Ubunifu wa CHADEMA kifo cha CCM

Ubunifu wa CHADEMA kifo cha CCM

Kwani ukiacha mandamano na kumwagia watu tindikali chadema wanaubunifu gai mwingine?

Wana ubunifu wa kugundua wizi wa ufisadi hatari unaofanywa na vigogo wa serikali ya ccm,escrow,epa,richmond,wizi bandarini hizo zote zikiwa ni kodi za watanzania,pole sana kwa kuwatetea wezi
 
Faiza Foxy........cross the floor haraka usijechelewa ukakuta kumejaa.Maneno ya jana ya CC kama ni kweli na ukayasoma kisomi then Lowassa ni mteule wa CCM.Hapa ukawa watapata taabu kidogo lakini nwishoni watamuangusha.Anapendwa na wengi EL
 
Wewe Njoo tu,,tuone kama utapata faida na huo mkutano wenu,yani ninyi siasa zenu mpaka muitaje CCM ndo mnapata sifa,,kwa namna hiyo hamuwezi kabsaaa kuchukua nchi hii mie nawaambia huo ndo ukwel,mshachukulia wotee walioko CCM ni wezi Tu,,

we kilaza kwel, unataka tumtaje nan anayetuibia mali zetu.
 
Magwanda wanapojipa moyo.

CC wala hatuna haja ya kurusha maamuzi live.

Ngoja sasa tukitoka huko utaona mtakavyonywea.

Vipi, lile jimbo aliloachia Zitto, mtalipata tena?

Nendeni mkalichukue nyinyi,kama mtaweza maana wananchi wamewachoka kwa kunuka rushwa,jiandaeni kisaikolojia kuozea segerea
 
Wewe Njoo tu,,tuone kama utapata faida na huo mkutano wenu,yani ninyi siasa zenu mpaka muitaje CCM ndo mnapata sifa,,kwa namna hiyo hamuwezi kabsaaa kuchukua nchi hii mie nawaambia huo ndo ukwel,mshachukulia wotee walioko CCM ni wezi Tu,,

Ccm wote ni wezi wakubwa
 
Mbona CCM ilishasahaulika zamani sana. Sasa kimebaki kivuli change tu. TUKUTANE KESHO TANGANYIKA PACKERS SASAIVI NIPO SAFARINI KUHUDHURIA HUO MKUTANO TOKA MWANZA.

Karibu kamanda kwenye mkutano upate neno la ukombozi
 
Nendeni mkalichukue nyinyi,kama mtaweza maana wananchi wamewachoka kwa kunuka rushwa,jiandaeni kisaikolojia kuozea segerea

Wananchi ndiyo sisi na sisi ndiyo tunaunda Serikali.Sasa sijuwi wewe una wananchi kutoka Jupiter au vipi?
 
Mwenyekiti wa CCM ameshawatahadharisha kuwa zama hizi Chama hakitaweza kutumia vyombo vya dola kwani Watanzania wamebadilika sana... yeye anajua kuwa mwaka huu ngoma nzito ILA wanaolipwa kujamba humu jamvini hawajielewi ...
 
Kwani ukiacha mandamano na kumwagia watu tindikali chadema wanaubunifu gai mwingine?

Basi hii nchi ccm imewashinda yaani watu mnawajua kabisa ni wahalifu wanawamwagia watu tindikali hamjawachukulia hatua bado wapo mitaani hii kauli yako inadhihirisha wazi ccm imeshindwa kuilinda nchi na watu wake waishi kwa Amani mpaka Twiga wanasafirishwa kwa ndege tena wakiwa hai ndani ya ardhi yetu bado mpo tu, escor mdau wenu feki mpaka leo bado analipwa hii nchi ina maajabu kuliko yale ya misri.
 
Basi hii nchi ccm imewashinda yaani watu mnawajua kabisa ni wahalifu wanawamwagia watu tindikali hamjawachukulia hatua bado wapo mitaani hii kauli yako inadhihirisha wazi ccm imeshindwa kuilinda nchi na watu wake waishi kwa Amani mpaka Twiga wanasafirishwa kwa ndege tena wakiwa hai ndani ya ardhi yetu bado mpo tu, escor mdau wenu feki mpaka leo bado analipwa hii nchi ina maajabu kuliko yale ya misri.

Uliona hao twiga wakati wanasafirishwa na una uthibitisho wowote kuhusu hii inshu kama ni kweli au umesikia bila uthbtsho,,
 
Magwanda wanapojipa moyo.

CC wala hatuna haja ya kurusha maamuzi live.

Ngoja sasa tukitoka huko utaona mtakavyonywea.

Vipi, lile jimbo aliloachia Zitto, mtalipata tena?

Sis tunachanja Mbuga Watz wametuelewa nyie miaka 53 mmeshindwa kuwatumikia Watz kila cku Ufisad kila kukicha vitu vipo juu si mchele had kiberit, mmeua viwanda vyote sasa mnataka kushika Nchi ili Watz wanunuliwe na Wazungu? Den la Taifa liko juu halafu mnasema mtaendelea kutawala, Ccm wachovu hakuna Mtz atakayepoteza mda kuangalia mafisad walioifilis Nchi, Watu wako bz na Ukawa bhana kila mtu Leo ni ITV saa 10 masikio kwa Watz ni Ukawa wanahitaj mabadiliko, Ccm ni zaid ya Ebola inaua kaa Mbal na Majambawaz wa Nchii hii yaa ccm
 
Ma-ccm mwaka huu lazima yajinyee taka yasitake
 
Kwani ukiacha mandamano na kumwagia watu tindikali chadema wanaubunifu gai mwingine?

Kama ni Chadema wanaowamwagia watu tingikal si muwashike? Ukitaka kujua Serikal hii Dhaifu mnafanya nyie yote hayo ili Mbaki madarakan na Watz waogope kudai haki zao, hizo zama zimepitwa na wakat angalia Burund halafu somen alama na Nyakat nyie wachovu wa Nchi hii
Mnapiga watu kwa Risasi, Mwandishi wa Habar Mlimuua kwa Bomu, Mlimteka Ulimboka hd leo hakuna aliyeshikwa, aliyeamrisha Muandishi apigwe bomu kapandishwa cheo serikal yako hiyo dhaifu hakuna asiyejua ccm ni chama cha majambaz na Mafisad wa Nchi hii mwisho wenu ni Oct wachovu nyie, TZ ni tajiri ila wananchi wake ni maskin wa kutupwa ni nani kafanya hv ni ccm,
Mtanzania aliyefilisika na maskin wa kutupwa chama kilichomsababishia hv ni ccm huku mafisad wa Nchi hii wakipiga Mabilion na ccm kuwasafisha halafu aichague ccm atakuwa ni kichaa kama ww ulivyokichaa.
 
Uliona hao twiga wakati wanasafirishwa na una uthibitisho wowote kuhusu hii inshu kama ni kweli au umesikia bila uthbtsho,,

Duuu labda mwenzetu unaishi somali na kesi ipo mahakamani ya kuzuga makampa zamana msaidizi wa wahujumu uchumi nae akawatoroka yaani hii kitu baba wa Taifa angekuwepo hiyo kesi wala isingefika mahakamani na twiga wangerudi na walioshiriki wangekiona cha mtemakuni lakini kwa vile...... ndio basi tena.
 
Back
Top Bottom