Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,016
- 9,885
Fact! haya ndio mapingamizi yanatakiwaHaya ndiyo mapingamizi ya maana siyo mapingamizi ya kitoto kama kutokuweka picha au kuandika jina kwa herufi ndogo
Jo nimesubiri nione mapingamizi ya Lissu sijaona au amepewa kimyakimya?Wanasheria kujeni huku haraka!
cc: Pascal Mayalla
Hahahaaaa...... Kumchinja Kobe kunataka timing Prof Lipumba karudia njiani!Jo nimesubiri nione mapingamizi ya Lissu sijaona au amepewa kimyakimya?
Uchaguzi huu ukiisha tume inapaswa kutafakari sana na kufanyia marekebisho kasoro nyingi zilizojitokeza.Fact! haya ndio mapingamizi yanatakiwa
Kabudi anapewaje fomu amjazie rais huku wakijua hana uzoefu.Mchimba kaburi kaingia mwenyewe huku magu kakosea kujaza fomu huku jamaa kakwepa kodi ila paramagamba kabudi ulichomfanyia magufuli kukosea kujaza fomu Mungu anakuona
wanaenda kumrudishia hela zakeMwanasheria Emmanuel Mwasonga amemuwekea pingamizi mgombea ubunge jimbo la Njombe mjini bwana Deodatus. Mwanyika ambae amepitishwa na chama chake kugombea ubunge huku mwezi wa 7 alipatikana na hatia ya utakatishaji pesa na uhujumu uchumi.
Najiuliza hadi CCM wanampitisha Mwanyika hawakujua kama ni mtu ambae hafai kugombea kulingana na sheria za Tanzania?
Wanasheria kujeni huku haraka!
cc: Pascal Mayalla
Alipitishwa na mtu mmoja tu ambaye alishakiri kuwa hashaurikiNajiuliza hadi CCM wanampitisha Mwanyika hawakujua kama ni mtu ambae hafai kugombea kulingana na sheria za Tanzania