Labda ni mmojawapo ......Mkuu wewe daily unaangazia Malaya tatuta content za msingi views utapata tu
Tundu dogo! Unaongelea tundu lipi hilo?Kale katundu Ni kadoooooogo tu lkn Ni balaa.
Hii biashara achaneni nayo fanyenu mambo yenu jamani,ikiwezekana mrudi kwenu kazuramimba achaneni na mliyoyakuta..Tangu enzi na enzi hii biashara ilishindwa kukomeshwa itawezekana leo!?Asee!
Unataka kutuumiza macho tu!Mkuu nahiitaji ni-kicomment maandishi yangu yawe na wino mweusi Kama kwako nafanyaje? Mkuu
Anadai anayo degree ya Sheria, na yeye ni Wakili Msomi!Akili za mwijaku hizo
Wakuu,
Inasiikitisha kuona eneo la Ubungo riverside kukizidi kukua na kushamiri biashara ya ukahaba tena mapema yaani kuanzia mida ya kumi na moja jioni. Mbaya zaidi watoto wadogo Na wanafunzi ndo unakuta wanapita hapo kutoka mashuleni ambapo kukutana na hawa dada zao Na wengine wakiwa ni sawa na mama zao wamejipanga barabarani wakisubiri wateja wakiwa Na mavazi ya nusu uchi.
Pembezoni mwa Baa ya Zambezi iliyopo River Side, Ubungo wasichana hujipanga kuanzia karibu na kituo cha mafuta na kuzunguka baa hiyo kuanzia majira ya saa 11 jioni. Wasichana hao wana vyumba vyao katika nyumba moja ya kulala wageni iliyopo jirani na baa hiyo.
Wasichana hao wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 hadi 25 wamegeuza eneo hilo kuwa kijiwe chao maarufu, jambo ambalo huwashtua wageni wanaotembelea maeneo hayo kwa mara ya kwanza.
Ni wakati sasa serekali kuchukua hatua kwani watoto wanajifunza maadili yasiyofaa kutoka kwa makahaba hao kuanzia wanavyovaa, wanavyozungumza na wanavyotembea.
Hizi sasa ndio akili za magreat thinkersHii biashara ialalishwe tu na waanze kulipa Kodi km baadhi ya majiji ulaya huku wakitafutiwa sehemu maalum ili isilete bughudha Kwa watu wengine
Haiwezi kufutika maana imekuwepo tangu enzi na enzi
Serikali inahangaika na tozo Kwa wananchi wakati kuna maeneo km haya hagajaangaliwa km fursa
Acheni bwana sie madomo zege sasa mtataka tubake wanafunzi. Waacheni hao dada poa, wanatusaidia sie madomo zege tusibake.



kuna waale polisi wa doria nao huwa
wanapita hapo kujipoza
kwahiyo kiongozi ,ishi maisha yako



Ingia pale kama unaenda Mchichani Kuna bar utaona wamepanga viti njeNgoja na mimi niende nikajionee