Ubunifu: Kutana na Daladala zenye Wi-Fi

Ubunifu: Kutana na Daladala zenye Wi-Fi

mbona jiran zenu hapo Nairobi ni kitu cha kawaida kabisa?
 
zile gari za gongo la mboto na mbagala waweke pia
 
Mara nyingi ilizoeleka kusoma kwenye social media au sehemu mbalimbali kuona au kusikia mabasi ya umma alimaarufu hapa nchini kama daladala ya huko majuu au kwa wakoloni yakiwa na huduma ya intaneti ya bure (free Wi-Fi)

Wakati huo ukitafakari hilo hapa nchini tukiwa na mradi namba moja barani Africa wa mabasi ya umma ya mwendo kasi, bado huduma hiyo haikuweza kuongezwa kwa wapandaji wa mabasi hayo, ikiwa bado tunasoma na kusikia ni huko kwa mkoloni (ulaya) tu ndo unaweza kukuta huduma hiyo.

Ajabu leo kama siyo jana na juzi nilijaribu kupanda daladala kutokea tegeta kuja posta nikakutana na tangazo kwenye kioo free Wi-Fi!!, nilimuuliza konda akanipa jibu huduma ipo kazi kwako kama charge ya simu yako iko fully anza kuchart!!.

Aseee, niliona ni mfano mzuri na hatua nzuri kwa daladala za route hii ndefu kuweka huduma hiyo, ukizingatia usasa wa teknolojia ya sasa.

BIGup sana mmiki wa T 919 DFR Tegeta -Kivukoni.
 

Attachments

  • IMG_20170918_094316.jpg
    IMG_20170918_094316.jpg
    152.3 KB · Views: 55
  • IMG_20170918_104035.jpg
    IMG_20170918_104035.jpg
    234.9 KB · Views: 70
Hapo hilo basi litakuwa linagombaniwa nakumbuka kuna daladala 2 za Gongo la mboto moja ya Goms kivukoni imeandikwa respect sasa ikifika Goms karibu na stand inaanza kupiga honi ase watu wote wanakuwa stand by kuligombania hata liwe limejaa na daladala zingine zipo siti wazi basi wote watalikimbilia hio daladala sasa ikianza kutoka spidi sio chini ya 110 mwanzo mwisho lina overtaki si unajua njia ya goms ilivyo na foleni sasa yeye anapita mavumbini full spidi Ku overtake anafika kivukoni au Goms dakika 20 wakati wenzie hutumia 2hrs ..trafiki wote humjua na kwa siku huandaa 60,000 kwaajili ya trafiki tu ,ile daladala ilifungiwa fungiwa mwisho yule driver [emoji23] [emoji23] alifanya tukio moja matata trafiki wakamtolea uvivu wakamnyanganya leseni na kufungiwa asiendeshe maisha yote na gari ikafutiwa leseni . abiria wa kivukoni ,mnazi mmoja wanalijua
Mtu yupo radhi akeshe kituoni alisubiri hiyo Eicher


Na lingine Goms -Msasani imeandikwa hesabu 22-23 nilikuwa kila nikiliona lazima nipande jamaa anaenda round 2 wenzie hata moja bado..

Huyo wa tegeta atakuwa na abiria wengi
 
Huo ndo ujasiriamali unaotakiwa,yaani mtu uwe na utofauti na wengine ................Ma mwendo kasi yetu nayo yangekuwa na huduma iyo mbona ingetuvutia hata sie tusiokuwa tunaishi kimara tungeamia huko
 
Back
Top Bottom