Ubuyu kwa ambao hawajaolewa tu

Cha msingi kwangu ni maelewano na upendo hayo mambo ya kutaka mwenye fedha wakati mimi mwenyew maisha yangu ya kawaida naona kama utumwa.
Akitokea poa asipotokea pia poa ila sio ndo nianze kujipa adhabu ya kutafuta
unafaa kuolewa na mimi
nitafute soon after new year
 
Hayo yote ni maeneo hatarishi kiuhalisia mkuu, yako salama kwenye tamthilia tu.
 
Back
Top Bottom