Randy orton
JF-Expert Member
- Apr 29, 2019
- 1,338
- 3,575
Wakati R. Madrid anachukua Champions league mara tatu na Sevilla anachukua Europa back to back mlisema La liga haina mvuto.
Wakati huu La liga bingwa hajulikani wala timu inayoshuka daraja haijajulikana ( wakati E. P. L man city anasubiria game moja kutangazwa) na timu zake zimetoka uefa mnasema La liga dhaifu!!
Mbona hamueleweki??
Wakati huu La liga bingwa hajulikani wala timu inayoshuka daraja haijajulikana ( wakati E. P. L man city anasubiria game moja kutangazwa) na timu zake zimetoka uefa mnasema La liga dhaifu!!
Mbona hamueleweki??