Ubunifu: Kutana na Daladala zenye Wi-Fi

Ubunifu: Kutana na Daladala zenye Wi-Fi

labda kama ni kwa ajiki ya social networks tu... sa sivyo wabongo watapanda ili waka download movies..

Nakumbuka miaka hiyo niko bagamoyo kuna hotel moja imepakana pale na chuo cha sanaa Tasuba njia ya kwenda kaole, kilikuwa free WiFi af haina password, yani ilikuwa ni kujipiyisha pitisha tu pale, na hivi nje getini kulikuwa na kiduka so nikuzugazuga pale dukani stori nyiiiingi na muuzaji kumbe simu iko connected na WiFi pale ni kushusha tu movies na games mpaka siku wakashtukia, wakapunguza coverage area ikawa ni ndani ya hotel tu. Hapo ndio wakatuweza
 
Huo ndo ujasiriamali unaotakiwa,yaani mtu uwe na utofauti na wengine ................Ma mwendo kasi yetu nayo yangekuwa na huduma iyo mbona ingetuvutia hata sie tusiokuwa tunaishi kimara tungeamia huko
Sasa hayo unayoyaita "mamwendo kasi" siku hizi ni full kero, utakuta watu wanakaa mpaka kwenye ngazi, sasa basi fungua mdomo umwambie hapo siyo sehemu ya kukaa pisha nipite!!.

JIBU UTALOPEWA, UNAEZA SHUKA KITUO USICHOPANGA KISHUKA .
 
Hizo wi-fi ziwe za kweli sio za kudanganya abiria wapande halafu Wi-Fi zenyewe mizinguo
 
Back
Top Bottom