Ubungo bus terminal dump ya uchafu, jiji wapi?

Wala hujakosea mkuu. Mwaka jana niilipokua Dar desemba nilishangaa hata nikawa najuta kuwasili Bongo mchana kweupeee!!

Mchizi nilikua niko juu ya daladala trying to get the home feeling na amini usiamini kulikua na jamaa kasimama barabarani akikojoa mtaroni laivu!!!...Mwenzio mbona nikamaka kwa mshangao na abiria aliyekua amekaa ubavu wa pili akaniuliza "hivi wewe ni mgeni hapa mjini?" namii nikamwambia ndivyo na ndo nimelandi kutoka Marekani. Jamaa akacheka kisha akanijibu "karibu nyumbani, utazoea tu". Nilishangaa na nikakataa kauli yake eti "nitazoea'....there is no way in hell nitaozea kumwona mtu mzima hoyvoo, dudu nje akimwaga jojo kadamnasi mitaa ya Sinza.

Kisha kuanzia mitaa ya Mikocheni hadi Kawe ndo hapafai kabisa maana ni arufu mtindo mmoja!!! Maji taka hayazolewi na hata wakifanya kuzoa ni upuzi mtupu. Jamaa wanatoa uchafu ndani ya mtaro na kuuweka right at the top. In simple common sense, when it rains wont all this trash go right back into the drains jamani!!!? Nilipohoji nikaambiwa jama wanafanya hivyo maksudi ndo waweza kuhifadhi kibarua for the next day...Gaaadem!...Yaani Bongo kivyakevyake aisee. Kisha maeneo yenyewe nd'o barabara inayopitiwa na matasha na nikahooji tena kwani hawaoni hali ilivyo hususan kukinyesha. Nikaambiwa ukilinganisha na swala la kwamba jamaa wanaendesha mashangingi fuli-kipupwe, kwani wanaipata hio harufu?...najua ushapata jibu hapo!

Kisha ukiingia mjini wakati mambo ya umeme yanaleta kasheshe utajuta!...Kelele ya majenereta ni kama kuzimu! Yaani waliohujumu wananchi wa Tanzania kwa skendo za ishu za umeme hawakuwatenedea wananchi haki...but then again, who cares.

Kisha hapo Ubungo nitawaachia wenyewe wajadli. Kama Nyani alivyosema hapo juu watu wanaosindikiza abiria wanatozwa hela lakini
hujui hela inaenda wapi au ni ya nini. There is no official communication for that matter. Kisha kila mtu ni mwizi/tapeli hususan kipindi cha krismasi na shamrashamra za New Year. Utauziwa tikiti na jamaa kisha mkishamalizana na umekaa kwenye nafasi yako, anatokea konda mwengine anakudai hela zaidi. Ukijaribu kumtafuta aliyekukapa tikiti humuoni. Mwenzenu niligoma kushuka basi la Tanga kwa upuzi huo. Jamaa ilibidi nimmwagie kimombo na kumsuta mbaya sana. Tatizo langu lilkua usumbufu tu wa hawa matapeli. At the end of the whole saga tukawa washkaji mpaka kubadili namba za simu na niikapata kupiga tripu zengine mbili na jamaa hadi Mombasa na kurudi Dar.

Bongo tambarare wakuu...akili mukichwa!
ma dear u made ma day nimecheka mpaka basi mana mm mbado kuona hayo mambo jamani wacha nikajionee na mm mwezi wa kwanza kwa macho yangu...........kama kweli ilo eneo ni ubungo ama lah! na mengineyo mengiiiiiiiii.................nitazururajeeeeeeeeeeee
 
Jiji lote la Dar ni dampo ya uchafu. Mie sioni hata sehemu yenye afadhali. 2010 Dar ilikuwa jiji la 7 kwa uchafu duniani na ya tatu kwa uchafu Afrika sidhani kama kuna ahueni yoyote iliyotokea 2011. Wamethubutu, wameweza na sasa wanasonga mbele.
huu msemo wa jk unanipaga raha saaaaaaaaaaaaaana mie loh!.............tumethubutu tunaweza na tunasonga mbele huku anabatasamau as usual
 
Wala hujakosea mkuu. Mwaka jana niilipokua Dar desemba nilishangaa hata nikawa najuta kuwasili Bongo mchana kweupeee!!

Mchizi nilikua niko juu ya daladala trying to get the home feeling na amini usiamini kulikua na jamaa kasimama barabarani akikojoa mtaroni laivu!!!...Mwenzio mbona nikamaka kwa mshangao na abiria aliyekua amekaa ubavu wa pili akaniuliza "hivi wewe ni mgeni hapa mjini?" namii nikamwambia ndivyo na ndo nimelandi kutoka Marekani. Jamaa akacheka kisha akanijibu "karibu nyumbani, utazoea tu". Nilishangaa na nikakataa kauli yake eti "nitazoea'....there is no way in hell nitaozea kumwona mtu mzima hoyvoo, dudu nje akimwaga jojo kadamnasi mitaa ya Sinza.

Kisha kuanzia mitaa ya Mikocheni hadi Kawe ndo hapafai kabisa maana ni arufu mtindo mmoja!!! Maji taka hayazolewi na hata wakifanya kuzoa ni upuzi mtupu. Jamaa wanatoa uchafu ndani ya mtaro na kuuweka right at the top. In simple common sense, when it rains wont all this trash go right back into the drains jamani!!!? Nilipohoji nikaambiwa jama wanafanya hivyo maksudi ndo waweza kuhifadhi kibarua for the next day...Gaaadem!...Yaani Bongo kivyakevyake aisee. Kisha maeneo yenyewe nd'o barabara inayopitiwa na matasha na nikahooji tena kwani hawaoni hali ilivyo hususan kukinyesha. Nikaambiwa ukilinganisha na swala la kwamba jamaa wanaendesha mashangingi fuli-kipupwe, kwani wanaipata hio harufu?...najua ushapata jibu hapo!

Kisha ukiingia mjini wakati mambo ya umeme yanaleta kasheshe utajuta!...Kelele ya majenereta ni kama kuzimu! Yaani waliohujumu wananchi wa Tanzania kwa skendo za ishu za umeme hawakuwatenedea wananchi haki...but then again, who cares.

Kisha hapo Ubungo nitawaachia wenyewe wajadli. Kama Nyani alivyosema hapo juu watu wanaosindikiza abiria wanatozwa hela lakini
hujui hela inaenda wapi au ni ya nini. There is no official communication for that matter. Kisha kila mtu ni mwizi/tapeli hususan kipindi cha krismasi na shamrashamra za New Year. Utauziwa tikiti na jamaa kisha mkishamalizana na umekaa kwenye nafasi yako, anatokea konda mwengine anakudai hela zaidi. Ukijaribu kumtafuta aliyekukapa tikiti humuoni. Mwenzenu niligoma kushuka basi la Tanga kwa upuzi huo. Jamaa ilibidi nimmwagie kimombo na kumsuta mbaya sana. Tatizo langu lilkua usumbufu tu wa hawa matapeli. At the end of the whole saga tukawa washkaji mpaka kubadili namba za simu na niikapata kupiga tripu zengine mbili na jamaa hadi Mombasa na kurudi Dar.

Bongo tambarare wakuu...akili mukichwa!
Ulivo andika tu hapa, I can tell you have been to the real Dar... lol
 
The fact that he helped exposing this, is way better than what ur tryng to do right now i.e trying to discoureage the criticism.
I didn't discourage the criticisim, I was just giving further ideas for an effective change.
In my opinion ingekua bora zaidi kama ange endelea mbali kidogo in his critic.
 
I didn't discourage the criticisim, I was just giving further ideas for an effective change.
In my opinion ingekua bora zaidi kama ange endelea mbali kidogo in his critic.
HII ILIKUA PLAN YAO 2008/9
wakashindwa au sijui niseme bado wako ktk process bado who knows!!!!!!!!!! so jukumu la walioko hapo karibu na maeneo hayo kuulizia juu ya hili mana wasitegemee mtu ambaye yuko zake huko A TOWN hatumii ubungo terminal kujua yanayoendelea hapo so ni jukumu la kila aliye eneo husika ajiwajibishe kwa njia moja au ingine kuokoa jiji lake
Kituo Kikuu cha Mabasi Ubungo(Ubungo Bus Terminal) hutoa huduma za usafiri kwa magari yaendayo mikoani na nchi jirani; kilianzishwa na iliyokuwa Tume ya Jiji la Dar es Salaam na kilifunguliwa rasmi na Mheshimiwa Benjamin William Mkapa, Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 6/12/1999.

Madhumuni ya kuanzisha kituo ni kama ifuatayo:


  • Kutoa huduma bora kwa wasafiri na watumiaji wengine.
  • Kuondoa msongamano wa magari katikati ya Jiji la Dar es Salaam uliosababishwa na mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani kuegeshwa katika barabara za Msimbazi, Bibi Titi Mohamed (Mnazi Mmoja) na Morogoro (Eneo la Kisutu).
  • Kuongeza mapato ya Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam.


Kituo hiki kina ukumbwa wa Hekta 8.2. Kina uwezo wa kuhudumia wastani wa mabasi makubwa 350, madogo 70, wasafiri, wasindikizaji pamoja na watoa huduma mbalimbali kituoni wasiopungua 30,000 kwa siku. Sambamba na huduma za usafiri zipo pia huduma za kiuchumi zinazoendeshwa na Sekta binafsi, mfano Hoteli, maduka, karakana, kituo cha mafuta n.k.
Tangu kuanzishwa kwake Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imekuwa ikifanya juhudi za kuboresha huduma, kuongeza usalama wa wasafiri na mali zao, na mapato kwa Halmashauri.
Kutokana na mahitaji ya huduma ya wasafiri kuongezeka, Halmashauri ya Jiji imepanga kupanua huduma za kituo hicho ili kiwe cha kisasa na kuendelea kutoa huduma bora zaidi. Umeandaliwa mpango wa biashara, (Business Plan) ambapo LAPF wataingia ubia na Halmashauri ya Jiji ili kuupanua mradi huo kwa kuanzia mwaka huu wa fedha 2008/09. Baadhi ya upanuzi utakaofanywa ni kujenga majengo marefu ya biashara zikijumuisha biashara ndogo ndogo, za kati na za daraja la juu, kuongeza huduma za mahoteli, vyumba vya malazi, ofisi mbalimbali na vituo vingine muhimu kama vya kubadili fedha n.k.

Huduma mbalimbali zitolewazo kituoni hapo:
Kituo kinatoa ajira kwa zaidi ya watu 1,000 na huduma zilizopo huwaleta zaidi ya watu 30,000 kwenye kituo kwa siku. Vilevile kimevutia wawekezaji hasa wa mahoteli na majengo ya ofisi jirani na kituo, hususani maeneo ya Sinza, Manzese na Ubungo yenyewe.
Kituo kina jumla ya Migahawa/bar 25 ambayo hutoa huduma kwa wasafiri na watu mbali kituoni hapo na maeneo jirani.
Kituo kina jumla ya maduka/vibanda 106 ambayo hutoa huduma kwa wasafiri na jamii inayoizunguka.
Hali ya usafi

Usafi wa maeneo yote ya wazi ya Kituo unafanywa na Mkandarasi AJM Rafiki wa Mazingira. Mkandarasi huyu anasimamiwa ipasavyo ili kuhakikisha Kituo kinakuwa safi. na kuwafanya watumiaji wa ubungo bus terminal kuwa salama


Mazingira ya Kituo yameboreshwa kwa kupanda miti na kuoteshwa maua sehemu mbalimbali za Kituo. na kuifanya hali ya hewa ya kituon hapo kua nzuri ingawa kuna joto sana dar es salaam

Unyunyiziaji wa dawa za kuangamiza wadudu hufanyika kila baada ya miezi mitatu (3) kwenye sehemu mbalimbali za Kituo, kwa ajili ya kuangamiza wadudu mbalimbali.yote hii ni ili kuepuka milipuko ya magonjwa na kufanya masiha ya watumiaji wa ubungo bus terminal kua salama


<tbody>
</tbody>




<tbody>
</tbody>
 
kitu gani kingine kinakupaga raha?
kingine ni kidogo sana i mean so cheap
Range Rover Autobiorgaphy Ultimate Edition1.jpg
hii ndio inaongoza kwa sasa 100,000$..........ila kuna hii hapa chini ya kawaida tu nyeupe
imagest.jpg
hii ni 35 hadi 46,678$
na huu ndio ugonjwa wako SI
 
yeleuwiii..umeugusa mtima wangu bibie..just give me 10 years.
hahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa 10yrs mi nakusubiri tu hapo kisa huna rangerover................nakupa 2yrs kama bado am sorry u lost me already
kwanza kauze tembo tz na twiga,hata nyuki siku izi dili na nyama pori ukifikisha dubai tu bila kukamatwa kilo zako kadhaa una si chini ya 15MLN sasa ukifanya safari 2 basi tushapata moja iyo na ukifanya 5 basi tuna ile yakwanza ya 100,000$
au kucha za kima na zenyewe ni soooooo pia na kuna vinyago flan vinatengenezwa na mti mmoja mweusi kinoma yani ukikipata iko nishtue mm nakuletea mtu yuko tayar kwa 40 mln ila sio kimoja vingi
na mwisho pia kuna dili la pesa za tanzania izi za coin sio za makaratasi ni dili sana huku sasa ww siku ukienda tz change ka laki moja ivi iwe 50,100,au 200 ucje na 10,20 sio za vile mana dili ni rangi ka ya mia,50,na 200,ukishafikisha huku sasa niambie nchi ulioko mm nakuelekezea kwa mtu unakula mavumba ya kutosha then unanunua range yako
JUST TEXT ME WHEN UR READY FOR BUSINESS
 
Aminata umeanza kuchakachua thread na ndio nilikua nimedevelop genuine interest bwana! lol
 
ni jana tu nimetoka kumsindikiza mgeni wangu pale. jamaa kakomaa nimlipe kabla sijaingia, hata yule niliekuwa namsindikiza akadai nimlipie ada ya usindikizaji, nikamwambia kistaarabu kuwa huyu ndo anayesafiri mimi narudi. naona haelewi. nilipomlipa naona anataka kuongozana na mimi niendako, nikamwambia si tumeshamalizana mbona wanifata fata tena unataka nini? anadai anataka kunifahamisha zaidi. pumbavu zao. sijui kwanini sehemu kama izo wasiwekwe watu na professional zao kuliko kuokota okota watu tu mtaani
 
Aminata umeanza kuchakachua thread na ndio nilikua nimedevelop genuine interest bwana! lol
pole bwana nimejikuta tu nimeshachakachua
ngoja nikazimue lasivo ctaweza tena kuchangia kingine chochote hapa
happy new year mkuu RR maana nilisahau ama na hapo bado nachakachua tena
 
ni jana tu nimetoka kumsindikiza mgeni wangu pale. jamaa kakomaa nimlipe kabla sijaingia, hata yule niliekuwa namsindikiza akadai nimlipie ada ya usindikizaji, nikamwambia kistaarabu kuwa huyu ndo anayesafiri mimi narudi. naona haelewi. nilipomlipa naona anataka kuongozana na mimi niendako, nikamwambia si tumeshamalizana mbona wanifata fata tena unataka nini? anadai anataka kunifahamisha zaidi. pumbavu zao. sijui kwanini sehemu kama izo wasiwekwe watu na professional zao kuliko kuokota okota watu tu mtaani
kwanini hujampiga gumi la uso ?????? siki ingine mpige bonge la gumi then popote watakapokupeleka nishtue najuana na wana kibao watakutoa tena na elfu hamsini juu watakupa ya pole kwakukukamata...........next time just do it and text me immediately
 
kwanini hujampiga gumi la uso ?????? siki ingine mpige bonge la gumi then popote watakapokupeleka nishtue najuana na wana kibao watakutoa tena na elfu hamsini juu watakupa ya pole kwakukukamata...........next time just do it and text me immediately
lo! aminata
 
kwanini hujampiga gumi la uso ?????? siki ingine mpige bonge la gumi then popote watakapokupeleka nishtue najuana na wana kibao watakutoa tena na elfu hamsini juu watakupa ya pole kwakukukamata...........next time just do it and text me immediately
Eti eeh! kweli ilikuwa nimrushie gumi la shavu! yaani walikarahisha mbele ya mgeni wangu
 
ni jana tu nimetoka kumsindikiza mgeni wangu pale. jamaa kakomaa nimlipe kabla sijaingia, hata yule niliekuwa namsindikiza akadai nimlipie ada ya usindikizaji, nikamwambia kistaarabu kuwa huyu ndo anayesafiri mimi narudi. naona haelewi. nilipomlipa naona anataka kuongozana na mimi niendako, nikamwambia si tumeshamalizana mbona wanifata fata tena unataka nini? anadai anataka kunifahamisha zaidi. pumbavu zao. sijui kwanini sehemu kama izo wasiwekwe watu na professional zao kuliko kuokota okota watu tu mtaani


Watu wa nini wakati technolojia zipo zinazagaa mitaani hatutaki kuzitumia, hao watu waende kulima tusilie lie njaa kila wakati. Siku zote ukitaka nchi iendelee haitakiwi kuchekea chekea watu au kuendekeza urafiki. Inatakiwa system moja simple ya kila anayeingia langoni lazima adumbikize pesa sehemu lango linafunguka, na mtu akileta uhuni kamata peleka kwenye karakana za taifa akalime au akatengeneze sofa za maofisini. Lakini kwa vile ujanja ujanja ndiyo unawaweka watu dar, anaweza kukaa mwaka mzima, akipiga hesabu anajikuta kwa mwaka kapata TZS laki nne, wala hashtuki. Haa nchi itasonga mbele kweli hivyo?
 
Watu wa nini wakati technolojia zipo zinazagaa mitaani hatutaki kuzitumia, hao watu waende kulima tusilie lie njaa kila wakati. Siku zote ukitaka nchi iendelee haitakiwi kuchekea chekea watu au kuendekeza urafiki. Inatakiwa system moja simple ya kila anayeingia langoni lazima adumbikize pesa sehemu lango linafunguka, na mtu akileta uhuni kamata peleka kwenye karakana za taifa akalime au akatengeneze sofa za maofisini. Lakini kwa vile ujanja ujanja ndiyo unawaweka watu dar, anaweza kukaa mwaka mzima, akipiga hesabu anajikuta kwa mwaka kapata TZS laki nne, wala hashtuki. Haa nchi itasonga mbele kweli hivyo?

mimi naona siku moja anyongwe mtu mzembe hadharani ndio nchi itasonga mbele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom