Ila Baca kufungwa na PSG ndio inapima ligi, hahahaha.. Alafu mnasahau hawa hawa PSG mbaodai wabovu ndio waliwatoa Chelsea misimu kadhaa iliyopita. Unazumgumzia Sevilla ku concertante Europe league coz walikua nafasi ya mbali je hizo za EPL hua zinacheza zikiwa nafasi ya ngapi kwenye ligi? Mfano liver na Man U?Man u kafungwa na athletoc bilbap mara 1 hiyo haitoshi kujaji bado, halafu mwala huo huo man city walitoka kwa kufungwa na sporting lisbon, kwa hiyo hapo tuseme lugi ya portugal pia ni nzuri?
Sevilla wamechukua EUROPA kwa kuwa kwenye ligi yao walikuwa hata usaba hawashiki wana shika unanae so walikuwa wana focus kwa Eropa kwa nguvu zote.
Hata ligi ya Zanzibar ina ushindani na yenyewe ni bora.EPL ndio ligi bora kwa kuwa ina ushindani.
Wale ni two giants wa dunia. Usilinganishe Chelsea au Arsenal na Madrid au Barca. Level za Asernal ni wakina Sevilla.Naongelea ushindani, wana giants clubs kama madrid na barcelona so hiyo ndio advantage yao, ukisema hata ufaransa watakuwa ligi bora kwani wana PSG, au German watakuwa ligi bora kwani wana Bayern Munich.
Kuwa na two giants hakumaanishi ndio ligo bora.
Pia
Chelsea huwa ana mfunga barcelona sana tu
Yoyote yupi? Au unapoona Arsenal au Liverpool anafungwa na Southampton. Sasa hizo club si za kawaida tu.Nimesema lig yenye ushindani na maarufu ni england
Ushindani Kwa maana kwamba england yeyote mech haitabiriki ni kwamba yeyote anashindaa
Na umaarufu ni kwamba inafuatiliwa na wengi sanaa
Spain ni ligi bora kwamaana kwamba club zao ni club bora ambazo hata zikienda kucheza mashindano makubwa zinatoa ushindani mkubwaa na kuwa ni bora mfano ni europa zinaweza kuingia timu 3 nusu fainali na uefa piaa zinaweza kuingia club 3 nusu fainali na biaa wachezaji bora wapo spain
Mkuu arsenal na sevilla wap na wap...? Sevilla team kubwa bwana....hii arsenal Ondoa kabsa kwenye ulimwengu wa soka.... N team mbovu mno...n sawa na kulinganisha kagera sugar na yanga...et kwa sababu kagera ilishawah kuchukua lig..Wale ni two giants wa dunia. Usilinganishe Chelsea au Arsenal na Madrid au Barca. Level za Asernal ni wakina Sevilla.
Bingwa wa England kapigwa na team iliomaliza nafasi ya 7 la liga..kwenye round ijayo kuna dalili za la liga kuingiza team tatu.
Italy team 1, England 1, ufaransa 1, Germany 1.
Tuipe heshima la liga
Imemfunga bingwa mtetezi wa EPLTimu inayoshika nafasi ya 3 La Liga imeifunga timu inayopambana kutoshuka daraja Epl goli 2-1.
Imemfunga bingwa mtetezi wa EPL
Sija kuelewa aseeIla Baca kufungwa na PSG ndio inapima ligi, hahahaha.. Alafu mnasahau hawa hawa PSG mbaodai wabovu ndio waliwatoa Chelsea misimu kadhaa iliyopita. Unazumgumzia Sevilla ku concertante Europe league coz walikua nafasi ya mbali je hizo za EPL hua zinacheza zikiwa nafasi ya ngapi kwenye ligi? Mfano liver na Man U?
Hii ni pumbaHata ligi ya Zanzibar ina ushindani na yenyewe ni bora.
Sasa una niunga mkono nilicho ongea. Nimesema ligi ina two giants, ila wengine wote kawaiada ndio maana inakuwa mbovu, ila EPL timu zote ziko on point kwenye kugombania ubingwaWale ni two giants wa dunia. Usilinganishe Chelsea au Arsenal na Madrid au Barca. Level za Asernal ni wakina Sevilla.
Wanapretend hawajaona hiyo.Timu inayoshika nafasi ya 3 La Liga imeifunga timu inayopambana kutoshuka daraja Epl goli 2-1.
apo ndo kuna ushindanii ukiona hata timuu isiyodhaniwaa kuchukua ubingwaa ikachukuaa hebuu fungukaa mkuu ukiona hivoo hio sio ligi ya timuu kadhaa ni ya wote kwa maana bingwaaa hajulikanii sio kamaa Spain bingwaa mnajua kabisaaa aspokua real Madrid basii ni watoto wa catulunya kama sio hao ni atletico Madrid over asa epl haitabirikii hio ndo fact ya kua EPL ni ligii yenyee ushindanii ndanii yakeeeEPL ina ushindani gani wakati hadi ka Leicester kamekua bingwa, yani eti mchovu wa kushuka daraja anakua bingwa.......ubora wenu uleteni UEFA au Europa basi tuuone
EPL ndio ligi bora kwa kuwa ina ushindani.
Kwa muda mrefu sana wapenda soka wa dunia wamedanganywa kwamba ligi ya Spain ndio ligi bora na ngumu kuliko ligi zote duniani , hata pale sisi wataalam na wachambuzi wa soka tulipopinga , tena kwa mifano iliyofanyiwa utafiti , tuliishia kusimangwa .
Kipigo cha Barcelona kutoka kwa vibonde PSG ni ushahidi mwingine kwamba soka la spain si lolote , jambo pekee lililojificha ni kwamba , ligi ya spain ina mkusanyiko wa wachezaji wazuri wa dunia ambao kucheza kwao kwa muda kwenye ligi mbovu kumedumaza uwezo wao.
Mifano ni mingi sana , ligi bora haiwezi kuwa na timu bora zisizozidi 5 tu kama siyo 3 , ligi bora ya dunia haiwezekani kuonekana bure bila malipo , ukiacha Tv duni kabisa duniani kama TBC , karibu Tv zingine zote zinaonyesha ligi ya Spain bure kabisa , Azam na Dstv Bomba ni mifano ya karibu .
Timu za Spain zitaendelea kuadhirika zaidi kuanzia sasa na kuvuliwa huo ufalme hewa waliovikwa .
....... Itaendelea ........
Thanks mkubwa..!!Huyu mtoa mada kweli ni kilaza kabisa kwenye mpiraa ,PSG unawaona ni vibonde wewe na wachezaji wa psg class yao unaweza kulinganisha na wa arsenall
Kweli haufuatilii mpira wewe club ya psg ni kubwa sana na wao wamewekeza sana kusajili wachezaji wakubwaa
Naongelea ushindani, wana giants clubs kama madrid na barcelona so hiyo ndio advantage yao, ukisema hata ufaransa watakuwa ligi bora kwani wana PSG, au German watakuwa ligi bora kwani wana Bayern Munich.
Kuwa na two giants hakumaanishi ndio ligo bora.
Pia
Chelsea huwa ana mfunga barcelona sana tu