Ubunifu wa CHADEMA kifo cha CCM

Ubunifu wa CHADEMA kifo cha CCM

mwanza_kwetu

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2011
Posts
693
Reaction score
182
CCM Wakiwa na motion ya kubeba attention za vyombo vya habari kwa wiki chadema imeingia field mbaya zaidi kesho inarusha live mkutano wa hadhara unajua maana yake ccm maamuzi yao ya CC hayatakuwa breaking news yatakuwa common news wakati chadema wakiwa wamegawana miji si kigoma mbeya kagera na songea si iringa wala geita na si tabora wala tanga na sasa ni hiyo kanda ya pwani yaani dsm.

Maskio yote yako chadema. Kwa ubunifu huu naona kabisa ccm akiondoka hata kama hawapendi. Haya tukutane Tanganyika packers huko kawe kwa mh mdee m'kiti wa bawacha niseme tu kwa jembe mdee.

Angalia block ya ukawa huku kuna lipumba na team kanda ya kusini zanzibar mzee wa sawasawa akiwa amekabia penalty mbatia yeye amezamia kigoma na maeneo karibhu
 
Mbona CCM ilishasahaulika zamani sana. Sasa kimebaki kivuli change tu. TUKUTANE KESHO TANGANYIKA PACKERS SASAIVI NIPO SAFARINI KUHUDHURIA HUO MKUTANO TOKA MWANZA.
 
Mbona CCM ilishasahaulika zamani sana. Sasa kimebaki kivuli change tu. TUKUTANE KESHO TANGANYIKA PACKERS SASAIVI NIPO SAFARINI KUHUDHURIA HUO MKUTANO TOKA MWANZA.

Wewe Njoo tu,,tuone kama utapata faida na huo mkutano wenu,yani ninyi siasa zenu mpaka muitaje CCM ndo mnapata sifa,,kwa namna hiyo hamuwezi kabsaaa kuchukua nchi hii mie nawaambia huo ndo ukwel,mshachukulia wotee walioko CCM ni wezi Tu,,
 
Magwanda wanapojipa moyo.

CC wala hatuna haja ya kurusha maamuzi live.

Ngoja sasa tukitoka huko utaona mtakavyonywea.

Vipi, lile jimbo aliloachia Zitto, mtalipata tena?
 
Magwanda wanapojipa moyo.

CC wala hatuna haja ya kurusha maamuzi live.

Ngoja sasa tukitoka huko utaona mtakavyonywea.

Vipi, lile jimbo aliloachia Zitto, mtalipata tena?

Chamafu na wafu waketajamba cheche mwaka huu kila kitu kimewadodea
 
  • Thanks
Reactions: ato
Kwani ukiacha mandamano na kumwagia watu tindikali chadema wanaubunifu gai mwingine?
 
CCM Wakiwa na motion ya kubeba attention za vyombo vya habari kwa wiki chadema imeingia field mbaya zaidi kesho inarusha live mkutano wa hadhara unajua maana yake ccm maamuzi yao ya CC hayatakuwa breaking news yatakuwa common news wakati chadema wakiwa wamegawana miji si kigoma mbeya kagera na songea si iringa wala geita na si tabora wala tanga na sasa ni hiyo kanda ya pwani yaani dsm. Maskio yote yako chadema. Kwa ubunifu huu naona kabisa ccm akiondoka hata kama hawapendi. Haya tukutane Tanganyika packers huko kawe kwa mh mdee m'kiti wa bawacha niseme tu kwa jembe mdee.

Angalia block ya ukawa huku kuna lipumba na team kanda ya kusini zanzibar mzee wa sawasawa akiwa amekabia penalty mbatia yeye amezamia kigoma na maeneo karibhu

Mkuu itasaidia nin hizo ni gharama tu zisizo na msingi amna kipyaa wimbo ni ule ule bvr
 
Mbona CCM ilishasahaulika zamani sana. Sasa kimebaki kivuli change tu. TUKUTANE KESHO TANGANYIKA PACKERS SASAIVI NIPO SAFARINI KUHUDHURIA HUO MKUTANO TOKA MWANZA.
Inawezekana mambo yakawa mazurkama akiwekwa lowasa
 
Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz:rockon::rockon::rockon::rockon:
 
Wanaandikishwa kweli kupiga kura? Katika vikao vya ndani jibuni swali hilo!!!
 
Magwanda wanapojipa moyo.

CC wala hatuna haja ya kurusha maamuzi live.

Ngoja sasa tukitoka huko utaona mtakavyonywea.

Vipi, lile jimbo aliloachia Zitto, mtalipata tena?

....bhahahahahahaaaaa mpaka leo mlishindwa kufanya maamuzi yoyote kwa kuiogopa ukawa, mmeshindwa kuwaadhibu waliovunja taratibu za chama kwa kuhofia ukawa, maamuzi yoote yanafanywa kwa kuangalia ukawa imejipangaje alafu leo unasema matokeo ya Dodoma yataisumbua ukawa..?? bhahaahaaaa wakati chama cha magamba kiko predictable huhitaji kuwa na diploma kujua magamba wataamua nini .....
 
CCM Wakiwa na motion ya kubeba attention za vyombo vya habari kwa wiki chadema imeingia field mbaya zaidi kesho inarusha live mkutano wa hadhara unajua maana yake ccm maamuzi yao ya CC hayatakuwa breaking news yatakuwa common news wakati chadema wakiwa wamegawana miji si kigoma mbeya kagera na songea si iringa wala geita na si tabora wala tanga na sasa ni hiyo kanda ya pwani yaani dsm. Maskio yote yako chadema. Kwa ubunifu huu naona kabisa ccm akiondoka hata kama hawapendi. Haya tukutane Tanganyika packers huko kawe kwa mh mdee m'kiti wa bawacha niseme tu kwa jembe mdee.

Angalia block ya ukawa huku kuna lipumba na team kanda ya kusini zanzibar mzee wa sawasawa akiwa amekabia penalty mbatia yeye amezamia kigoma na maeneo karibhu

Nawakumbusha wadau wote kutuma hata jero jero kwenye account ya chama ili kulipia gharama za mikutano kama hii kurushwa hewani kila mara. Wadau 1m kwa jero jero tu kila mmoja ni tzs 500m! Pia UKAWA fungueni account ya pamoja itatusaidia kwenye kampeni na kulipa mawakala wa kusimamia kura zetu.
 
....bhahahahahahaaaaa mpaka leo mlishindwa kufanya maamuzi yoyote kwa kuiogopa ukawa, mmeshindwa kuwaadhibu waliovunja taratibu za chama kwa kuhofia ukawa, maamuzi yoote yanafanywa kwa kuangalia ukawa imejipangaje alafu leo unasema matokeo ya Dodoma yataisumbua ukawa..?? bhahaahaaaa wakati chama cha magamba kiko predictable huhitaji kuwa na diploma kujua magamba wataamua nini .....


Unajipa moyo?

Unajuwa ndani ya moyo wako kuwa Rais atatoka CCM.
 
Magwanda wanapojipa moyo.

CC wala hatuna haja ya kurusha maamuzi live.

Ngoja sasa tukitoka huko utaona mtakavyonywea.

Vipi, lile jimbo aliloachia Zitto, mtalipata tena?

Huko si mnapanga jinsi ya kufisadi nchi? Vikao vya wachawi
 
siyo wote ccm wezi, hao wengine waliobaki ambao siyo wezi wamekosa maarifa kwasababu kama vichwa vya chama chenu ni wezi unafikiri ninyi mikia hata mkiwa watu wa sala inasaidia chochote? chama kina fuga majambazi, pesa zinaibiwa nyie mnasamehe, chama kinabadili katiba kujilainishia uibaji, kama kweli kuna wenye hekima na uzalendo ambao kweli hayo mambo machafu ya ccm yanawauma wangehamia ukawa ambapo watu ni wazalendo na wenye hekima waliokosa unafiki na uoga. sasa ni bora mwizi wa hadharani kabisa kuliko nyie wengine waoga wakutendea wananchi haki msiumize mabeste zenu, kwa hiyo kiujumla wote nyie wabovu
 
chadema ni ile ile, with or without zitto. na watu siku hizi wameamka, siasa ni sera za chama na utendaji wa hizo sera kuliko ilivyo sura ya mtu. wengi sana kigoma tumedhalilishwa na huyu mtu zitto, mpaka aibu kusema ni jirani yangu daah, chadema big up kumsepesha
 
Back
Top Bottom