Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,599
- 217,991
- Thread starter
- #161
Mwakalinga ukishatulia na kuondoa jazba utakuja kuelewa nilichoandika .Thibitisha maneno yako! Utafiti upi uliofanya.Mtu katundikwa Manchester united.La liga ndo ligi bora angalia uefa wanakuwa wangapi hadi robo fainilia,Europa timu ya wapi inachukua,mchezaji bora wa dunia hadi wa tatu upo wapi,kombe la dunia la vilabu lipo wapi na bingwa mtetezi wa uefa champion league iko wapi.Ngoja nikueleze km haujui EPL ni league maarufu lkn imekufa bila kujijua,EPL kinachoonekana ni league ngumu ni hiki viwango vya timu kubwa na timu ndogo almost ni sawa.Timu kubwa zimebakiwa na majina na mashanikina sio mpira.nitajie timu ya England ambayo ikitoka nje ya Uingereza inayoweza mtisha Bayern,Dortmund,PSG,Napoli,Madrid ,Atletico Madrid,Barcelona, Juventus na n.k kwa ufupi haipo ,mnamcheka tu Arsenal na wengime pia mkifuzu watapigwa tu.Kuna haja pia ya kupunguza team uefa champion league maana Kiwango cha uingereza kipo chini mno.ukitaka burudani ya soccer angalia La liga,Bundesliga,league 1 utajifunza kitu ndo maana hata Tv km Azam na zingine wameona zina maana.Mulize Shaffi kwann wanaonesha hizo? Soccer limehamia hukoo