Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,634
Pm ndo wapi?Usijichoshe mkuu ni pm tu achana na masharti uote hayo
Pm ndo wapi?Usijichoshe mkuu ni pm tu achana na masharti uote hayo
Hapana Sister Usighaili, Huyo Jamaa Alikua Anakutania Tu.Basi nimeghairi
Njoo basi reastrantsstaki tena
Wewe umeshapata??
Mada sio maada (Mada=Topic, Maada = Matter)Wewe mwanamke umeilewa vizuri maada ??
Heee inamaana bdo hawajajitokeza tuu wakuleta posaHa haa ngoja nianze kufata huo ushauri hebu
asinge sema kapata itakuwaWewe umeshapata??
kivip MKUU kuwa muwazHii ya gym unaweza kuwin sema sasa unaweza kujikuta wanakutumia tu
unafaa kuolewa na mimiCha msingi kwangu ni maelewano na upendo hayo mambo ya kutaka mwenye fedha wakati mimi mwenyew maisha yangu ya kawaida naona kama utumwa.
Akitokea poa asipotokea pia poa ila sio ndo nianze kujipa adhabu ya kutafuta
mchana (mkuuPm ndo wapi?
peleka.........ombiHapana Sister Usighaili, Huyo Jamaa Alikua Anakutania Tu.
Namaanisha wanaume atawapata lakini wanaweza wakawa sio waoajikivip MKUU kuwa muwaz
Sasa wewe baby,unasema ufuate huo ushauri kwani mimi sikutoshi?,acha zako bhana unapendwa halafu unadengua au vipi?unatafuta wenye homa za DENGUE wakuambukize au?Ha haa ngoja nianze kufata huo ushauri hebu