mwanakidagu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2012
- 208
- 78
- Thread starter
- #21
Tutakuunga mkono.
Lakini shida ninayopata humu katika JF wengi hamjapenda kuandika majina yenu kamili, sijui hofu ni nini. Majimbo yote, Iramba Magharibi na Iramba Mashariki kuna shida ya wabunge waliopo. Bahati nzuri natoka huko, na kila kona naifahamu vizuri kuanzia Kinampundu mpaka Mgela.
Kama mwanJF mmoja alivyosema, jitambulishe vizuri. Mimi nilishamwuuliza mtu mmoja kuhusu Iramba Magharibi, nikaambiwa kuna mwanaCDM msomi mzuri anaandaliwa huko, nikasema sina wasiwasi kama atakuwa huyo. Sasa na wewe jiweke wazi, uko wapi, unafanya nini, sera zako zipi, na unalenga kufanya nini kwa wananchi. Ili tukupime na huyo ambaye anapendekezwa, iwapo haijawa wazi sana.
Kila la heri! Unaweza kuniandikia: ugulapp@yahoo.co.uk
perrecy ugula.turudi nyumbani kutoa elimu ya uraia.mimi sisemi sana unayajua matatizo ya nyumbani.hebu tuungane humu tunaotoka huko.kwa ukombozi!