Ubungo: Mkutano wa mtaa wa Makabe wazuiwa kisa Mnyika

Halafu unakuta mtanzania nashangilia kuwa acha wakomeshwe wamezoea.
Viongozi wakisimama majukwaani wanakemea ubaguzi na kusema maendeleo hayana chama.
Hivi huwa wanamaanisha nini haswa!?
Tatizo la viongozi wetu Ni unafiki umewajaa, wamezoea kupata vyeo kwa ulaghai.kiongozi yeyote anayelipenda taifa lake atapenda pia kuwapa fursa sawa watu wote hata wale wasiompenda.msingi Mkuu Wa amani kwa taifa lolote Ni haki kwa wote.haiwezekani viongozi waliochaguliwa kihalali wazuiwe kufanya shughuli zao Na watu walioletwa Na rais eneo husika sio sawa.
 
Enzi zile za maalim seif mkutano unafanyika na polisi wanalinda.Siku hizi upinzani umekua goi goi sana
 
View attachment 1218043
Siasa chafu na mambo ya kijinga sisi wananchi tumenyimwa haki ya kufanya mkutano wa wananchi kisa eti serikali ya mtaa walimwita Mbunge kujibu hoja:
Tuna kero 3 kubwa.
1. Kutapeliwa wananchi na serikali ya mtaa katika zoezi la urasimishaji Ardhi
2. Mradi wa maji umesimama bila sababu. Hatuna majibu
3. Mapato na matumizi ya mtaa hayajulikani miaka 3 sasa.
4. Uchafu umezagaa mtaani na kuhatarisha afya zetu.
5. Usalama ni mdogo sana ujambazi na hata wanawake na watoto kubakwa.
Mkutano unakatazwa kwa Faida ya nani.
Pathetic! Hii nchi basi tu.
 
View attachment 1218043
Siasa chafu na mambo ya kijinga sisi wananchi tumenyimwa haki ya kufanya mkutano wa wananchi kisa eti serikali ya mtaa walimwita Mbunge kujibu hoja:
Tuna kero 3 kubwa.
1. Kutapeliwa wananchi na serikali ya mtaa katika zoezi la urasimishaji Ardhi
2. Mradi wa maji umesimama bila sababu. Hatuna majibu
3. Mapato na matumizi ya mtaa hayajulikani miaka 3 sasa.
4. Uchafu umezagaa mtaani na kuhatarisha afya zetu.
5. Usalama ni mdogo sana ujambazi na hata wanawake na watoto kubakwa.
Mkutano unakatazwa kwa Faida ya nani.
 
Enzi zile za maalim seif mkutano unafanyika na polisi wanalinda.Siku hizi upinzani umekua goi goi sana
Huu sasa utakuwa uzwazwa kweli. Fanya mkutano, polisi wakitumia nguvu waonyeshwe nguvu ya umma kwa kudondosha mmoja au wawili na huyo mtendaji adungwe mshale.
Hakika nchi nzima maamuzi ya maonezi hayatatokea maana hayana sababu za msingi.
Tuache umama sasa, maana aliyeleta ugonjwa huu ni mamvi lakini sii amesharudi kwao?
 
Enzi zile za maalim seif mkutano unafanyika na polisi wanalinda.Siku hizi upinzani umekua goi goi sana
Ndicho ninacho kiona mimi upinzani umekuwa dhaifu sana, malalamiko kila siku, wakati hao wanao wakataza wapo mitaani huku huku, fanyeni action.
 
Back
Top Bottom