Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,413
- 2,275
Hakuna haja ya kutoa ushauri.lini wanaokitumikia chama kilichojipa tumaini la kutawala milele.kwao hao ushauri mwema ni matusi.iramba magharibi haiwezi ikawa uwanja wa majaribio ya siasa uchwara.sarakasi zinazopigwa za kifisadi pale,ukomo wake ni huu mkakati wa kisayansi uliokwisha anza tangu january2012 to 2015.kukomesha ahadi zinazo dhalilisha wazee wetu.miaka nenda rudi.lengo kuu la uzi niliouweka ,ilikuwa si kulumbana .bali nimeamua kuomba ushauri wa mahakama kuu yaani wananchi wa iramba marg.hof ya nini cheza upande. Wako.nasi.elimu hii ya uraia na historia itahukumu.Mungu ibariki Tanzania.Mungu.ibarik.iramba magh.
Wee mwanakidagu acha kumjambi.....a Mheshimiwa wa magamba, je mnajua anabebwa na magamba mangapi? kweli mtawaweza waliomweka hapo?