Ubungo Riverside na biashara ya ukahaba mpaka lini?

Ubungo Riverside na biashara ya ukahaba mpaka lini?

Hii biashara ialalishwe tu na waanze kulipa Kodi km baadhi ya majiji ulaya huku wakitafutiwa sehemu maalum ili isilete bughudha Kwa watu wengine

Haiwezi kufutika maana imekuwepo tangu enzi na enzi

Serikali inahangaika na tozo Kwa wananchi wakati kuna maeneo km haya hagajaangaliwa km fursa
Tatizo serikali ni kichaa . Pesa wanaprinti wenyewe kisha wanaanza kuzitafuta?!
 
Hiyo ni sewage system ya mji, wakware, ambao wangebaka, wanamwaga uchafu wao huko
 
Serikali haina uwezo wa kudhibiti starehe binafsi za watu. Kama imeshindwa kwenye bongo flavors na bongo movie kudhibiti maadili ndo itaweza ya mabarabarani
 
Hao wote uwanja wa fisi wamehamia huko.
Hamna mwanafunzi au mtoto hapo.
 
Wakuu,

Inasiikitisha kuona eneo la Ubungo riverside kukizidi kukua na kushamiri biashara ya ukahaba tena mapema yaani kuanzia mida ya kumi na moja jioni. Mbaya zaidi watoto wadogo Na wanafunzi ndo unakuta wanapita hapo kutoka mashuleni ambapo kukutana na hawa dada zao Na wengine wakiwa ni sawa na mama zao wamejipanga barabarani wakisubiri wateja wakiwa Na mavazi ya nusu uchi.



Pembezoni mwa Baa ya Zambezi iliyopo River Side, Ubungo wasichana hujipanga kuanzia karibu na kituo cha mafuta na kuzunguka baa hiyo kuanzia majira ya saa 11 jioni. Wasichana hao wana vyumba vyao katika nyumba moja ya kulala wageni iliyopo jirani na baa hiyo.

Wasichana hao wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 hadi 25 wamegeuza eneo hilo kuwa kijiwe chao maarufu, jambo ambalo huwashtua wageni wanaotembelea maeneo hayo kwa mara ya kwanza.

Ni wakati sasa serekali kuchukua hatua kwani watoto wanajifunza maadili yasiyofaa kutoka kwa makahaba hao kuanzia wanavyovaa, wanavyozungumza na wanavyotembea.
Alafu ukute wewe mtoa uzi ndio mnunuzi wa kwanza ila yawezekana ulitaka kula papuchi kwa burudani afu pesa yako ndogo. Acha wivu watu wajilie vinono, tumeumbwa mara moja na tutakufa mara moja.
 
Wakuu,

Inasiikitisha kuona eneo la Ubungo riverside kukizidi kukua na kushamiri biashara ya ukahaba tena mapema yaani kuanzia mida ya kumi na moja jioni. Mbaya zaidi watoto wadogo Na wanafunzi ndo unakuta wanapita hapo kutoka mashuleni ambapo kukutana na hawa dada zao Na wengine wakiwa ni sawa na mama zao wamejipanga barabarani wakisubiri wateja wakiwa Na mavazi ya nusu uchi.

Pembezoni mwa Baa ya Zambezi iliyopo River Side, Ubungo wasichana hujipanga kuanzia karibu na kituo cha mafuta na kuzunguka baa hiyo kuanzia majira ya saa 11 jioni. Wasichana hao wana vyumba vyao katika nyumba moja ya kulala wageni iliyopo jirani na baa hiyo.

Wasichana hao wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 hadi 25 wamegeuza eneo hilo kuwa kijiwe chao maarufu, jambo ambalo huwashtua wageni wanaotembelea maeneo hayo kwa mara ya kwanza.

Ni wakati sasa serekali kuchukua hatua kwani watoto wanajifunza maadili yasiyofaa kutoka kwa makahaba hao kuanzia wanavyovaa, wanavyozungumza na wanavyotembea.
Unamkuta RC anahangaika na mabasi yanayosaidia abiria kwenda city centre badala ya kudhibiti vitu kama hivi

Madness!!
 
Mkuu wa Mkoa ameamua kuliachia Jiji la DSM lijiendee kama linavyo kwenda!!!

Ukahahaba umerudi kwa kasi ya ajabu!!
Wavuta shisha wamerudi kwa kasi ya ajabu!!
Ushoga umerudi kwa kasi ya ajabu!!
watoto wa mitaani wamezagaa kila kona!!
n.k n.k

RC ndiye Kiongozi mwenye dhamana ya kuhakikisha ulinzi na salama wa mkoa, sasa kama imeshindikana bora asema.

kwakeli Mkoa wa DSM pamoja na Wilaya zake zote 5 zinahitaji viongozi wawe wachakarikaji, wapambanaji, wajanja zaidi/makini na sharp.
tunawaomba viongozi wetu waliopo wabadilike, Mkoa huu hataki viongozi wavivu.
 
Wakuu,

Inasiikitisha kuona eneo la Ubungo riverside kukizidi kukua na kushamiri biashara ya ukahaba tena mapema yaani kuanzia mida ya kumi na moja jioni. Mbaya zaidi watoto wadogo Na wanafunzi ndo unakuta wanapita hapo kutoka mashuleni ambapo kukutana na hawa dada zao Na wengine wakiwa ni sawa na mama zao wamejipanga barabarani wakisubiri wateja wakiwa Na mavazi ya nusu uchi.



Pembezoni mwa Baa ya Zambezi iliyopo River Side, Ubungo wasichana hujipanga kuanzia karibu na kituo cha mafuta na kuzunguka baa hiyo kuanzia majira ya saa 11 jioni. Wasichana hao wana vyumba vyao katika nyumba moja ya kulala wageni iliyopo jirani na baa hiyo.

Wasichana hao wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 hadi 25 wamegeuza eneo hilo kuwa kijiwe chao maarufu, jambo ambalo huwashtua wageni wanaotembelea maeneo hayo kwa mara ya kwanza.

Ni wakati sasa serekali kuchukua hatua kwani watoto wanajifunza maadili yasiyofaa kutoka kwa makahaba hao kuanzia wanavyovaa, wanavyozungumza na wanavyotembea.

Yupo wapi mch mwenye kanisa jirani hapo awaombee..?
 
We tulia zako bhana hao ndio wanatuliwaza tukiwa na stress pia hawana gharama na unachagua type yoyote ile
 
Bodaboda wanateketea hapo,maana anambeba akimaliza ukahaba hapo,then nayeye anaomba wakati anajua ametoka kujiuza......ukisikiliza story za eneo hilo kuanzia Mabibo hostel stand kuja Mikasa, Zambezi,Chonya Inn bar, Kinyaiya pale au vuka Riverside bar........eneo la pale unaingia Mchichani (zamani stand ya kwenda Makoka) Kuna kibaa katikati hapo ndiyo Kinyambi (yule comedian aliyefariki) alipopatia ngoma,pale kuna wadada wengii,bar,guest na michemsho ila ngoma nje nje.
shukrani sana.kuna watu umewafungua ufahamu hapa.
 
Watu wamesimama barabaran unasema wanajiuza 😀😀😀😀
Hujamuhoji hata mmoja kuuliza kwann wapo hapo zaidi ya yote naona unaingilia faragha za watu maana camera unaelekeza kwa kila mtu hata ambaye hausiki
Huyu jamaa kuna sehemu kakosea sana kwenda kuchukua picha za watu hapo kwenye kituo cha dala dala halafu anachanganya na habari zake za makahaba wanaojiuza. Atakuja kuleta mtafaruku kwenye familia za watu bure. Siku nyingine awe makini kwani hapo kituoni wapo watu wametoka kwenye mihangaiko mbali mbali hasa ukizingatia DSM ni jiji la mishe mishe na Riverside ni kituo kikubwa sana cha dala dala baada ya daraja la juu kujengwa Ubungo.
 
Wakuu,

Inasiikitisha kuona eneo la Ubungo riverside kukizidi kukua na kushamiri biashara ya ukahaba tena mapema yaani kuanzia mida ya kumi na moja jioni. Mbaya zaidi watoto wadogo Na wanafunzi ndo unakuta wanapita hapo kutoka mashuleni ambapo kukutana na hawa dada zao Na wengine wakiwa ni sawa na mama zao wamejipanga barabarani wakisubiri wateja wakiwa Na mavazi ya nusu uchi.



Pembezoni mwa Baa ya Zambezi iliyopo River Side, Ubungo wasichana hujipanga kuanzia karibu na kituo cha mafuta na kuzunguka baa hiyo kuanzia majira ya saa 11 jioni. Wasichana hao wana vyumba vyao katika nyumba moja ya kulala wageni iliyopo jirani na baa hiyo.

Wasichana hao wanaokadiriwa kuwa na umri wa miaka 16 hadi 25 wamegeuza eneo hilo kuwa kijiwe chao maarufu, jambo ambalo huwashtua wageni wanaotembelea maeneo hayo kwa mara ya kwanza.

Ni wakati sasa serekali kuchukua hatua kwani watoto wanajifunza maadili yasiyofaa kutoka kwa makahaba hao kuanzia wanavyovaa, wanavyozungumza na wanavyotembea.

Kwa hiyo ukitokea Ubungo, hiyo baa ya Zambezi iko upande gani? Nataka siku nikija huko nikajiridhishe kama ni kweli, au la.
 
Nilikuwa nikitoka zangu UD apo napitia mmoja, Naenda nae Hostel na Fake ID, Najipakulia namaliza mpk Raha
 
Back
Top Bottom