ni Sawa Sawa!mimi japo nilikua kwa nje ile imenasa
[emoji23] [emoji23] [emoji23]ni ujanja tu,
nimewahi jaribu mara mbili kumbe ni uongo..
ni WiFi isiyojulikana...
Konda anaweza akafikiri hiyo Wi-fi ni kinywajinshayapanda kila nkutafta sipati nkamuuliza konda naye hajui lolote
Anaweza kudhani unamtukana kwa kumuita WiFiKonda anaweza akafikiri hiyo Wi-fi ni kinywaji
Anaweza kudhani unamtukana kwa kumuita WiFi
Hiyo gombania yake ya kuingia sipati picha,aongeze pale chini Only smartphone or laptop!!!!Watu mnapenda slope [emoji23][emoji23]
Uongo mkubwa kuna hiyo daladala ya tegeta -posta ya kampuni inaitwa Christiania WiFi hakuna.Kila siku watanzania wanazidi kua wabunifu.... kutokana na tatizo la foleni na umbali wa safari kutoka kariakoo hadi tegeta nyuki huyu mjasiliamali kaamua kuweka WiFi kwenye daladala zake na kuwawezesha abiria kupata free internet connectionView attachment 589805 View attachment 589805 View attachment 589805