Ubunge Iramba Magharibi

Ubunge Iramba Magharibi

Hakuna haja ya kutoa ushauri.lini wanaokitumikia chama kilichojipa tumaini la kutawala milele.kwao hao ushauri mwema ni matusi.iramba magharibi haiwezi ikawa uwanja wa majaribio ya siasa uchwara.sarakasi zinazopigwa za kifisadi pale,ukomo wake ni huu mkakati wa kisayansi uliokwisha anza tangu january2012 to 2015.kukomesha ahadi zinazo dhalilisha wazee wetu.miaka nenda rudi.lengo kuu la uzi niliouweka ,ilikuwa si kulumbana .bali nimeamua kuomba ushauri wa mahakama kuu yaani wananchi wa iramba marg.hof ya nini cheza upande. Wako.nasi.elimu hii ya uraia na historia itahukumu.Mungu ibariki Tanzania.Mungu.ibarik.iramba magh.

Wee mwanakidagu acha kumjambi.....a Mheshimiwa wa magamba, je mnajua anabebwa na magamba mangapi? kweli mtawaweza waliomweka hapo?
 
Usiwe mwoga.. Kama unataka ushauri tunaweza kukumwagia .. Weka I'd zako zote Na mpicha wako.. Usijiandae kukataa changamoto mapema. Matusi kejeli kero makochokocho bin kuchokonolewa hadi kule usikodhani ndio uanasiasa Wa kikwetu ulivyo.. Ukiogopa Haya JIPIGE BAN!! Mapeema


Mayu tuwasiliane kwa karibu ili tukamwondoe yule fataki mkuu wa mafisadi pale jimboni 2015.
cdm lazima ichuke hilo jimbo 2015, tupo pamoja mayu.
 
Hata wenye mbwa nilishawatoa ulimi nje atasumbua mbwa. Siasa za jimbo nitakuja kufanya kampen siku tatu tu hata aje slaa tugombee wote iramba. Hivi vya humu ambavyo hata ID vinashindwa kutoa hata kivuli changu skafu yangu itashinda nikiiweka ipigiwe kura. Ni kama vile 2010 hakukuwa na mgombea wa chadema hamjamuuliza?
 
Hili tusiandikie mate tuombe uhai tu. Mimi similiki jimbo na kura nilizopewa ilikuwa 2010 - 2015. Wanyiramba wakiona kuna haja ya kuniongezea mkataba watanipa mkataba huo wakiona wanamwingine watampa. Kwa sasa nafanya niliyoahidi binafsi kadri ya uwezo, nafuatilia ahadi za serikali na pia kuwakilisha. Habari ya mteremko au ugumu wenye mamlaka ni wenye kura nao hawajabinafisishwa. Natamani kwa sasa mjadala ungekuwa mpango upi unamanufaa na wapi pamepungua nini na nini kiboreshwe haraka kwa manufaa ya Iramba. Lengo na liwe maendeleo sio kugawana vyeo lazima unapofanya sub uwanjan ujue anacheza amepwaya nini na sio kwa anayeingia akatoke jasho. Bibilia inasema wapumbavu ndio wasemao kesho nitafanya hili ama lile.....nani anamkataba na mungu kwamba atakuwa hai. Hivi ukibaki na nia yako kwa sasa ukanipa mawazo nisaidie jimbo ukajitokeza hata 2014 hautakuwa umesaodia zaidi wanairamba kupata faida. Nukwenda ugenda ukuleta imilamu. Anayedhani jimbo liko wazi na ajiandae wanairamba watasema nani yuko sahihi.
Mkuu Mwigulu don't panic kijana kagusa tuu sidhani kama ametonesha kidonda,hizo ni salaamu zenu maghamba, sijui mtajificha wapi watu wakifundishwa waelewe nani mafisadi wa kungolewa??????? Ila ndugu yangu ya Arumeru wewe ni shahidi, watu siku hizi ni waelewa kuna vijana mliowatelekeza kwa elimu kuanzia msingi, sekondari hadi vyuo hawana kazi, sijui mtawadanganya vipi????Nilisikia wewe ulishikwa Arumeru ukigawa fedha za rushwa makanisani ni kweli???? Kijana na makamanda shukeni Ilamba kama nilivyo sikia juzi Arusha vijana wakiwania Monduli kazi ya kina Mwigulu imefikia ukingoni!!!!!!VIVA CDM!!!!

 
Nenda kawakomboe jirani zangu na watani zangu kamanda.
Mi ningetangaza nia Hanang, lakini kuna jembe pale aliyechakachuliwa Rose Kamili, nitakachofanya ni kuunga mkono katika harakati zake.
Ila weka details zako full ili tukujue mapema comrade
 
Hata wenye mbwa nilishawatoa ulimi nje atasumbua mbwa. Siasa za jimbo nitakuja kufanya kampen siku tatu tu hata aje slaa tugombee wote iramba. Hivi vya humu ambavyo hata ID vinashindwa kutoa hata kivuli changu skafu yangu itashinda nikiiweka ipigiwe kura. Ni kama vile 2010 hakukuwa na mgombea wa chadema hamjamuuliza?


Nini kimetokea Arumeru Mashariki Mwigulu?

Ningekuwa mimi ni wewe (kwa moyo safi kabisa nasema haya) ningeachana na kutoa majibu ya hovyo na yenye kumlenga mtu mmoja mmoja (personal attacks). Ningekaa kitako na kutafakari kwa makini ili nijue ni kwa nini watanzania wamekarisika kiasi hiki?

Kwa hali halisi ya sasa, uchaguzi ungefanyika kesho ni majimbo machache sana ambayo yangeenda CCM, machache sana Mwigulu na sina hakika kama jimbo lako ni salama kihivyo. Unayo miaka 2 na ushei kurekebisha ili mambo uepuke kibla. Ni juu yako kama mwanasiasa kijana kuendesha siasa zinakubalika au kuendelea na business as usual. Nimalizie, achana na mipasho.
 
Uchaguzi wa 2015 ni ngoma nyingine Mkuu.
CDM hata wakisimamisha mende na bendera tu anashinda.
Hiyo skafu yako uliyopewa na babu haina nguvu Mbele ya Mungu wetu.
Subiri uone moto wa chadema
Hata wenye mbwa nilishawatoa ulimi nje atasumbua mbwa. Siasa za jimbo nitakuja kufanya kampen siku tatu tu hata aje slaa tugombee wote iramba. Hivi vya humu ambavyo hata ID vinashindwa kutoa hata kivuli changu skafu yangu itashinda nikiiweka ipigiwe kura. Ni kama vile 2010 hakukuwa na mgombea wa chadema hamjamuuliza?
 
Iramba hakuna mbunge Mkuu, kuna mzinzi fulani hivi.
Mkuu Mwigulu don't panic kijana kagusa tuu sidhani kama ametonesha kidonda,hizo ni salaamu zenu maghamba, sijui mtajificha wapi watu wakifundishwa waelewe nani mafisadi wa kungolewa??????? Ila ndugu yangu ya Arumeru wewe ni shahidi, watu siku hizi ni waelewa kuna vijana mliowatelekeza kwa elimu kuanzia msingi, sekondari hadi vyuo hawana kazi, sijui mtawadanganya vipi????Nilisikia wewe ulishikwa Arumeru ukigawa fedha za rushwa makanisani ni kweli???? Kijana na makamanda shukeni Ilamba kama nilivyo sikia juzi Arusha vijana wakiwania Monduli kazi ya kina Mwigulu imefikia ukingoni!!!!!!VIVA CDM!!!!

 
Sina hata chembe ya mashaka. Yule aliyesema nilikuwa nagawa pesa makanisani hilo sio kweli na lilikanushwa muda huo na vyombo husika. Mimi nilikwenfa kusali tu. Kuhusu usalama wa jimbo take it from me HATA KAMA CCM ITAPATA JIMBO MOJA TU 2015 BASI ITAKUWA IRAMBA MAGHARIBI
 
Hata wenye mbwa nilishawatoa ulimi nje atasumbua mbwa. Siasa za jimbo nitakuja kufanya kampen siku tatu tu hata aje slaa tugombee wote iramba. Hivi vya humu ambavyo hata ID vinashindwa kutoa hata kivuli changu skafu yangu itashinda nikiiweka ipigiwe kura. Ni kama vile 2010 hakukuwa na mgombea wa chadema hamjamuuliza?
Mwigulu wewe sio malaika mpaka useme hivo,unadhani wana iramba watakuwa wajinga mpaka lini? Mimi sisemi mengi ila kama Mungu atanipa kibali cha kufika 2015 nitashuhudia hayo yote.
 
Sina hata chembe ya mashaka. Yule aliyesema nilikuwa nagawa pesa makanisani hilo sio kweli na lilikanushwa muda huo na vyombo husika. Mimi nilikwenfa kusali tu. Kuhusu usalama wa jimbo take it from me HATA KAMA CCM ITAPATA JIMBO MOJA TU 2015 BASI ITAKUWA IRAMBA MAGHARIBI
well said Nchemba
 
Sina hata chembe ya mashaka. Yule aliyesema nilikuwa nagawa pesa makanisani hilo sio kweli na lilikanushwa muda huo na vyombo husika. Mimi nilikwenfa kusali tu. Kuhusu usalama wa jimbo take it from me HATA KAMA CCM ITAPATA JIMBO MOJA TU 2015 BASI ITAKUWA IRAMBA MAGHARIBI
Mkuu Mwigulu pole saana lakini watu siku hizi wameelimika na wanazidi kuelimika zaidi, siasa za longolongo hazina nafasi tena Tanzania!!!!! Nadhani umeelewa kwa matokeo ya ARUMERU KUWA FEDHA SIO KILA KITU watu wamechoka na longolongo!!!!!!!! Be realistic man sehemu au mahali ulipo hapakufai, labda unangojea kuwa kada wa chama pinzani kwenye bunge 2015 na hatutahitaji mafisadi period!!!!!

 
Kaka hongera kwa kujiamini na kujitokeza mapema, mimi ningekukumbusha kuwa CDM ni chama cha kisomi, hivyo pitia maandiko mbalimbali ya chama ukianzia na katiba pamoja na Ilani ya mwaka huu kwani ilani ijayo itategemea kwa kiasi cha kutosha ilani iliyopo sasa. Pili sijui kama upo Iramba au sehemu nyingine ya Tanzania. Jaribu kutembelea jimbo uone matatizo na fursa zilizopo ambazo unaweza ukawaongoza wanailamba mkatatua matatizo yenu. Lijue jimbo, litembelee jimbo, ongea na wanajimbo na hasa vijana na akina mama. Na mwisho kabisa mshirikishe Mungu katika mipango yako. Yanawezekana
 
Niliona niongee kistaarabu umefanya utafiti wa watu wangapi hivi hili ni la kubishana. Tusubiri muda majibu yake tutayapata. Ni upunguani kubishana zitatosha au hazitatosha kama vile kura ziko sandukuni au kama tuko mioyon mwa wapiga kura. Jimbo lina zaidi ya wapiga kura laki moja tunasema wamechoshwa kwa tamko lipi. Naisubiri kwa hamu hiyo
Mwigulu mdogo wangu sio kwamba nakuchukia la hasha.Ubunge wako umeharibiwa na hicho cheo walichokupa CCM.Umejisahau sana mpaka umekuwa unatumika vibaya eidha wewe mwenyewe ukijua au laa.Bahati mbaya umeshaiga wale vizee ndani ya Chama chako wanaodhani hii bado ni dunia ya 1980's kwamba upatikanaji wa habari haufiki hadi vijijini na kuwa CCM ni chama cha zidumu fikra.Unajidanganya. Wa Iramba wanajua kila ulisemalo au ufanyalo kila siku iwe Igunga,Arumeru au DSM. Na wao hawakuchagua mbunge wa scandal au mropokaji bali wa kuwaongoza katika demokrasia ya kweli na maendeleo. Pia wanafatilia wafanyayo wabunge wengine vijana (sina haja ya kuwataja)ktk majimbo yao na kulinganisha na uwakilishi wako.
Kwako wewe (-) ni nyingi kuliko (+) katika ubunge. Jaribu kazi nyingine kuitumikia Iramba Bro,but Ubunge sio.
 
Sina hata chembe ya mashaka. Yule aliyesema nilikuwa nagawa pesa makanisani hilo sio kweli na lilikanushwa muda huo na vyombo husika. Mimi nilikwenfa kusali tu. Kuhusu usalama wa jimbo take it from me HATA KAMA CCM ITAPATA JIMBO MOJA TU 2015 BASI ITAKUWA IRAMBA MAGHARIBI

Ukiwa bip watakupigia Mwigulu.
 
Hata wenye mbwa nilishawatoa ulimi nje atasumbua mbwa. Siasa za jimbo nitakuja kufanya kampen siku tatu tu hata aje slaa tugombee wote iramba. Hivi vya humu ambavyo hata ID vinashindwa kutoa hata kivuli changu skafu yangu itashinda nikiiweka ipigiwe kura. Ni kama vile 2010 hakukuwa na mgombea wa chadema hamjamuuliza?

Hayo maneno hata kwenye kanga yapo.wanakusalimia machalii wa Leganga.
 
Yaelekea wengi humu hata hawajui ugumu wa uchaguzi. Kutoa maneno humu si sawa na hali halisi ya kugombea, naona mnafurahisha jukwaa tu. Kumtoa mtu kwa kutaka eti ushauri humu ni kujilisha upepo tu. Mimi nawaonea huruma kushindana na Nchemba. Uliza watu 10 aliowapiga chini walikuwa wa aina gani, ha alikuwa ndiye hana pesa kuwashinda wale,,ndipo na wewe ujipime.

Nchemba PA @ work.
 
Usiwe mwoga.. Kama unataka ushauri tunaweza kukumwagia .. Weka I'd zako zote Na mpicha wako.. Usijiandae kukataa changamoto mapema. Matusi kejeli kero makochokocho bin kuchokonolewa hadi kule usikodhani ndio uanasiasa Wa kikwetu ulivyo.. Ukiogopa Haya JIPIGE BAN!! Mapeema


Jitambulishe zaidi mayu ili tufanye mchakato wa nguvu tukamwondoe yule mzinzi 2015
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom