Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 5,688
- 8,927
- Thread starter
- #41
😁😁Kama kawa.team Ubuntu botho nipo
😁😁Kama kawa.team Ubuntu botho nipo
aisee nshanunua mazee!! wamenipiga kwa elf 30,,,,,,mbona jumamosi haifiki!!sawa mkuu ngoja nipande bodaboda niende chap kwa haraka zisije zikaisha!!!
Ushapata na pasipoti 😄?aisee nshanunua mazee!! wamenipiga kwa elf 30,,,,,,mbona jumamosi haifiki!!
Asnte San kwa tafsiri sahihUbuntu ni falsafa ya Kiafrika inayojulikana sana ambayo inasisitiza umoja, ushirikiano, na ustawi wa jamii. Neno "Ubuntu" linatokana na lugha za Kiafrika, hasa Kizulu na Kisotho, na linaweza kufasiriwa kwa kifupi kama "Mimi ni kwa sababu wewe uko" au "Mimi ni kwa sababu sisi tuko." Falsafa ya Ubuntu inasisitiza umuhimu wa mahusiano ya kijamii na jukumu la mtu binafsi katika jamii.
Katika muktadha wa Ubuntu, watu wanakumbushwa kuhusu wajibu wao kwa wengine na umuhimu wa kuwa na huruma, uvumilivu, heshima, na usawa katika mahusiano yao. Inalenga kukuza amani, usawa, na ustawi wa jamii kwa ujumla. Ubuntu inahimiza watu kushirikiana, kusaidiana, na kujenga uhusiano mzuri na wengine.
Ubuntu imekuwa na athari kubwa katika tamaduni na siasa za Kiafrika na imekuwa kichocheo cha mazungumzo na majadiliano juu ya maadili ya kibinadamu na jinsi ya kuishi pamoja kwa amani na ushirikiano.View attachment 2943587cc: adriz , Maghayo
AhahahahaSasa kumbe,kwaio nikivaa hiyo nahimiza umoja na mshkamano,sasa hii ya kukamatana inatoka wapi Ndumbaro?
UBUNTU- BOTHOUbuntu ni falsafa ya Kiafrika inayojulikana sana ambayo inasisitiza umoja, ushirikiano, na ustawi wa jamii. Neno "Ubuntu" linatokana na lugha za Kiafrika, hasa Kizulu na Kisotho, na linaweza kufasiriwa kwa kifupi kama "Mimi ni kwa sababu wewe uko" au "Mimi ni kwa sababu sisi tuko." Falsafa ya Ubuntu inasisitiza umuhimu wa mahusiano ya kijamii na jukumu la mtu binafsi katika jamii.
Katika muktadha wa Ubuntu, watu wanakumbushwa kuhusu wajibu wao kwa wengine na umuhimu wa kuwa na huruma, uvumilivu, heshima, na usawa katika mahusiano yao. Inalenga kukuza amani, usawa, na ustawi wa jamii kwa ujumla. Ubuntu inahimiza watu kushirikiana, kusaidiana, na kujenga uhusiano mzuri na wengine.
Ubuntu imekuwa na athari kubwa katika tamaduni na siasa za Kiafrika na imekuwa kichocheo cha mazungumzo na majadiliano juu ya maadili ya kibinadamu na jinsi ya kuishi pamoja kwa amani na ushirikiano.View attachment 2943587cc: adriz , Maghayo
😯Masandawana wapige palepale kwenye ugoko
Wakati mnawashobokea Kaizer Chief hayo hamkuyajua.Hao wasauzi mnaowashobokea Kila baada ya miaka miwili wanawaua na kuwafukuza kwao lakini shobo haziishi, labda mpaka mpate mimba sasa
Masandawana wapige palepale kwenye ugoko
Daimba mbele nyuma kuna mwiko
Hawa ni mpaka watoe mwiko huko nyuma ndipo wataelewa. Waliwapokea Kaize Chifu uwanja wa ndege, kwani wao hawakuwa wasauziWakati mnawashobokea Kaizer Chief hayo hamkuyajua.
Kifupi ni Ubuntu ni UtuUbuntu ni falsafa ya Kiafrika inayojulikana sana ambayo inasisitiza umoja, ushirikiano, na ustawi wa jamii. Neno "Ubuntu" linatokana na lugha za Kiafrika, hasa Kizulu na Kisotho, na linaweza kufasiriwa kwa kifupi kama "Mimi ni kwa sababu wewe uko" au "Mimi ni kwa sababu sisi tuko." Falsafa ya Ubuntu inasisitiza umuhimu wa mahusiano ya kijamii na jukumu la mtu binafsi katika jamii.
Katika muktadha wa Ubuntu, watu wanakumbushwa kuhusu wajibu wao kwa wengine na umuhimu wa kuwa na huruma, uvumilivu, heshima, na usawa katika mahusiano yao. Inalenga kukuza amani, usawa, na ustawi wa jamii kwa ujumla. Ubuntu inahimiza watu kushirikiana, kusaidiana, na kujenga uhusiano mzuri na wengine.
Ubuntu imekuwa na athari kubwa katika tamaduni na siasa za Kiafrika na imekuwa kichocheo cha mazungumzo na majadiliano juu ya maadili ya kibinadamu na jinsi ya kuishi pamoja kwa amani na ushirikiano.View attachment 2943587cc: adriz , Maghayo[/USEk
[/QUOTE]
DuhHawa ni mpaka watoe mwiko huko nyuma ndipo wataelewa. Waliwapokea Kaize Chifu uwanja wa ndege, kwani wao hawakuwa wasauzi
Hawa wasilinganishe Marumo na Mamelody
DAIMA MBELE NYUMA KUNA MWIKO