto yangu nikuenzi kama malkia wa Uingereza bhana,hata chupi nitakufulia na kukupigia pasi,wewe kazi yako ni moja tu na unaijua au vipi?,usiseme huijui tafadhali sana.
 
Namaanisha wanaume atawapata lakini wanaweza wakawa sio waoaji
Daah kama kweli vile au vipi?,maana tunaenda gym kuondoa mafuta,napia tukipata vichenchede pale tunaenda kuvipakua kuondoa mafuta na huku tuna videnish vyetu vya uhakika au vipi?
 
Gym kuwin ni ngumu wengine ni wagonjwa anakufanya anawahadithia wenzie anakupa ki laki kimoja
Basi usijali,mimi natangaza ndoa mke wa pili,na nikikufanya sitangazi ila ni lazima wewe utangaze mwenyewe coz mimi ni POPO BAWA au vipi? sio laki mimi nakupa mamilioni ili uwe wa popo bawa kila siku au vipi?,.
 
Kwa nn madada TZ kuolewa wanaona big deal sana hadi kujisumbua kwenda Gym wkt wala sio mipango yako bali kuwinda mwanamme wa kukuoa?
Wa kukuoa atakuja naturally tu wala hamna haja ya kujisumbua hivi
 
Wenzio wanatafuta maji ya kuogea meli 2 ili kuondoa uchafu mwilini, wewe unaona hayo mahangaiko ya kwenda restaurant na gym tu. Eti bora urizike na hao maskini wenzio😕 hivi hujawahi kusikia maskini jeuri?
Ndio mana tunatofautiana.
Wao kwao ni sawa mimi kwangu sio sawa.
Hapo ndo ile ya mtu kukung'ang'ania kisa keshaona una hela au kulazimisha ndoa.
Mapenzi gani haya ya kulazimishana
 
Daah kama kweli vile au vipi?,maana tunaenda gym kuondoa mafuta,napia tukipata vichenchede pale tunaenda kuvipakua kuondoa mafuta na huku tuna videnish vyetu vya uhakika au vipi?
Hahahaaaaaa
 
Kwa mawazo ya namna hii mtaliwa sana 0713...! Huwa nawaza kama umekuja kwangu kutokana na kazi yangu au pesa yangu. Je utaweza kupingana na tamaa zangu?
 
Cha msingi kwangu ni maelewano na upendo hayo mambo ya kutaka mwenye fedha wakati mimi mwenyew maisha yangu ya kawaida naona kama utumwa.
Akitokea poa asipotokea pia poa ila sio ndo nianze kujipa adhabu ya kutafuta
unaelewa maana ya maelewano na upendo wewe au unausikia kwenye bomba? hela ni muhimu ndio maana tulitafuta hela na kupata wanawake bora. hata kama demu alikuwa hajatulia ukiwa na hela anatulia. pesa ni ya mhimu kuhudumia mimba, kuhudumia watoto, makazi, usafiri, ada za watoto, kuondoa stress etc. ukiwa na mimba afu ni mtu wa kukodi taxi ikupeleke kliniki ndio utaelewa umhimu wa wanaume kama sisi. sikebehi, ila nawapa ushauri wadogo zangu watafute maisha kwanza kabla ya kuoa. la sivyo, wanawake huwa wanabadilika na kukuona hauna maana usipokuwa na hela.
 
Back
Top Bottom