FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
Unajua ndani ya moyo Wako kua Rais atatoka UKAWA, Na ndio iko hivyo
Wacha kuchekesha watu saa hizi.
Unajua ndani ya moyo Wako kua Rais atatoka UKAWA, Na ndio iko hivyo
mzee umepanda basi gani na mimi naelekea kwenye mkutano na usafiri binafsi kama vipi twende wote,sasa hivi niko maeneo ya dakawa moro.mbona ccm ilishasahaulika zamani sana. Sasa kimebaki kivuli change tu. Tukutane kesho tanganyika packers sasaivi nipo safarini kuhudhuria huo mkutano toka mwanza.
Umeshachukuliwa msukule ndo maana huelewi somo.Utakapozinduka ndo utajua kama ccm hawafai, na mko wengi mnafahamika kwa kauli zenu.Wewe Njoo tu,,tuone kama utapata faida na huo mkutano wenu,yani ninyi siasa zenu mpaka muitaje CCM ndo mnapata sifa,,kwa namna hiyo hamuwezi kabsaaa kuchukua nchi hii mie nawaambia huo ndo ukwel,mshachukulia wotee walioko CCM ni wezi Tu,,
Wacha kuchekesha watu saa hizi.
Kwani ukiacha mandamano na kumwagia watu tindikali chadema wanaubunifu gai mwingine?
siyo wote ccm wezi, hao wengine waliobaki ambao siyo wezi wamekosa maarifa kwasababu kama vichwa vya chama chenu ni wezi unafikiri ninyi mikia hata mkiwa watu wa sala inasaidia chochote? chama kina fuga majambazi, pesa zinaibiwa nyie mnasamehe, chama kinabadili katiba kujilainishia uibaji, kama kweli kuna wenye hekima na uzalendo ambao kweli hayo mambo machafu ya ccm yanawauma wangehamia ukawa ambapo watu ni wazalendo na wenye hekima waliokosa unafiki na uoga. sasa ni bora mwizi wa hadharani kabisa kuliko nyie wengine waoga wakutendea wananchi haki msiumize mabeste zenu, kwa hiyo kiujumla wote nyie wabovu
Hivi chadema wapo ktk kundi la watu wabunifu? acheni sifa zisizostahili