Ubungo Riverside na biashara ya ukahaba mpaka lini?

Ubungo Riverside na biashara ya ukahaba mpaka lini?

kwanza ndio umeendelea kuwafaahamisha wateja........hayo mambo yakaukie....aidha ihalalishwe tukusanye KODI....au wateja wapambanishwe na DOLA.....sheria kaliiii......WATEJA NI SISI WANAUME.....anzia hapa....ili bidhaa ifutike sokoni WATEJA waisusie....... 😎
 
Huyu jamaa kuna sehemu kakosea sana kwenda kuchukua picha za watu hapo kwenye kituo cha dala dala halafu anachanganya na habari zake za makahaba wanaojiuza. Atakuja kuleta mtafaruku kwenye familia za watu bure. Siku nyingine awe makini kwani hapo kituoni wapo watu wametoka kwenye mihangaiko mbali mbali hasa ukizingatia DSM ni jiji la mishe mishe na Riverside ni kituo kikubwa sana cha dala dala baada ya daraja la juu kujengwa Ubungo.
Mda wenyewe inaonekana wakt anarekodi ni saa2 ingekuwa sa6 7 ingemake sense angalau
 
Hao malaya inatakiwa wagongwe mihuri ili iwe rahisi kuwatambua,na wapewe TIN number na EFD walipe kodi nchi ijenge barabara za lami kila kijiji.
 
Watajikimu vipi ukizingatia kupata ajira za namna nyingine ni majanga?
 
Wewe jamaa jiangalie utakuja kuuliwa au kushtakiwa. Hapo hamna anayejiuza hata mmoja. Hao no wananchi wamesimama, ukifunguliwa kesi usianze kulia lia
 
Watu wamesimama barabaran unasema wanajiuza 😀😀😀😀
Hujamuhoji hata mmoja kuuliza kwann wapo hapo zaidi ya yote naona unaingilia faragha za watu maana camera unaelekeza kwa kila mtu hata ambaye hausiki
Nenda hapo saizi wapo tele,kama unatokea Kinyaiya pub/landmark hotel shuka kama unakuja shell,hiyo njia yote wamejaa tangu mida ya saa 3hivi ,njia yote hadi Mikasa...... unaweza kupita ukawahoji mkuu,hasa hapo shell wapo wengi tu
 
Nenda hapo saizi wapo tele,kama unatokea Kinyaiya pub/landmark hotel shuka kama unakuja shell,hiyo njia yote wamejaa tangu mida ya saa 3hivi ,njia yote hadi Mikasa...... unaweza kupita ukawahoji mkuu,hasa hapo shell wapo wengi tu
Sijakataa hiyo biashara ipo
Ttz ni namna ya uchukuaji video ni kama mtoto anachezea camera ni anamulika mulika kila mtu
 
Sijakataa hiyo biashara ipo
Ttz ni namna ya uchukuaji video ni kama mtoto anachezea camera ni anamulika mulika kila mtu
Hapo labda mleta Uzi ndiyo ameteleza, nadhani ni kwasababu alikuwa anaibia ibia ili asishitukiwe 😂
 
Nimepita hapo saa kumi asubuhi napanda tilisho safaris nimekuta watu wanajichagulia minyama
 
Hii biashara ialalishwe tu na waanze kulipa Kodi km baadhi ya majiji ulaya huku wakitafutiwa sehemu maalum ili isilete bughudha Kwa watu wengine

Haiwezi kufutika maana imekuwepo tangu enzi na enzi

Serikali inahangaika na tozo Kwa wananchi wakati kuna maeneo km haya hagajaangaliwa km fursa
Mmmmh biashara ya ukahaba ni biashara ya laana, nchi italaanika ikikusanya kodi kwa makahaba.
 
Back
Top Bottom