FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,799
- 46,917
- Thread starter
- #61
Inawezekana.., maana hadi leo ujenzi site haujaanza, inawezekana zilikiwa ni porojo tu?Hahaa..kweli
Inawezekana.., maana hadi leo ujenzi site haujaanza, inawezekana zilikiwa ni porojo tu?Hahaa..kweli
Mbombo ngafu aka mbwembweeNi miezi minne sasa tangu mh. Rais aweke jiwe la msingi, lakini hakuna kilichofanyika site hadi sasa, hata chepe tu hakuna
Watu bado wanaendelea kuchukua vipimoInawezekana.., maana hadi leo ujenzi site haujaanza, inawezekana zilikiwa ni porojo tu?
Hata zile theodolites za kuchukua levels hakuna.., hopeless kabisaWatu bado wanaendelea kuchukua vipimo
Sent from my TECNO-Y6 using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo msimamo wako uko palepale Ama ushaanza kulegeza kidogokidogo.Inawezekana.., maana hadi leo ujenzi site haujaanza, inawezekana zilikiwa ni porojo tu?
Kisa jirani yako ana shangingi, hutoshangilia ukinunua babywalker?kweli bongo bado sana..wenzenu hapo Nairobi wana fly overs zaidi ya 20 na wako kimya tu.
Pale waliposafisha na kuanza michoro siyo kitu ?Ni miezi minne sasa tangu mh. Rais aweke jiwe la msingi, lakini hakuna kilichofanyika site hadi sasa, hata chepe tu hakuna
Ujenzi umeanza kwa mwendo wa kobe
Nliskia ujenzi ulisimama.Ni mwaka sasa sijaona kilichofanyika, kwa wanao fahamu, nini kinaendelea pale?
Kweli?Inakuwaje unajaza server kwa mapicha na habari za uongo na ukijua ni uongo hiyo kitu kutokea bongo lazima ccm iwe imezikwa na hata kumbukumbu zisiwepo